Nilimruhusu msaidizi auze bidhaa zake ndogo ila zinamlipa kuzidi mshahara wake. Je, nifanye maamuzi gani?

Nilimruhusu msaidizi auze bidhaa zake ndogo ila zinamlipa kuzidi mshahara wake. Je, nifanye maamuzi gani?

Acha ROHO mbaya mtumish

Riziki hutoka kwa MUNGU huwezi jua kwanini MUNGU karuhusu apate faida hiyo na ufanye naye kazi
 
Uwe makini na ushauri wa humu jukwaani.

Kuna black and white so chagua mwenyewe, kwa nijuavyo mimi ni vigumu biashara yangu ikanawili ndani ya biashara yangu.

Yaani mfanyakazi awe na biashara yake ndani ya biashara yangu alafu apambanie biashara yangu ikanawili na aache yake!!.

Hicho kitu huwa hakipo na kama kipo basi ni njia ya biashara yako kuelekea kaburini au kufunga, maana hapo mbele ile biashara ya staff wako itanyanyuka na atahamua kukuachia mlango wako.

Hadi hapo ni hakuna mfanyakazi anapenda mali ya boss wake ikue wkt naye anayo yake!.

Chuja na fanya maamuzi bora!.
 
Uzi huu nimeweka jukwaa la biashara nategemea michango yenye tija. Tujue kutofautisha biashara na vituo vya kutoa misaada bure, msikiti, kanisa, n.k,

Kuna kaduka nilifungua, kwakuwa utumishi umenibana niliweka msaidizi anisaidie.

Biashara imeshuka lakini kibishi naendelea nayo

nikitoa gharama za frame nayolipia laki 5 kila mwezi (AISEE !!), mshahara, allowance, umeme, usafi, Tra, leseni, n.k. naingiza faida ya laki 3 hadi 4, Kabla biashara haijashuka ilikuwa ni Laki 8+

msaidizii aliwahi kuniomba aanze kuweka bdhaa zake, Nilichukulia poa kwasababu niliona bidhaa anazouza ni ndogo na ni nje ya biashara nayofanya, Nikamruhusu.

Mshahara naomlipa ni 150,000 kwa mwezi, allowance ya matumizi yake elf 70, jumla 220,000

Leo nilifika dukani hayupo kafunga, nina ufunguo wangu nikaingia, kuna kidaftari nilikiona kwenye draw.

Kapangiliaia vizuri sana hesabu zake, kila siku anafunga hesabu kwa faida ya elf 6 hadi 7, sometmes elf 8

Nilipiga picha fasta, nimefika home nimepiga hesabu, mwezi uliopita kaingiza faida 183,500

Kuna maamuzi kadhaa nataka nichukue

  • Nimwambie awe anachukua faida asilimia kadhaa kwa biashara yoyote atayoifanya dukani kwangu
  • Nisimlipe mshahara wake niwe nampa aloowance pekee, ajilipe mshahara kwenye faida
  • Nimpe miezi kadhaa auze, baada ya hapo iwe biashara yangu

Ni jambo liliilonfanya nitafakari sana, nichukue maamuz yapi.

Kwa wale ambao mnaingiza mambo ya huruma, mle mlale
🤔🤔🤔 sasa hapo fanya kummilikishia au kabisaa umuuzie kama vip ww ndy ukimbie maana tayar jamaa kasha weka utawala wake hapo
 
  • Moja hata Elfu Hamsini Net unayopata bila kufanya kazi ni bora kuliko Milioni moja ambayo inachukua muda wako wote
  • Mbili kwa yeye kupata nyingi haimaanishi na wewe ukiweka utapata nyingi huenda wewe usipate kitu
  • Huyo mtu ni asset kwahio kuwa naye ni bora kuliko kutokuwa nae
  • Kama mauzo yameshuka na yeye ni mtu mzima na muelewa mnaweza mkanegotiate katika kuchangia pango
  • Usiangalie yeye anapata nini au ngapi angalia wewe kama unachopata kinakutosha au kama ni kidogo kuliko ambavyo ungeweza kutumia hio sehemu.
 
