Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

Ni upuuzi kumchapa viboko mtu mzima,
kama mmeshindwandana achaneni tu.
 
Sio kwa huyu mchaga kaka, yaana hata ukila mwezi mzima yy hawazi na hata nikimuonyesha dalili kuwa nataka kwenda nje kuchepuka kwake ni poa tu
Itakuwa na yeye anachepuka
 
Sio kwa huyu mchaga kaka, yaana hata ukila mwezi mzima yy hawazi na hata nikimuonyesha dalili kuwa nataka kwenda nje kuchepuka kwake ni poa tu
Huyo ndo mzuri sasa, au we unataka mke gani mkuu.
Huyo anakupa uhuru hutaki.
 
Fimbo kabisa km school girlπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ na bado unataka upikiwe na k upewe nyokooo zako ndo maana mnakufa vifo tatanishi maana kama yeye kakosea na ukamuadhibu kwa fimbo basi ujue yeye atakuadhibu kwa mbinu anazozijua yeye
 
Sasa ukisha fika hatua hiyo maana ya kuoa na kuwa na mke ni ipi,si bora aende akaolewe mbele ya safari
 
Sio kwa huyu mchaga kaka, yaana hata ukila mwezi mzima yy hawazi na hata nikimuonyesha dalili kuwa nataka kwenda nje kuchepuka kwake ni poa tu
Badi hatari hayuko tayari kupigania ndoa yake.
 
Mwanamke asiyejali tumbo la mume wake ni mwanamke hatari, huyo hata kukuua hashindwi
 
huyo mwananmke kabila gani
 
Eeeeh kazi ipo
 
Sio kwa huyu mchaga kaka, yaana hata ukila mwezi mzima yy hawazi na hata nikimuonyesha dalili kuwa nataka kwenda nje kuchepuka kwake ni poa tu
Kwanini unaendela kupotoka? Kwa hiyo umeoa mizimu yote ya kichaga? Nakusikitikia sana, ungekuwa umeoa watu wa kanda ya ziwa ungejuta kuitwa mwanaume.

Kwa hiyo akikohoa unaunganisha na uchaga? Nilitaka kukusaidia lakini kwa vile umetaja kabila kama vile hapa jf ni kilinge cha kutambika potelea mbali.
 
Kati ya kitu nilichojifunza usioe mwanamke kwa kumhurumia utajuta, wala usitegemee fadhila ukimpa msaada yaan Fanya ni sadaka (some time hata akikupa pussy usile) hawajua cha Kesho ndo walivyoumbwa lakin wala usiwalaumu
Hili ni la muhimu sana na wengi hawalizingatii hilo. Mwanamke ni kiumbe ambae hana fadhila na hana shukrani hasa kwenye ishu ya mapenzi. Unaweza kumtoa mahali pagumu/pabaya ambapo unaweza kuona kwa hali aliyokuwa nayo hawez kukubadilikia lakini ni tofauti huwa hawajali ulichokifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…