Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Umempa haki yake ya kikatiba safi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza nikuulize ana Msambwanda?Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo.
Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.
Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.
Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,
Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.
Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.
Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.
Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.
Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,
Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.
Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa huruma.
Mkuu La7 ulikosea wapi kwanini anakudharau?Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,
Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.
Kwani Mpaka unazaa naye unakuwa humjui tabia?Mi nilimuoa tukaja tengana kwa kiburi chake alikaa kwao miezi 3 nikamuonea huruma nikamrudisha kinachonikuta ni hatari mwanamke usimuonee huruma
Mtoto kashuhudia haya?Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo.
Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.
Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.
Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,
Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.
Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.
Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.
Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.
Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,
Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.
Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa huruma.
Usiongee Chochote ishi na yeye ni kama hayupo nguo zako jifulie,kula mgahawani,Jifulie,akikuongelesha kuwa bubu labda aongelee swala la kununua unga hapo umsikilize.Usimpe attention yeyote.Siku Tatu hatoboi akikuuliza chakula Cha mtoto kuwa bubu.Kaza.Sio kwa huyu mchaga kaka, yaana hata ukila mwezi mzima yy hawazi na hata nikimuonyesha dalili kuwa nataka kwenda nje kuchepuka kwake ni poa tu
Sema kaka umeshazoea kukesha.... Mwache lastborn akudekee kaka kuna raha yake ujue. Dekeza dogo usisahau na kulinda Uhuru wako 😂😂😂😂Jana Niki enda home, kulikuwa na ka family party.
Sasa nime tumia mda mwingi kupiga story na ndugu, Jamaa na marafiki.
Sibling wangu wa mwisho ndo kani sumbua Sana, maana hatuja onana mda mrefu.
Sasa shida usingizi ume goma😁
Unacheza na mwanamke, anaweza kuwa anakula kwa shoga yake au anashinda njaa hivyohivyo, au anashindia pemba.Sasa yeye anakula nini na ananyonyesha?
Hii imemkuta my bro hapo dom ni mwalimu shule x hizi za mabasi ya njano ni ya masister wa kihindi alitongoza mdada mfanya usafi wa hapo kazini kwao (mchaga) mistakenly akamjaza mimba, demu sio mzuri na kichwani ni mweupeee zaidi ya rim paper A4 ,..demu alivyomwambia bro kwamba ana mimba yake bro akamwambia waitoe demu kagoma, mwamba alivyoona demu kagoma akaanza kumkataa, yule demu alichokifanya akawashtua wa kwao! Moto ukawaka bro akabidi awe mpole tu akaoa mpaka sasa wana watoto wawiliNina mshkaji wangu alimpa mimba binti wa kichaga, wakapata mtoto wa kike jamaa akataka kumtema kisa jeuri . Wazazi wa binti wakamdai lazima amuoe kwa vile kaishi nae mkoani hapo Dar kwa miaka 2 la sivyo watamfanya kitu kibay, jamaa kamuoa mpaka leo wnaishi pamoja.
iIa wapo sahihi kamchezea sana binti wa watu .
Dah nime cheka Sana, Eti uhuru wako 🤣😄.Sema kaka umeshazoea kukesha.... Mwache lastborn akudekee kaka kuna raha yake ujue. Dekeza dogo usisahau na kulinda Uhuru wako 😂😂😂😂
Mabinti wa kaskazini sio wa kuchezea utaozeshwa kwa lazimaHii imemkuta my bro hapo dom ni mwalimu shule x hizi za mabasi ya njano ni ya masister wa kihindi alitongoza mdada mfanya usafi wa hapo kazini kwao (mchaga) mistakenly akamjaza mimba, demu sio mzuri na kichwani ni mweupeee zaidi ya rim paper A4 ,..demu alivyomwambia bro kwamba ana mimba yake bro akamwambia waitoe demu kagoma, mwamba alivyoona demu kagoma akaanza kumkataa, yule demu alichokifanya akawashtua wa kwao! Moto ukawaka bro akabidi awe mpole tu akaoa mpaka sasa wana watoto wawili
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo.
Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.
Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.
Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,
Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.
Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.
Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.
Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.
Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,
Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.
Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa hurum
Pole.Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo.
Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.
Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.
Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,
Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.
Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.
Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.
Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.
Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,
Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.
Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa huruma.