Very confusing hii deal but jaribu kuona ikiwa attention ya bidhaa zako haichukuliwi na bidhaa zake
 
Uzi huu nimeweka jukwaa la biashara nategemea michango yenye tija. Tujue kutofautisha biashara na vituo vya kutoa misaada bure, msikiti, kanisa, n.k,

Kuna kaduka nilifungua, kwakuwa utumishi umenibana niliweka msaidizi anisaidie.

Biashara imeshuka lakini kibishi naendelea nayo

nikitoa gharama za frame nayolipia laki 5 kila mwezi (AISEE !!), mshahara, allowance, umeme, usafi, Tra, leseni, n.k. naingiza faida ya laki 3 hadi 4, Kabla biashara haijashuka ilikuwa ni Laki 8+

msaidizii aliwahi kuniomba aanze kuweka bdhaa zake, Nilichukulia poa kwasababu niliona bidhaa anazouza ni ndogo na ni nje ya biashara nayofanya, Nikamruhusu.

Mshahara naomlipa ni 150,000 kwa mwezi, allowance ya matumizi yake elf 70, jumla 220,000

Leo nilifika dukani hayupo kafunga, nina ufunguo wangu nikaingia, kuna kidaftari nilikiona kwenye draw.

Kapangiliaia vizuri sana hesabu zake, kila siku anafunga hesabu kwa faida ya elf 6 hadi 7, sometmes elf 8

Nilipiga picha fasta, nimefika home nimepiga hesabu, mwezi uliopita kaingiza faida 183,500

Kuna maamuzi kadhaa nataka nichukue

  • Nimwambie awe anachukua faida asilimia kadhaa kwa biashara yoyote atayoifanya dukani kwangu
  • Nisimlipe mshahara wake niwe nampa aloowance pekee, ajilipe mshahara kwenye faida
  • Nimpe miezi kadhaa auze, baada ya hapo iwe biashara yangu

Ni jambo liliilonfanya nitafakari sana, nichukue maamuz yapi.

Kwa wale ambao mnaingiza mambo ya huruma, mle mlale
Mkuu, kwanza pole sana. Pia nimeangalia maoni ya wadau hapa kwenye thread nimeishia kusikitika sana mawazo ya wabongo yalivyo veery stupid and selfish[emoji34][emoji34] kujifanya eti huruma. Huruma kwenye biashara yako?

thats why tutazidi kuona wahindi na wazungu wanafanikiwa biashara zao sababu ya kueka sheria ngumu kwenye biadhara zao, ila za watanzania nyingi zina fail kwa mawazo ya kijinga walionayo wanaoreply na kusema eti una riho mbaya.

Ushauri wangu.

*Ulikosea pakubwa uliporuhusu tu mtu afanye biashara yake ndani ya biashara yako - cas cha mtu chake. Aaache kufkilia namna biashara yake ikue apate faida kubwa afikilie ya wewe boss?, hatokua na mawazo mazuri ya kukushauri wewe boss ili biashara yako ikue, ye atakua busy kufkilia anakuzaje biashara yake[emoji34] akati anaifanyia kwako as free mandela, halipi kodi, halipi umeme, na bado unampa allowance na mshahara juu.

