Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

kiongozi pole sana kwa yote.....ulifanya makosa kuwatelekeza wanao.....mkeo angekaa na nyege hadi lini?????
hakikisha haki ya wanao inapatikana... adhabu yako inakusubiria.....
 
Mwaka 2006 nilipata matatizo kazini, nikafukuzwa kazi tulishikwa red handed mim ina mwenzangu tukiuza mafuta ya kampuni, nilikua nafanya kazi kwenye kampuni ya mafuta Kurasini.

Kwa kweli nilikua na hela sana kutokana na kitengo nilichokuwepo, mabosi walinitumia mimi kuiba mafuta ya kampuni na mwisho tunagawana.Bahati mbaya mabosi waligombana mmoja akaamua kutuchoma, dili likabumbuluka na jumba bovu likaniangukia mimi ukawa ndio mwisho wangu hapo.


Kumbe mwizi wa mafuta umerudi. Ngoja tulifanyie kazi!
 
Kosa lako kubwa lilikuwa katika kuchagua mke. Si kila mwenye jinsi ya kike anafaa kuwa mke Na mama. Hujachelewa pigania haki ya wanao tu.

waaapi kwani.alitumwaa mtoroke mkewe hata yeye anamakosa na yeye mwenyewe alinunua mapenzi kwa pesa......zilipoisha akaanza kumbwelambwela


kosa la huyu jamaa ni kununua mapenzi na si vinginevyo

usitumie peeeesa kama fimbo baba....just singin loudly
 
Umeshasema umerudi na mtaji wa kutosha na umeshajenga nyumba kwingine.
Nakushauri wachukue watoto wako ukaishi nao, tafuta mwanamke mwingine uoe.
Kama unaona hujaridhika, hiyo nyumba mliojenga na mkeo muiuze mgawane mali kila mtu aanze kivyake.
Huyo mkeo aendelee kuishi na huyo jamaa wake wewe na familia yako mpya.
 
Kama ulipotea miaka mitano na kuendelea na hamna ambaye alijua ulipo,apo kisheria ni umekufa so na ndoa imekufa,huyo mwanamke atarithi moja kwa moja kama mkeo baada ya ww kufa kisheria.
Inabidi uonyeshe kua hawakufuata procedure znazotakiwa,ila na mwanamke nae ana haki baada ya ww kupotea miaka mi5.
 
kosa ulilofanya ni kutelekeza familia yako. kosa ambalo ni moja ya sababu inayopelekea ndoa kuvunjika.
 
Hahaha....kijana hebu acha fujo

Poa mkuu, nilitaka nidandie umpe namba yangu useme siku hizi natumia hii!

Hapa najaribu kuchagua ID ipi inafanana fanana ili nibebe PM zako; Watu&, Watv8, Wetu8, Watu8' au VVatu8.

Avatar nabeba kama ilivyo.
 
basically, talaka ikishakuwa granted by court, hufuatia impact kuu 3:

(a) kugawana mali za ndoa (distribution of matrimonial properties). Hapa mali zinazohusika ni zile tu zilizopatikana/zilizochumwa wakati wa uhai wa ndoa (jointly acquired during the marriage). Na hapa ndipo huibuka swali la je "yupi anapata kiasi gani?" (katika huo mgawanyo wa mali), hili tuliache kwanza.

(b) custody of the children. Uangalizi na malezi ya watoto. Generally, sheria ya ndoa inataka mtoto aged under 7 years, aishi kwa mama. Notably however, katika ku-grant custody ya mtoto, mahakama huzingatia sana maslahi bora ya mtoto (the best interest of the child). Kwamba ni upande upi mtoto akiishi ataenjoy na kupata haki zake zote za msingi including malezi bora, elimu, n.k. Hili limekuwa sensitively reflected kwenye sheria ya mtoto ya 2009.

(c) maintenance of the children. Matunzo ya mtoto. Sheria ya ndoa inaeleza clearly kabsa kwamba jukumu la matunzo ya mtoto/watoto ni la baba (biological father. Matunzo hayo ni including basic needs kama chakula, mavazi, pia elimu, afya, n.k. Note: Suala la matunzo ya mtoto liko pale pale hata kama hamkufunga ndoa, hata kama umemzalisha tu. Nadhani unakumbuka mahakama ilivyoamua ile kesi ya house girl vs igp mahita, juu ya matunzo ya mtoto, mpaka vipimo vya dna vilitumika na mahita akawa bound!! However, mama anaweza saidia matunzo ya mtoto endapo baba hajiwezi kabsa kiuchumi.

Kwaiyo, kama kuna mtoto/watoto na mali za ndoa, mahakama inatakiwa i-compromise izo inshu 3 hapo juu (a to c) in alongside with issuance of talaka.

So kuhusu case ya huyo mdada, kuna possible legal channels mbili: (1) umesema walikuwa wanaishi nyumba ya kupanga, ila kuna nyumba ilijengwa na ikawa registered with hati miliki ya kampuni ya mwanaume. Japo hujaeleza kama nyumba hiyo ilijengwa wakati wa ndoa ama kabla ya ndoa. Now, kama ilijengwa wakati wa ndoa, possibly anaweza akapata haki yake ktk hilo, kwa ku-determine mchango wake wa hali au fedha au huduma kwa mume. Arudi mahakamani ku-establish hiyo issue ya nyumba in terms of mgawanyo wa mali za ndoa, note: Kama tu ilijengwa wakati wa ndoa!
(2) aende mahakamani kufungua kesi ya "matunzo ya watoto" dhidi ya baba wa watoto.

With emphasis: Ni jukumu la baba kuprovide full matunzo kwa watoto wake, huwezi kulikwepa hili kwa mlango wa sheria. Ila kibongo-bongo, akina mama wengi wanaachiwa watoto na kuhangaika nao pekeyao. This is due to the fact that watanzania wengi bado hatupo courageous (not aggressive) kudai haki zetu throuh legal settings zilizopo. Pia our systems for dispensation of justice bado zipo ineffective and very corrupt! So ili kuepuka legal complications plus kupoteza muda na pesa kufuatilia kesi, akina mama wengi huamua kupotezea tu na kukomaa kulea/kutunza watoto pekeyao.

Mkuu, i hope maelezo yangu yamekidhi hoja yako kwa kiasi fulani, japo mwanga wa kuanzia. Naamini wataalamu zaidi wa sheria watatoa michango yao pia. Also, my sincere apologies if my writing irritates, maana nimeandika kwa simu!

-kaveli-

nimekuelewa sana mkuu nyumba ilijengwa wakati wapo kwenye uchumba ila huyo dada aliyetalakiwa

ndo alikuwa anasimamia ujenzi , mwanaume aliamua kufanya unyama tu. Watoto mmoja ana miaka 7 na

mwingine 4.
 
Back
Top Bottom