Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

Haki yako hapo ni nyumba na hao watoto uliyozaa na huyo mkeo wa zamani.
 
Mke uliyekua umeoa hakua saizi yako, uzuri wa umbo lake tu ndo ulikuchanganya na kipato ulichokua nacho. Cha msingi wewe waache waendelee kula raha zao, wewe fight nyumba yako na mali zako zingine. Hangaikia watoto wako waende shule. Kiruka huyo huna haja ya kugombana naye.
 
Huyo Mke siyo kabisa,kashirikiana na hawara yake kishirikina wakupeperushe ili wafanye yao,DAWA zimeisha mume karudi,lianzishe uikomboe nyumba yako
 
Kama ulivyo pigana kupata pesa, pigana kupata mwana mwali mwingine kisha endelea na michakato yako, kama ni watoto waudumie wakiwa huko huko, na kama wanakupenda watakufata.

Haina haja ya wewe kupoteza muda mahakamani, mwisho wakuloge bure. Achana nao sahau yote komaa mbele kwa mbele, kwani mambo mazuri yapo mbele kwa mbele.
 
Hiyo avatar yako umetumwa na nani??

CC Kaizer ... shemeji anahujumu mwezi wa rozari
ahaahahahahahhahahhaha kwani mafungu ya rozari yanasema kuna kwadegesma?
hem acha mambo yako!
af nna libido ya kukuooooona,siku mingi sana chaaaa
 
Basically, TALAKA ikishakuwa granted by court, hufuatia IMPACT kuu 3:

(a) Kugawana mali za ndoa (distribution of matrimonial properties). Hapa mali zinazohusika ni zile tu zilizopatikana/zilizochumwa wakati wa uhai wa ndoa (jointly acquired during the marriage). Na hapa ndipo huibuka swali la je "yupi anapata kiasi gani?" (katika huo mgawanyo wa mali), hili tuliache kwanza.

(b) Custody of the Children. Uangalizi na malezi ya watoto. Generally, Sheria ya Ndoa inataka mtoto aged under 7 years, aishi kwa mama. Notably however, katika ku-grant custody ya mtoto, mahakama huzingatia sana maslahi bora ya mtoto (the best interest of the child). Kwamba ni upande upi mtoto akiishi ataenjoy na kupata haki zake zote za msingi including malezi bora, elimu, n.k. Hili limekuwa sensitively reflected kwenye Sheria ya Mtoto ya 2009.

(c) Maintenance of the children. Matunzo ya mtoto. Sheria ya ndoa inaeleza clearly kabsa kwamba jukumu la matunzo ya mtoto/watoto ni la baba (biological father. Matunzo hayo ni including basic needs kama chakula, mavazi, pia elimu, afya, n.k. Note: suala la matunzo ya mtoto liko pale pale hata kama hamkufunga ndoa, hata kama umemzalisha tu. Nadhani unakumbuka mahakama ilivyoamua ile kesi ya HOUSE GIRL Vs IGP MAHITA, juu ya matunzo ya mtoto, mpaka vipimo vya DNA vilitumika na Mahita akawa bound!! However, mama anaweza saidia matunzo ya mtoto endapo baba hajiwezi kabsa kiuchumi.

Kwaiyo, kama kuna mtoto/watoto na mali za ndoa, mahakama inatakiwa i-compromise izo inshu 3 hapo juu (a to c) in alongside with issuance of TALAKA.

So kuhusu case ya huyo mdada, kuna possible legal channels mbili: (1) Umesema walikuwa wanaishi nyumba ya kupanga, ila kuna nyumba ilijengwa na ikawa registered with Hati Miliki ya kampuni ya mwanaume. Japo hujaeleza kama nyumba hiyo ilijengwa wakati wa ndoa ama kabla ya ndoa. Now, kama ilijengwa wakati wa ndoa, possibly anaweza akapata haki yake ktk hilo, kwa ku-determine mchango wake wa hali au fedha au huduma kwa mume. Arudi mahakamani ku-establish hiyo issue ya nyumba in terms of mgawanyo wa mali za ndoa, note: kama tu ilijengwa wakati wa ndoa!
(2) Aende mahakamani kufungua kesi ya "matunzo ya watoto" dhidi ya baba wa watoto.

WITH EMPHASIS: ni jukumu la baba kuprovide full matunzo kwa watoto wake, huwezi kulikwepa hili kwa mlango wa sheria. Ila kibongo-bongo, akina mama wengi wanaachiwa watoto na kuhangaika nao pekeyao. This is due to the fact that watanzania wengi bado hatupo courageous (not aggressive) kudai haki zetu throuh legal settings zilizopo. Pia our systems for dispensation of justice bado zipo ineffective and very corrupt! So ili kuepuka legal complications plus kupoteza muda na pesa kufuatilia kesi, akina mama wengi huamua kupotezea tu na kukomaa kulea/kutunza watoto pekeyao.

Mkuu, I hope maelezo yangu yamekidhi hoja yako kwa kiasi fulani, japo mwanga wa kuanzia. Naamini wataalamu zaidi wa sheria watatoa michango yao pia. Also, my sincere apologies if my writing irritates, maana nimeandika kwa simu!

-Kaveli-
Mkuu upo vizuri na shukrani coz nimejifunza mengi toka kwako. Nami na kaswali kidogo tu, je ikiwa ndoa imefungwa ukiwa na nyumba iliokamilika Kwa 80%, wanasemaga nyumba hua aiishagi na hiyo 20% ikakamilika mkiwa kwenye ndoa je incase of anything na kufanya mkataba wa ndoa kuvunjika hapo kwenye swala la nyumba mgawanyo unaendaje? Ahsante
 
Kwanza pole kwa yote uliyokutana nayo. Nilivyoona tu heading nikataka kukuweka kwenye kundi la watu ninaowaita wahuni na wapuuzi. Lakini baada ya kusoma mwanzo hadi mwisho nimebaini kuwa pamoja ns mambo hayo yote wewe huwezi kuongia kwenye kundi hilo la wahuni na wapuuzi.

