Hahahahahahah wahuni mnamsagia kunguni mtoa mada😂😂😂We jamaa umekisoma hiki ulichandika kweli???Nafikiri utakuwa na tatzo la kiakili si bure nakshauri tafuta mtaalam wa afya ya akili mapema kabla ujaanza kuokota makopo
Hii mbinu ndio njia nyepesi ya kumfuta mtu moyoni na akilini! Mchukulie yeye ndio looser na kumbuka mabaya yote anayokufanyia kisha yakatae kuanzia sasa amini you are the best!Ngoja nikupe mbinu nayotumiaga kumuacha mtu na simrudii kamwe.
Hua nafikria kua huyu mtu ananiona sina akili,zoba ,mjinga mjinga ,fala ,mshamba, wa kuja ,zezeta ndo maana ananifanyia ubaya anaonifanyia (mfano usaliti) na hua na imagine kua kila nikimsamehe na kuendelea nae hua ananicheka sana na kuwahadithia wenzie jinsi nilivyo zwazwa kwake. So nikifikiria hivi tu simtafuti tenaa.
Kwahio na wewe unaweza jaribu hii kumuacha mazima.
Ila mzee yaani mbususu zote hizi duniani moja tuu inakupa tabu. Wacha uzembe bwana acha nae. Kidume sometimes inabidi ufanye maamuzi magumu.Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Kweli nakubaliana na hii njia. Wee kumbuka mabaya yake tuu. Alafu ukipita kwa ule uzi wa picha za warembo wakali ndio hapo utakapojiona zoba kwa kusumbuliwa na mbususuHii mbinu ndio njia nyepesi ya kumfuta mtu moyoni na akilini! Mchukulie yeye ndio looser na kumbuka mabaya yote anayokufanyia kisha yakatae kuanzia sasa amini you are the best!
Mbona fasta tu yani tena very smoothly huumii yani tena kwa mtu aliyekufanyia vimbwanga ndio dah😂
Pole huwezi kuitwa mwanaume uliyekua kiakili na kifikra kama hujapitia changamoto kama hizi trust me ni kama chanjo ya hawa wadada huyu hakupendi na usijidanganuye kumtafutia kazi akija kuapata atakupiga chenga na roho itakuuma sana umesha kwepa risasi we tulia fanya yako tafuta wanawake wengine , pesa sio kinamfanya mwanamke akupende pesa inakufaya uwavutie ,,,wanawake wapo tuu mkuu jenga maisha yako NIppsey hussle anakuambia hivi '' first get the money and respect then power and whores comes next"Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Noma sanaVijana matatizo madogo mnakuza mimi nilishawahi kuitwa mama,ex wangu alipigiwa simu na hawala ake usiku akaulizwa umelala na nani akamwambia mama nilihisi mwili unatoa jasho usiku halafu nipo njombe
Asubuhi nikamcheki jombaa angu akanambia njoo nilipikiwa chakula nikala ndani ya siku 2 sikuhisi kama nilishakuwa na mtu kama yeye toka 2012 sijawahi hata mtext
Kwa kifupi mabinti wz kichagga wameongoza kupiga matukio na hii ni sababu wanajua kumanipulate wanaume nje ya kabila lao kirahisi sana kingine wanatumia sana ndumba yani ukiwa potential kwao lazima wakulishe vitu, talking from experience...Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Mkuu nakusubiri pm unipe ABC [emoji28][emoji28][emoji28]Mimi nimekuelewa ukitaka ushauri ni pm nikuelekezee hapa siwezi kuna,wachagga nasio fresh kuwaponda nipo serious
NimeshakuandikiaMkuu nakusubiri pm unipe ABC [emoji28][emoji28][emoji28]
Salute broHayupo mtu ataesafiri kuja kukwambia inatosha sasa juu ya huyu binti zaidi ya wewe mwenyewe kusema sasa basi acha maisha yaendelee
Umeshasema si mtu wa ku-date naye, sasa mbona wewe utaoa Mchagga? Unampoteza mwenzio.mimi ni mchaga lakini mchaga si mtu wa kudate nae pumbavu zao
NB
nitaoa mchaga
Oh my God! Yaani wakiona una dalili za kutoboa tu unalishwa vitu? Real or theory?Kwa kifupi mabinti wz kichagga wameongoza kupiga matukio na hii ni sababu wanajua kumanipulate wanaume nje ya kabila lao kirahisi sana kingine wanatumia sana ndumba yani ukiwa potential kwao lazima wakulishe vitu, talking from experience...
Wanakufanya chuma ulete zikikata wanafanya hawakujui, husiombe mzee zikate utapata meneno makali hujawai sikia toka uzaliweOh my God! Yaani wakiona una dalili za kutoboa tu unalishwa vitu? Real or theory?
Mungu wangu, hapo si anakuwa hajakupenda sasa? Kwa akupendaye anaweza kukusimanga?Wanakufanya chuma ulete zikikata wanafanya hawakujui, husiombe mzee zikate utapata meneno makali hujawai sikia toka uzaliwe
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Kwa upumbavu huu, nikioa sitaki shobo za kipuuzi na ndugu wa kike, sijui mama mkwe, mara dada yake, mara nani sijui yaani sitotaka mazoea nao kabisa. Kuzoeana nao ndio mwanzo wa kufanywa msukule, yaani hata home sitohitaji waje hovyo hovyo, nitakuwa mkali kwenye hili.Wanakufanya chuma ulete zikikata wanafanya hawakujui, husiombe mzee zikate utapata meneno makali hujawai sikia toka uzaliwe
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app