Unadhani kwa nini serikali hairuhusu mfanyakazi kufanya biashara zao binafsi ofisini?tafuta hizo sababu ndio utajua kwa nini hairuhusiwi.

kila mtu angekua busy na biashara yake ofisini, nani angekua busy kufanya shughuli za nchi? MSTOP HARAKA. BIASHARA YAKE AFANYIE NYUMBANI, HAPO DUKANI KWAKO UMEMUAJIRI ILI HUO MUDA ADEAL NA BIASHARA YAKO TU, NDIO MAANA UNAMLIPA. HAWEZI AONDOKE AKADEAL NA BIASHARA YAKE VIZURI ZAIDI
 
  • Moja hata Elfu Hamsini Net unayopata bila kufanya kazi ni bora kuliko Milioni moja ambayo inachukua muda wako wote
  • Mbili kwa yeye kupata nyingi haimaanishi na wewe ukiweka utapata nyingi huenda wewe usipate kitu
  • Huyo mtu ni asset kwahio kuwa naye ni bora kuliko kutokuwa nae
  • Kama mauzo yameshuka na yeye ni mtu mzima na muelewa mnaweza mkanegotiate katika kuchangia pango
  • Usiangalie yeye anapata nini au ngapi angalia wewe kama unachopata kinakutosha au kama ni kidogo kuliko ambavyo ungeweza kutumia hio sehemu.
hakuna kunegotiate, kazini nimekuajiri usimamie majukumu yangu thats why nakulipa, sasa kama upo na ya kwako, yangu hautakua nayo makini kwa 100% cas akili yako iko kwenye biashara yako ambayo unatumia eneo langu na muda wangu ambao naulipia kwa kukupa mshahara. awe sset kivipi na biashara imeshuka na yeye ndio yupo hapo kazini anatakiwa kunipa maoni na ushauri why biashara inashuka na nifanye nini ipande, but haezi nipa huo uahauri cas akilivyake haiko hapo, iko kwenye biashara yake . Na bora hio biashara yake ingekua ni njia ya kuongeza wateja kwenye biashara yangu tusinge hata negotiate kitu, ningekuachia ufanye utakavyo , but no? hapana, this is busness not a charity
 
hakuna kunegotiate, kazini nimekuajiri usimamie majukumu yangu thats why nakulipa,
Kwahio unadhani ukimuajiri mwingine ndio faida itakuwa kubwa au huenda ikawa minus ?; Kama unaweza kupata mwingine bora kwanini hata uje kuuliza kwanini usifukuze uchukue huyo bora >
sasa kama upo na ya kwako, yangu hautakua nayo makini kwa 100% cas akili yako iko kwenye biashara yako ambayo unatumia eneo langu na muda wangu ambao naulipia kwa kukupa mshahara.
Hio yangu nilianzisha tu au tulikubaliana ? Na kushuka mauzo ni sababu ya mimi uzembe wangu au Biashara imeshuka ? Na mimi yangu kupata kuzidi yako does it mean wewe ukifanya yangu na wewe utapata kama mimi ?
awe sset kivipi na biashara imeshuka na yeye ndio yupo hapo kazini anatakiwa kunipa maoni na ushauri why biashara inashuka na nifanye nini ipande,
Ulimuajiri ili akupe ushauri ? Kama imeshuka ni jukumu lako wewe kuangalia kama imeshuka na kama imeshuka sababu ya uzembe wake basi fukuza weka ambae wewe unaona anafaa zaidi. Ingawa hapo kumbuka bado unapata profit (which is more than majority ya biashara za Kibongo, mtu unakula loss hata ukikaa mwenyewe na hapo sio loss tu bali na muda wako)
but haezi nipa huo uahauri cas akilivyake haiko hapo, iko kwenye biashara yake . Na bora hio biashara yake ingekua ni njia ya kuongeza wateja kwenye biashara yangu tusinge hata negotiate kitu, ningekuachia ufanye utakavyo , but no? hapana, this is busness not a charity
Charity wakati anakuingizia faida ? Mkataba wenu ulikuwa kwamba mauzo yasishuke au ? Hapo mmefanya mkataba akuuzie na bado anafanya hivyo (kushuka kwa mauzo inategemea sio necessarily uzembe wake..., Kwahio choice is yours ukiona kwamba hafai wala hauhitaji ushauri wewe fukuza..., ila kama unaona bado unapata kwa sasa na wewe kuweza kuendelea na mengine angalia sana usije ukaruka majivu ukakanyaga moto... (Ungejua kitu kinaitwa leverage ungeona kwamba percent 5 ya kitu ambacho haupo wala hauweki input ni bora kuliko 100% ya kitu ambacho upo 24/7)
 
Uzi huu nimeweka jukwaa la biashara nategemea michango yenye tija. Tujue kutofautisha biashara na vituo vya kutoa misaada bure, msikiti, kanisa, n.k,

Kuna kaduka nilifungua, kwakuwa utumishi umenibana niliweka msaidizi anisaidie.