Hata hivyo, kuhusu lawama nadhani unayo sehemu yako ya kuibeba. Kwanza kwa kutokuwa mwaminifu kazini na pili kwa kuendekeza matumizi yasiyo ya lazima na kushindwa kujiwekea akiba. Hiyo mke naye anasehemu yake ya lawama ambao anapaswa kuzibeba.
 
Mario katika ubora wake, unaishije kwenye nyumba ya mwanaume mwenzio!!!!!!!!!! pigania nyumba ya watoto wako na kesi utashinda, ila na wewe hukumuaga hata mama ako jamani miaka yote hiyo una roho ngumu baba
 
Mmhhhh ngumu kumesa atiiii....................anyway just forget and start afresh
 
Pigania nyumba yako urudishiwe ila.kama mlijenga kipindi mpo kwenye.ndoa ni.vizuri ikauzwa mkagawana na wewe ukatafuta.maisha engine.kama ulizaa naye chukua watoto wako ambao sio wako usichukue
 
Mkuu upo vizuri na shukrani coz nimejifunza mengi toka kwako. Nami na kaswali kidogo tu, je ikiwa ndoa imefungwa ukiwa na nyumba iliokamilika Kwa 80%, wanasemaga nyumba hua aiishagi na hiyo 20% ikakamilika mkiwa kwenye ndoa je incase of anything na kufanya mkataba wa ndoa kuvunjika hapo kwenye swala la nyumba mgawanyo unaendaje? Ahsante


Mkuu, kuhusu mgawanyo wa mali za ndoa baada ya Talaka (baada ya ndoa kuvunjwa kisheria), Sheria ya Ndoa (ya Tanzania) imeeleza pia kuhusu mali zilizopatikana kabla ya ndoa, lakini mali hizo zikaboreshwa wakati wa ndoa.

Hebu jisomee wewe mwenyewe kifungu cha 114 cha Sheria ya Ndoa, kuhusu mgawanyo wa mali za ndoa. Soma chote kifungu hiki :

LMA.JPG


Hapo mwisho kwenye kifungu kidogo cha (3), kimejibu swali lako vizuri kabisa.

MUHIMU:

Mali za ndoa ni sharti ziwe zimepatikana kwa 'juhudi za pamoja' (joint efforts). Kwa muktadha wa Sheria ya ndoa, JOINT EFFORTS ni nini?

Sheria ya Ndoa imekuwa ikifanyiwa marekebisho from time time ili kulinda haki za wanawake. "Joint efforts" kwenye mali za ndoa ina tafsiri kuu mbili:

1. Kuwa na direct contribution kwenye mali za ndoa. Yaani kuwa na mchango wa moja kwa moja. Mfano, kiwanja cha mwanamke afu mkashirikiana kujenga nyumba. Mfano, mke kaajiriwa na mume kaajiriwa wakashirikiana kutafuta mali. Mfano, mume kaajiriwa mke mfanya biashara, wakashirikiana kutafuta maendeleo.

2. Majukumu ya nyumbani anayotimiza mke. 'Domestic Duties'. Hii iliwekwa hivi ili kulinda haki za wale wanawake ambao ni house wives, yaani mke hajaajiriwa bali ni mama wa nyumbani. Zile domestic duties anazozifanya nyumbani, kama vile kumfulia mume, kumpikia, kumliwaza, kumshauri, usafi wa nyumba, n.k..., zinakuwa considered as a 'contribution' towards kupatikana kwa mali za ndoa. So hata kama mke alikuwa ni totally mama wa nyumbani, na wakachuma mali, basi kwenye mgawanyo wa mali za ndoa anakuwa considered.

Mkuu City hunter j, natumai umepata mwanga japo kiasi fulani.

-Kaveli-
 
ahaahahahahahhahahhaha kwani mafungu ya rozari yanasema kuna kwadegesma?
hem acha mambo yako!
af nna libido ya kukuooooona,siku mingi sana chaaaa
Tena ufanye haraka kabla hizi nywele hazijaisha mpk kisogoni. Huu upara naona Mungu ananitafutia utajiri. Na hivi mwanaye alisema tajiri ni ngumu kuingia kwenye ufalme wa babaye, naona kama loho mtakavitu ananitega ...(ni zambi kumwambia loho ashindwe na kulegea??)

Maskini zangu wajameni...
 
Dai chako mkuu,huyo dingi haoni soo kulelewa ndani ya nyumba?
 
Jamaa amemsitiri mkeo uliemtelekeza na watoto.

Ulitaka wawe machokoraa?
Amemstiri wapi wewe Karucee? Alichofanya ni UTAPELI TU, kwa nini abadili jina liwe lake, nyumba yake hiyo? Kiufupi huyo mwanamke HANA AKILI, unabadili jina la nyumba unaandika la mwanaume asiyehusika hata chembe? Inamaana siku wakikorofishana hiyo nyumba WATAGAWANA, ambapo angeandika jina lake hiyo nyumba ni yake!
 
Mimi sio mwanasheria lakini utoro katika ndoa zaidi ya miaka mitatu huwa hakuna ndoa. Lakini pia lazima isibitishwe na mahakama. Kwa vyovyote vile nyumba imemilikiwa kinyume na sheria.
 
haujakosea kabisa although kuna mitazamo mingi hapo nyumba irudi kwa watoto tu ndo muhimu
 
Back
Top Bottom