mzalendo wa iran
Member
- Jun 20, 2016
- 97
- 106
- Thread starter
-
- #21
Nimekuelewa KakaNaona unasubilia Meli AirPort!! Hivi wanaume au wavulana wengine hua Kweli mnauelewa kichwani! Hadi ukute mtu yupo kwenye sita kwa sita Ndio utaamini huyo ana mtu!? Wewe uliotoa hii post jipige kifua uambie moyo wako UACHE UFALA!
Sawa mkuuNazan msaada ulikuwa kulitambua tatizo ila kama ushalijua kazi kwako sasa ujiue au uishi
Asante mkuu hapa nitakubali mkuu niache aende zakeMkuu tambua hilo jambo lipo tu kumpenda mtu sio dhambi means kuna ishu zinatokea ziko nje ya uwezo wako yeye anaweza kudhania kama humpendi in reality you efforts has limited to accomodate her mfano kuna sehemu ulishindwa kumpa pesa ni tatizo nje ya uwezo wako ila anatafsiri kwamba umembania kama ipo ipo
Mi 2019 nilishindwa ivyo ivyo kwa demu tulipendana sana nikamwacha aende kwa jamaa aliye na uwezo sio dhambi maana hata mwelekeo wa maisha nilikuwa sina kiroho safi kawekwa mimba jamaa anapanda kumuoa sijajua wanaendeaje ila nilishindwa kama elfu 70 akasema bora tuachane nikasema okey to let her go
We usiwaze kama ipo ipo
SawaAchana nae, usisumbue watu hapa jukwaani.
Miaka 33! Una akili za kivulana kinachobalehe...samahani kaka kwa comment yangu ila jitambue!Asante mkuu age 33yrs nakuwa busy sana bt nadhani nahitajj kujitafakari upya thnks for ya comments
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Miaka 33 bado hujaoa tuu? Bado unadanga tuu?Asante mkuu age 33yrs nakuwa busy sana bt nadhani nahitajj kujitafakari upya thnks for ya comments
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Tafuta mwanamke mwingine mwaminifu umpende.achana na huyo Dada,dalili zote zinaonyesha hakupendi na ana mtu mwingine.Kwema.wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
gapi nikamwambiila siku tatu akaniambia sawa lkn si unaniona tu unaendelea na ratba zako pale pale nikaishiwa nguvu kiukweli
Pole mkuu. Piga ngumi kifuani na msahau maisha yanaendeleaKwema.wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Da sasa hiyo menu naipataje kiukweli huyu dgo ananinyanyasa Sana natamani itokee nimchukie mazimaVijana matatizo madogo mnakuza mimi nilishawahi kuitwa mama,ex wangu alipigiwa simu na hawala ake usiku akaulizwa umelala na nani akamwambia mama nilihisi mwili unatoa jasho usiku halafu nipo njombe
Asubuhi nikamcheki jombaa angu akanambia njoo nilipikiwa chakula nikala ndani ya siku 2 sikuhisi kama nilishakuwa na mtu kama yeye toka 2012 sijawahi hata mtext
Pamoja mkuuPole mkuu. Piga ngumi kifuani na msahau maisha yanaendelea
Mimba nje ya kizazi ikatolewa? bado watakukula pesa zako sana tuKwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Mimi nimekuelewa ukitaka ushauri ni pm nikuelekezee hapa siwezi kuna,wachagga nasio fresh kuwaponda nipo seriousStory yako kidogo ilingane na yangu,Ni mchaga hivyo hivyo na alikuwa na bwana mwingine na akapata mimba,Nilipogundua kuwa alichepuka siku za hatari nikamtimua kwao Moshi mpaka mtoto azaliwe tupime DNA.
Hata mimi nikiri roho inaniuma sana hasa ukizingatia nilimpenda sana lakini haina jinsi,Siwezi kuishi na mwanamke msaliti,Hata mtoto kama atazaliwa wa kwangu atabaki kuwa mama mtoto tu,lakini si mke.INAUMA sana! Lakini hakuna jinsi,Jikaze mkuu,Maisha lazima yaendelee.
Hahahahahahah kwahio mama ukaendelea kulala tu hadi asubuhi😂😂😂Vijana matatizo madogo mnakuza mimi nilishawahi kuitwa mama,ex wangu alipigiwa simu na hawala ake usiku akaulizwa umelala na nani akamwambia mama nilihisi mwili unatoa jasho usiku halafu nipo njombe
Asubuhi nikamcheki jombaa angu akanambia njoo nilipikiwa chakula nikala ndani ya siku 2 sikuhisi kama nilishakuwa na mtu kama yeye toka 2012 sijawahi hata mtext