Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unaingilia empire ya bibie Nifah [emoji23]Mambozi
Jaman kitambo kiaina ila nawashirikisha jambo moja.
Nilimfatilia sana the bold miezi/ miaka hyo kabla hajaanza kupigwa ni bani ya kudedi kiumbe humu jamvini. Baadae akapotea na mkewe nifah.
Hata sijui km wapo humu ama hawapo ila the bold nakupenda tu sitaki kusema nakupenda kwasababu ya kimapenzi ila naona una kitu nahitaji kutoka kwako.
Km upo humu NAKUSALIMIA tu.
Wale wakupanic na kuchamba mniache jaman sipendi hizo mambo maana mie "si mswahili "
Hata mie nakupenda Geni😊Kumpenda mtu sio dhambi hata Mimi nampenda Nifah
Tulia nije huko...nikifika tuu Funga pm tujifungie kwenye PM!Kunipm tena uko pm kuna nn tena monaco
Mimi nakupenda weweKumpenda mtu sio dhambi hata Mimi nampenda Nifah
Ahsante kwa upendo wako kwangu switi mangi!Mimi nakupenda wewe
Mfukua makaburi katika ubora wako
Mkuu, naona mwaka huu umeamua kula sahani moja na mimi wallah....[emoji29] [emoji29] [emoji29]Mfukua makaburi katika ubora wako
Tulia nije huko...nikifika tuu Funga pm tujifungie kwenye PM!