Mkuu, kwa uelewa wangu mdogo: Among others, sababu zifuatazo (as per Sheria ya Ndoa ya 1971, Revised 2002) zinaweza kuishawishi mahakama kuamini kuwa NDOA husika hairekebishiki tena (the marriage has broken down beyond repair) na kisha kuivunja na kutoa TALAKA kwa muombaji-talaka (the petitioner):
(a) Kutelekeza mke (desertion) kwa zaidi ya miaka mitatu;
(b) Kutengana (separation) kwa zaidi ya miaka mitatu;
(c) Under 'presumption of death' (Dhana ya kifo), kwamba mtu akipotea kabisa without knowing his whereabouts for 7 years, then anadhaniwa kuwa ameshakufa.
Now, considering the circumstances za issue yenyewe, mleta uzi alimtelekeza mke wake tangu 2009 mpaka 2014. So kuhusu kuibatilisha hiyo talaka ni ngumu. Ila kuhusu nyumba pamoja na mali walizochuma pamoja wakati wa ndoa yao, still there are avenues possibly for him to secure back the assets. Apambane!
-Kaveli-