Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

nyumba na mke si wako tena. Ulimtenga kwa miaka mitano na kwa muda huo ina maana ndoa ilikufa. Kwa miaka mitano hukutoa matunzo kwa familia yako. gharama ya kuitunza familia kwa miaka 5 ndiyo dhamani ya hiyo nyumba-kwa hiyo nyumba siyo yako tena ni ya huyu kidume aliyekutunzia familia yako.
 
Sidhani kama umekosea



jamannn tuache kumdanganya huyu 2006-2014 umemtoroka mke bila hata kumpigia simu hata kuandika barua ukamweleza hahihalisi mkakubaliana ni ukatili, roho mbaya, n.k alishindwa kukaa bila kujua hatima yake akaolewa,

hata ungekuwa wewe ubgeshaia zamaani kabisaaa. kudai nyumba yako iwe mali ya watoto wako ni haki yako kabisa kwa hilo sina shida.
 
Kosa lako na kutomaintain communication na mkeo ulipokuwa Angola. Ulitaka akusubiri mpaka lini wakati hajui ulipo? Kama ndoa ni ya Kiislamu basi fahamu kuwa uislamu umeweka limit ya muda kwa situation kama hiyo yako, ikiwa mkeo hana taarifa zako kwa muda wote wa miaka hiyo uliyokaa bila mawasiliano wala makubaliano wala kumuaga ,jua kuwa ndoa HAKUNA HAPO. huwezi kumuweka binti wa watu "kifungoni" kiasi hicho bila makubaliano. Kama ndoa ilikuwa ni ya dini nyingine hapo sitii neno mana sina uelewa na huko, wajuzi watakuja kueleza.
Ama suala la nyumba hapo pana jasho lako na una haki ya kulitetea.
 
Hii hadithi nilishawahi kuisikia Clouds FM kipindi cha Leo tena
 
nyumba na mke si wako tena. Ulimtenga kwa miaka mitano na kwa muda huo ina maana ndoa ilikufa. Kwa miaka mitano hukutoa matunzo kwa familia yako. gharama ya kuitunza familia kwa miaka 5 ndiyo dhamani ya hiyo nyumba-kwa hiyo nyumba siyo yako tena ni ya huyu kidume aliyekutunzia familia yako.
Umejibu kisheria kama Kaveli au umejibu ki-kijiweni
 
Last edited by a moderator:
Kosa lako na kutomaintain communication na mkeo ulipokuwa Angola. Ulitaka akusubiri mpaka lini wakati hajui ulipo? Kama ndoa ni ya Kiislamu basi fahamu kuwa uislamu umeweka limit ya muda kwa situation kama hiyo yako, ikiwa mkeo hana taarifa zako kwa muda wote wa miaka hiyo uliyokaa bila mawasiliano wala makubaliano wala kumuaga ,jua kuwa ndoa HAKUNA HAPO. huwezi kumuweka binti wa watu "kifungoni" kiasi hicho bila makubaliano. Kama ndoa ilikuwa ni ya dini nyingine hapo sitii neno mana sina uelewa na huko, wajuzi watakuja kueleza.
Ama suala la nyumba hapo pana jasho lako na una haki ya kulitetea.

Wazo langu la kuitelekeza familia nimeliahirisha kutokana na. Uzi huu hadi hapo ntakapotangaza tena.Ijumaa Kareem
 
Wewe huko Angola ulikuwa single all those years? au wewe uweke watu kinyumba mwenzio akusubiri tu....tena bila kuaga....tena hajui ulipo....
 
Chai bora kilele cha ubora...

Chai bora ni majani ya Tatepa...
 