Biashara imeshuka lakini kibishi naendelea nayo

nikitoa gharama za frame nayolipia laki 5 kila mwezi (AISEE !!), mshahara, allowance, umeme, usafi, Tra, leseni, n.k. naingiza faida ya laki 3 hadi 4, Kabla biashara haijashuka ilikuwa ni Laki 8+

msaidizii aliwahi kuniomba aanze kuweka bdhaa zake, Nilichukulia poa kwasababu niliona bidhaa anazouza ni ndogo na ni nje ya biashara nayofanya, Nikamruhusu.

Mshahara naomlipa ni 150,000 kwa mwezi, allowance ya matumizi yake elf 70, jumla 220,000

Leo nilifika dukani hayupo kafunga, nina ufunguo wangu nikaingia, kuna kidaftari nilikiona kwenye draw.

Kapangiliaia vizuri sana hesabu zake, kila siku anafunga hesabu kwa faida ya elf 6 hadi 7, sometmes elf 8

Nilipiga picha fasta, nimefika home nimepiga hesabu, mwezi uliopita kaingiza faida 183,500

Kuna maamuzi kadhaa nataka nichukue

  • Nimwambie awe anachukua faida asilimia kadhaa kwa biashara yoyote atayoifanya dukani kwangu
  • Nisimlipe mshahara wake niwe nampa aloowance pekee, ajilipe mshahara kwenye faida
  • Nimpe miezi kadhaa auze, baada ya hapo iwe biashara yangu

Ni jambo liliilonfanya nitafakari sana, nichukue maamuz yapi.

Kwa wale ambao mnaingiza mambo ya huruma, mle mlale
  • Mpe Mshahara wake kama mlivyokubaliana wala usipunguze hata 10.
  • Usimzuie kufanya Biashara zake mradi Biashara Yako inaenda.
  • Mungu alivyo wa ajabu utamzuia kufanya Vibiashara anavyofanya ukiona anapata Faida ili uanze wewe, utashangaa ukifanya wewe visikulipe... Acha tamaa...!
  • Kama unaona anauza Ubuyu, Karanga, Maandazi na ndo vinamletea faida nzuri, kuliko kumzuia fikiria na wewe kitu tofauti... Uza Ice cream, Juice n.k huo ni mfano tu.

Kuna Watu wanakuja na Baraka kwenye Maisha Yako ama Biashara Yako, soon ukiwaondoa ama ukawafanya waondoke, wanaondoka na Nyota zao...!
 
Kwahio unadhani ukimuajiri mwingine ndio faida itakuwa kubwa au huenda ikawa minus ?; Kama unaweza kupata mwingine bora kwanini hata uje kuuliza kwanini usifukuze uchukue huyo bora >
Faida depends on my plans and capital invested. alieuloza sio mimi, cas huo muda wa kuomba ushauri huku nautoa wapi? ningefanya maamuzi mwenyewe.

