Nilimsomesha binti akaishia kuwa mcheza show

Nilimsomesha binti akaishia kuwa mcheza show

Mwache kwanza akae mtaani mwaka mmoja ajifunze maisha yalivyo.
Kama umeona watu wengi wakifa na kuwaua huwezi jua thamani ya uhai.
 
Umefanya kwa nafasi yako mengine muachie mwenyewe.

Kuna mdau hapo kasema vizuri. unaweza msaidia mtu hasa hàwa viumbe kwa wema tu wakaishia kukuona zuzu.
 
soma upya nilisema hakuchaguliwa cousre za afya na sikuwa na ujanja wa kumpeleka private asome afya kwa sababu ya kipato changu kipindi hicho, nilichokuwa nawez kuaford ni vyuo vya serikali na cutting point kwa vyuo vya serikali kwa course za afya ni kubwa
Acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo, mwanzo hukuandika hivyo ume-edit. Kama kweli umemsomesha hadi kufika hapo nakupongeza ila elewa umemwandalia mtu mke mwema. Utapata malipo mbinguni.
 
Acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo, mwanzo hukuandika hivyo ume-edit. Kama kweli umemsomesha hadi kufika hapo nakupongeza ila elewa umemwandalia mtu mke mwema. Utapata malipo mbinguni.
nimedit aisee baada ya kuona maswali mengi na nilichokiandika hakijikamilishi , but all ni all kama unamini katika MUNGU nilichokiandika hapa kina ukweli mtupu
 
Mwache kwanza akae mtaani mwaka mmoja ajifunze maisha yalivyo.
Kama umeona watu wengi wakifa na kuwaua huwezi jua thamani ya uhai.
wakati naanza kumsaidia niliambiwa natoka naye kimapenzi , nilimwambia MUNGU wangu kama ntawaka tamaa zidi ya huyu mtoto nipate laana na kweli sijawahi mtaamani alwyas anabaki kama mdogo wangu
 
Huenda alitaka amuoe huyu ticha ila hasemi ukweli tu!!!
Aisee Mzee Raza mtu unaweza usiwe na lengo baya ila mtoto wa kike akifika form five anabadilika na kuwa dada mkubwa na utamu kuanza kuonekana.. hadi afike chuo tayari tunda linakuwa limeiva kabisa. Kwa wakati huo shetani anakuwa anakushawishi kula tu umegharamia sana.. na ukicheki toto kweli limekaa mkao. Kama hauna msimamo lazima uteleze. Bila kupepesa macho ndo anachopitia huyu TICHA.. Tumwombee mwalimh wetu asiingie dhambini.
Cc mpwayungu village
 
nimuoe mtoto mdogo, tena Tom boy nchi ngumu hii
Kuna watu wanasomesha kwa kuwekeza kwamba akikua atamuoa. Huo utom boy si ameuanza baada ya kufika chuo lakini. Wakati Anatoka hapo Sekondari hakuwa tomboy kama sijakosea.
 
never na wala sijawahi kufikiri, mambo haya sitofanya kwenye maisha yangu yote 1.sitonunua malaya kwa pesa (namini ni chukizo) 2. sotomlala mwanamke bila ridhaa yake 3. sijawahi kuwaka tama kwa mabinti niliokaribu nao
Ticha jiepushe na mambo ya viapo. Haya mambo uliyotaja unaweza ukajikuta umefanya bila kutarajia.
 
never na wala sijawahi kufikiri, mambo haya sitofanya kwenye maisha yangu yote 1.sitonunua malaya kwa pesa (namini ni chukizo) 2. sotomlala mwanamke bila ridhaa yake 3. sijawahi kuwaka tama kwa mabinti niliokaribu nao
Sawa
Usitukane wakunga uzazi ungalipo ndugu mwalimu
 
Aisee Mzee Raza mtu unaweza usiwe na lengo baya ila mtoto wa kike akifika form five anabadilika na kuwa dada mkubwa na utamu kuanza kuonekana.. hadi afike chuo tayari tunda linakuwa limeiva kabisa. Kwa wakati huo shetani anakuwa anakushawishi kula tu umegharamia sana.. na ukicheki toto kweli limekaa mkao. Kama hauna msimamo lazima uteleze. Bila kupepesa macho ndo anachopitia huyu TICHA.. Tumwombee mwalimh wetu asiingie dhambini.
Cc mpwayungu village
nimtamani ili nini kitokee , kwani nikifanya naye ngono ntarudisha pesa zangu , hivi kweli zile pesa ntakuwa nimezipata kama sina pesa sina wala siwazi mabaya juu yake , ila namhurumia sababu siku zote natamani kuona mtu wa mazingira magumu anatoka kwenye maisha magumu n kuishi maisha ya kawaida ni hicho kinanisumbua na sioni kama kuwa dancer ni njia sahihi ya kujitoa huko kwenye maisha magumu, nimekulia na kuishi katika familia ambayo nimeona kundi la watu wengi ndugu na wasio ndugu walivyokuwa wanaasidiwa na marehemu baba yangu,, wengine tupo karibu nao hadi sasa , nimefaidika na network y mzee several times
 
Back
Top Bottom