Pole sana ndugu, hayo yote ni mitiani ya dunia chamsingi piga miyo konde huna haja ya kumshtaki uyo bibie,

mwachie MUNGU wewe tafuta kukaa na watoto wako, mwachie hiyo nyumba,

tengeneza maisha yako na watoto wako, maana sidhani kama utarudia makosa ya nyuma ndugu yangu,

maani usijilaum pindi unapokosea bali jifunzi na utafakari ni wapi ulipo anguka ili usianguke tena,

mwisho
rudi kwa MUNGU maana dunia na vyote ni ubatili yeye atakuongoza katika njia iliyo nyooka,

na utaishi maisha ya furaha na Amani, yenye baraka tele, maana kwake hakuna majuto,

Angekuwa alikuwa na adabu baada ya jamaa kupigika ningeshauri amuachie nyumba, ila kwa zarau alizomfanyia msela baada ya kuishiwa pesa, nasema mnyang'anye nyumba tena fanya haraka. Hafai huyo mdada hata kwa kulumangia
 
nyumba na mke si wako tena. Ulimtenga kwa miaka mitano na kwa muda huo ina maana ndoa ilikufa. Kwa miaka mitano hukutoa matunzo kwa familia yako. gharama ya kuitunza familia kwa miaka 5 ndiyo dhamani ya hiyo nyumba-kwa hiyo nyumba siyo yako tena ni ya huyu kidume aliyekutunzia familia yako.

sio kweli
 
duh!! mademu wazuri hawawezagi kabisa kuvumilia shida mana km ana mtot wa miaka 3 ina mana alizalishwa mapema sana tuu.

any way how is freetown uko angola kifursa na changamoto zake ni zipi? km hutojali share nasi mkuu


Hivi ungekua wewe mwenzako anatoroka hujui ameenda wapi ungevumilia?
 
Kosa lako na kutomaintain communication na mkeo ulipokuwa Angola. Ulitaka akusubiri mpaka lini wakati hajui ulipo? Kama ndoa ni ya Kiislamu basi fahamu kuwa uislamu umeweka limit ya muda kwa situation kama hiyo yako, ikiwa mkeo hana taarifa zako kwa muda wote wa miaka hiyo uliyokaa bila mawasiliano wala makubaliano wala kumuaga ,jua kuwa ndoa HAKUNA HAPO. huwezi kumuweka binti wa watu "kifungoni" kiasi hicho bila makubaliano. Kama ndoa ilikuwa ni ya dini nyingine hapo sitii neno mana sina uelewa na huko, wajuzi watakuja kueleza.
Ama suala la nyumba hapo pana jasho lako na una haki ya kulitetea.

Wakuu nawashukuru kwa ushauri na mawazo yenu, nimefarijika sana

Lengo langu sio kumrudia ex wife wangu, mtu mwenye watoto wawili Wa mwanaume mwingine nitake kumrudia? Nitakua kichaa

Nachotaka ni nyumba yangu isiende kwa mwanaume mwingine wakati watoto wapo pale, kama ningekuta majina kwenye hati yapo ya kwangu vile vile, ningekaa kimya kabisa hata pamoja na huyo jamaa kuishi hapo kwangu

Sababu za Ku challenge ndoa yao ni kwa kuwa ndoa hiyo ndio chanzo cha nyumba kubadilishwa hati,
Waliitumia ndoa hiyo kama kigezo

Hata hivyo nina makazi mazuri sasa, hivyo nachopigania ni haki ya watoto na si mm
 
Pole sana mwenye makosa yote ni wewe mwenyewe huwezi muacha mkeo kipindi chote hicho bila taarifa yoyote,kikubwa pigania hiyo nyumba tu,hatuwezi jua ilikuwaje mpaka jina likabadilishwa labda mkeo aliuza jamaa akainunua na akaamua kuoa kabisa.


Makosa mawili makubwa, kamzoesha mke wake aina ya maisha ambayo hakuweza ku-maintain baada ya kupoteza kazi, na kuondoka bila taarifa wala mawasiliano kwa muda wote huo. Jamaa atumie busara tu kupata haki ya kuwa baba kwa wanae tu, tena awaombe msamaha kwa yote aliyowafanya wakapitia(i'm sure walidhani ameshakufa, au vyovyote vile) na awape muda.

Ila big up kwake kwa kutokata tamaa na kupambana mpaka amesimama tena.
 
Back
Top Bottom