Hio yangu nilianzisha tu au tulikubaliana ? Na kushuka mauzo ni sababu ya mimi uzembe wangu au Biashara imeshuka ? Na mimi yangu kupata kuzidi yako does it mean wewe ukifanya yangu na wewe utapata kama mimi ?
walikubaliana thats why nmemwambia hapo ndio alimake mistake. in business no that bulshit

Ulimuajiri ili akupe ushauri ? Kama imeshuka ni jukumu lako wewe kuangalia kama imeshuka na kama imeshuka sababu ya uzembe wake basi fukuza weka ambae wewe unaona anafaa zaidi. Ingawa hapo kumbuka bado unapata profit (which is more than majority ya biashara za Kibongo, mtu unakula loss hata ukikaa mwenyewe na hapo sio loss tu bali na muda wako)

yani hujui kama in all companies and businesses boss huhitaji sana kupata feedbacks na opinion kutoka kwa wafanyakazi walioko front line? kupata loss inaezekana ndio, hata ue mwenyewe, thats why since ye hayuko anaacha mfanyakazi, anategemea mfanyakazi atoe muongozo na maoni ya jini anavoona biashara inaenda kwa mwajiri, ili mwajiri aongeze mbinu zaidi biashara ikae sawa. ila angekueko mwenyewe front, asingehitaji ushauri cas anaona kila kitu, but now haoni yuko mbali.

Charity wakati anakuingizia faida ? Mkataba wenu ulikuwa kwamba mauzo yasishuke au ? Hapo mmefanya mkataba akuuzie na bado anafanya hivyo (kushuka kwa mauzo inategemea sio necessarily uzembe wake..., Kwahio choice is yours ukiona kwamba hafai wala hauhitaji ushauri wewe fukuza..., ila kama unaona bado unapata kwa sasa na wewe kuweza kuendelea na mengine angalia sana usije ukaruka majivu ukakanyaga moto... (Ungejua kitu kinaitwa leverage ungeona kwamba percent 5 ya kitu ambacho haupo wala hauweki input ni bora kuliko 100% ya kitu ambacho upo 24/7)

ooh stop that bulshits[emoji34]. so nimemueka kwenye duka awe kama picha au aoneshe meno yake? nimemuweka ili biashara ikue nacizidi kua bora iingize faida. siweki mfanyakazi kama picha kwamba mteja akija ye aamue if amuuzie au la. naweka mfanyakazi ili anisaidie kuuza, kuconvice customers na kutengeneza mazingira ya biashara yawe mazuri wateja wazidi kupenda na kuja. Thatsc why in interview unapewa maelezo ya kazi ilivo na vile boss (management) anaexpect, nwisho unaulizwa utaweza au tutafte mtu mwingine? akikubali , he/she must do exactly what he/she promosed, not otherwise. LAZIMA AHAKIKISHE BIASHARA INAKUA, Full stop!
 
hakuna kunegotiate, kazini nimekuajiri usimamie majukumu yangu thats why nakulipa, sasa kama upo na ya kwako, yangu hautakua nayo makini kwa 100% cas akili yako iko kwenye biashara yako ambayo unatumia eneo langu na muda wangu ambao naulipia kwa kukupa mshahara. awe sset kivipi na biashara imeshuka na yeye ndio yupo hapo kazini anatakiwa kunipa maoni na ushauri why biashara inashuka na nifanye nini ipande, but haezi nipa huo uahauri cas akilivyake haiko hapo, iko kwenye biashara yake . Na bora hio biashara yake ingekua ni njia ya kuongeza wateja kwenye biashara yangu tusinge hata negotiate kitu, ningekuachia ufanye utakavyo , but no? hapana, this is busness not a charity
Wabongo wengi sie ni vilaza kwenye biashara. Eti uruhusu mtu aanzishe biashara ndani ya biashara yako.
 
  • Mpe Mshahara wake kama mlivyokubaliana wala usipunguze hata 10.
  • Usimzuie kufanya Biashara zake mradi Biashara Yako inaenda.
  • Mungu alivyo wa ajabu utamzuia kufanya Vibiashara anavyofanya ukiona anapata Faida ili uanze wewe, utashangaa ukifanya wewe visikulipe... Acha tamaa...!
  • Kama unaona anauza Ubuyu, Karanga, Maandazi na ndo vinamletea faida nzuri, kuliko kumzuia fikiria na wewe kitu tofauti... Uza Ice cream, Juice n.k huo ni mfano tu.

