Nilimsomesha binti akaishia kuwa mcheza show

Ticha tafadhari baomba uni pm number ya huyu bint nimuunganishe na shirika la kusaidia watoto wa hali hiyo, naona wewe msaada wako umeishia hapo uko kwenye masikitiko sie msaada wetu haina mwisho
 
Ww ulvyomsaidia ulitakiwa umpelekee moto[emoji23]ona sas kabinti kamekuwa tomboe
 
Ukiwa hapa duniani umetimiza wajibu wako.

Hongera sana.
 
Hajikubali huyo
 
Hongera kwa msaada
Atakuja siku kwako.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 

Muache atapata madanga wenye pesa hayupo njia mbaya sana ndo maisha mzee haya maisha inapaswa kua na roho mbaya tu
 
Wewe ndio huyo dogo nn
 
Mzee baba kuna watu wengine wamenata kwenye wimbi la matatizo na maisha magumu sio kwamba Mwenyezi Mungu hawaoni hapana anawafundisha kitu.

Wewe na kihelehele chako unajofanya Mungu [emoji23][emoji23][emoji23] lazima kikukute kitu...unabahati limekukuta dogo ...ilitakiwa upewe kesi ya kutembea na mwanafunzi alafu huyo unae sema unamsaidia ndio ashuhudie kuwa kweli unamtongozaga ukumuita kwako kuchukua ada
 
Hongera kwa kumsaidia, Ila muache apambane na maisha ameishakuwa mtu mzima Kama hapokei simu zako Basi haoni umuhimu siku akiona umuhimu wako atakutafuta.
 
Wewe sema huyo DEMU wako.

Hakuna demu mjinga asomeshwe akatishe mawasiliano ya ghafla hivyo.

Wewe jamaa tuambie ukweli
 
Hamna anae saidia bila lengo, wewe lengo lako lilikua lipi? Wewe sio serikali
Jamaa hataki kuwa mkweli.

Kama ingekuwa huruma tu, angesaidia wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…