Nilimpenda sana mpenzi wangu ila kanisaliti

Asante mkuu hapa nitakubali mkuu niache aende zake

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Hayupo mtu ataesafiri kuja kukwambia inatosha sasa juu ya huyu binti zaidi ya wewe mwenyewe kusema sasa basi acha maisha yaendelee
 
Tafuta mwanamke mwingine mwaminifu umpende.achana na huyo Dada,dalili zote zinaonyesha hakupendi na ana mtu mwingine.
Huna akili
 
Pole mkuu. Piga ngumi kifuani na msahau maisha yanaendelea
 
Vijana matatizo madogo mnakuza mimi nilishawahi kuitwa mama,ex wangu alipigiwa simu na hawala ake usiku akaulizwa umelala na nani akamwambia mama nilihisi mwili unatoa jasho usiku halafu nipo njombe

Asubuhi nikamcheki jombaa angu akanambia njoo nilipikiwa chakula nikala ndani ya siku 2 sikuhisi kama nilishakuwa na mtu kama yeye toka 2012 sijawahi hata mtext
 
Da sasa hiyo menu naipataje kiukweli huyu dgo ananinyanyasa Sana natamani itokee nimchukie mazima

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Mimba nje ya kizazi ikatolewa? bado watakukula pesa zako sana tu
 
Ngoja nikupe mbinu nayotumiaga kumuacha mtu na simrudii kamwe.

Hua nafikria kua huyu mtu ananiona sina akili,zoba ,mjinga mjinga ,fala ,mshamba, wa kuja ,zezeta ndo maana ananifanyia ubaya anaonifanyia (mfano usaliti) na hua na imagine kua kila nikimsamehe na kuendelea nae hua ananicheka sana na kuwahadithia wenzie jinsi nilivyo zwazwa kwake. So nikifikiria hivi tu simtafuti tenaa.

Kwahio na wewe unaweza jaribu hii kumuacha mazima.
 
Mkuu yani hamjataftana mwaka bado tu unampendaa??

Mkuu kama unaingiza pesa walau kidogo basi tafuta manzi mwingine walau utumie muda mwingi na yeye huenda ukamsahau.

Ila huu upendo ni wa ajabu sana sana, we mzebaba kweli umependa aisee na mbaya zaidi uyo manzi anajua kua unampenda utapelekwa puta wewe utachunwa mpaka ubaki mifupa afu unaachwa ujipange tena, ukiinuka kidogo huyooo mwendo unakua huohuo.
 
Mimi nimekuelewa ukitaka ushauri ni pm nikuelekezee hapa siwezi kuna,wachagga nasio fresh kuwaponda nipo serious
 
Hahahahahahah kwahio mama ukaendelea kulala tu hadi asubuhi😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…