Kuna Watu wanakuja na Baraka kwenye Maisha Yako ama Biashara Yako, soon ukiwaondoa ama ukawafanya waondoke, wanaondoka na Nyota zao...!
hebu acha uzwazwa, baraka zipo kwa yeyote yule duniani, hata wewe. isipokua tumetofautiana kwenye vipawa, yaani hurka, muonekano, the way una interact na watu na communication skills, na tabia tumetofautiana.

yule unaemuona amekuja na baraka, angalia customer service yake ilivo, jinsi anavoongea na wateja, jinsi wateja wanavofeel happy au trust in him/her, au anavovaa utagundua wateja wamempendea nini na why anauza sana.

kama biashara yako ina wateja wanaopenda service ya haraka, then ukaleta mfanyakazi mvivu, utapunguza wateja wengi sana, ukimuondoa ukaleta asie mvivu na yuko faster, wateja watarudi kwa kasi sana, cas wamepata/wamemkuta anaewaridhisha. na hii ndio meaning ya mvuto kwenye biashara au kazi, anakua na mvuto sababu anawaridhisha wateja (ambayo ndio baraka yenyewe).

thats why narudia kusema, if huyo binti anabiashara yake hapo kwenye biashara yako, trust me customer service yake kwa wateja wa bidhaa zako imeshuka sana, not kwa 100%, but 45-50% , cas anajigawa mala 2, kwenye yake na yako, akati yako bado unamlipa[emoji34] thats why mapato ya boss yameshuka toka 800k hadi 300 - 400k.
 
Muite muweke chini, umueleze kikubwa biashara yako kaiona imedrop, gharama za frem, mshahara na vitu vingine biashara haiendi, yeye anaonaje.. Msikilize kwanza.
Muulize kwake biashara ikoje, kama inalipa vizuri, umuongezee posho, mshahara muuvunje mpaka pale biashara itakapokaa sawa.

Kama kweli anapata faida atakubali.

Lakini mkuu faida ya 180k ndio ya kukutoa roho?
Watu wengine hawaitaji wengine wapige hatua hata ndogo.Hiyo 180 ni hela ndogo
 
Mtumie kukuzq biashara yako mwambie mbona uku nakufa awe mbunifu kwa maslah yenu ,maisha yab150k sio wtu wana ndoto kubwa 150 iyo ninela yabkutumia siku mbili
 
hio biashara yako kama roho yako ndio inakuambia hivyo kuona huyo kijana anapata sana ukamtoa na yenyewe itakufa tu mark my words. utaona sio ishu kwa vile wewe una perdiem na ujanja ujanja mwingiii wa kuandika viripot ripot hewa lakin utaish kwa dhiki sana
kama hakuibii ubaya upo wap? assum wew unauza spare mwenzako kaomba aweke kek na juis unaona anapata aana? mwewe ni mchawi
 
hio biashara yako kama roho yako ndio inakuambia hivyo kuona huyo kijana anapata sana ukamtoa na yenyewe itakufa tu mark my words. utaona sio ishu kwa vile wewe una perdiem na ujanja ujanja mwingiii wa kuandika viripot ripot hewa lakin utaish kwa dhiki sana
kama hakuibii ubaya upo wap? assum wew unauza spare mwenzako kaomba aweke kek na juis unaona anapata sana? wewe ni mchawi
 
Ujitaka kujua hii nchi ni maskini
Uliongelea faida nikajua ni pesa kumbe hiyo laki mbili, na hao wajinga wote wanaosema mtu hawezi kuwa na biashara yake ndani ya biashara yako hakuna hata mmoja ataweza ku survive kwa huo mshahara wa laki mbili, ndio wameona ni pesa ya kumkataza mtu kujiongeza,
Lazima utakua unafanya kazi halmashauri ndo mnakuaga na hizo roho
 
Back
Top Bottom