Nilimsomesha binti akaishia kuwa mcheza show

never na wala sijawahi kufikiri, mambo haya sitofanya kwenye maisha yangu yote 1.sitonunua malaya kwa pesa (namini ni chukizo) 2. sotomlala mwanamke bila ridhaa yake 3. sijawahi kuwaka tama kwa mabinti niliokaribu nao
Never say never,,
 
Waingereza wana msemo "No good deed goes unpunished".

Waswahili wanasema "Tenda wema nenda zako, usingoje shukurani".

Huyo mtu hana obligation yoyote ya kupokea simu yako.

Shika hamsini zako.
 
Hatari sana ndugu, haya mambo ni magumu mno kwa kweli.
 
Hongera kwa kuwa na moyo mzuri wa kujitoa. Ki ukweli katika maisha wanasema ukifanyiwa wema hata kama usipomlipa mtu basi kumbuka hata kutoa shukrani. Naamin hata maandiko ya biblia yanasema hivyo. Na siku zote inaleta moyo pale unapomsaidia mtu msaada ule uzae matunda hata kama asipokusaidia basi abadilishe hali ya nyumbani kwa kuwa msaada mzuri kwa ndugu na jamaa zake. Sema ndo hivyo binadamu huwa tunasahau maisha ni nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa tumekisamehe kwa kukosa aya kwenye uandishi, tumekusamehe kwa kuumia moyo lakini ticha, ndo usitupe hata username yake tuone mauno?
 
Jf kuna watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…