Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

Mwanamke ni chombo cha STAREHE wewe ulivyo fala unaoa...
Singo maza wote ni madanga umbea na kukosa akili ndiyo kumefanya waishie kuzalishwa
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo.

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.

Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.

Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa huruma.
Unaoa sabb ya huruma mkuu hakuna rangi utaacha kuiona hapo!!! Ndoa ni kitu serious jameni
 
Kama unaoa ili ufuliwe nguo na kupikiwa nyumbani Bado hujajuwa unaoa Kwa sababu gani?
Katika kuoa kila mtu ana vipaumbele vyake, matarajio na msukumo wake. Kwa mfano mimi nilisema kufua, kupiga pasi, Kupika, kutandika kitanda au kuhemea ni kazi ya Bimkubwa. Nahakikisha ana vitendea kazi, mie kushiriki physically katika haya majukumu ni big no
 
Acha ujinga unampigaje mwanamke,


Dawa ya mwanamke ni kutafuta mwanamke mwingine.


Utakuja kumgusa umuue ukaozee jela
 
Anza kwa kumuelewesha na kumfundisha taratibu,usitumie nguvu,ataelewa mitazamo yako na ndoa itadumu,kuna wana ndoa hawana dogo,jifunze ku- ignore baadhi ya mambo ,don't take them too big.

Utamaliza Bucha mkmkuu.
Kwa hivyo ungemshauri arudi kwao akafundishwe hivyo vitu kwa mama yake. Mwanamke hawezi kuwa hajui hivyo vitu common. Na huyo sio wa kujifunza bali ni jeuri. Yaani ufundishwe kwamba ukikosa vitu duka hili sogea duka la mbele?!!!!!!🤣🤣🤣🤣
 
Kwa hivyo ungemshauri arudi kwao akafundishwe hivyo vitu kwa mama yake. Mwanamke hawezi kuwa hajui hivyo vitu common. Na huyo sio wa kujifunza bali ni jeuri. Yaani ufundishwe kwamba ukikosa vitu duka hili sogea duka la mbele?!!!!!!🤣🤣🤣🤣
Kumpiga ndo suruhu?
 
Ushauri wangu kwa wanaume wenzangu ni Fall in love with the real woman. Muonekano wa nje wa Mwanamke haukupi amani na furaha ya maisha.
 
Ukute kaoa mara huko au kanda ya ziwa ndio wana hizo mishe za kupigana halafu anataja wachaga ili apate attention,mpuuzen huyu kuchaa anapiga mwanamke afu anajitapa crazy!
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo.

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.

Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.

Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa huruma.
Ukisha hakikisha kila kitu kipo na hapiki basi nenda kale zako hotelini urudi ulale!!

Hakuna wanachokereka Hawa viumbe kama ukimuonesha bila yeye waweza kuishi vizuri bila shida na ukafurahi!!

Wana tabia ya kujipa umuhimu mkubwa kana kwamba bila yeye ungeshakufa!!!
Achana kupigana na Hawa !dharau songs mbele!!
 
Sio suruhu, ila akizidi inabidi achezee kidogo ili akatafute wanaume wengine wa kuwaendesha sio mwamba
Mwanamume wa kweli hapigi mke,believe me,kapigane na wanaume,mimi siwezi na sitanyanyua mkono wangu dhidi ya mke wangu,tambua unapopiga mke naye ni binadamu na ana hasira zake,vipi akiamua kukurudishia si mnaweza uana,kwanini kama unaona haelewi si mnapeana muda kidogo ili kila mtu ajitafakari,waweza mbadili mtu uliyekutana naye ukubwani?

Unaposikia ndoa ni kuvumiliana wewe huwa unaelewa nini?
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo.

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.

Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.

Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa huruma.
Wanawake wabishi kama hawa usipende tukio liwe la kujirudia rudia yaan unatakiwa unagawa kichapo ambacho kitaweka historia asije hata kuwaza kusimama na wewe,yaan unapiga kama vile ni mwanaume mwenzako baada ya apo usitake kupigana tena ni kauli tu ukikuta hajafanya unafanya Tu mwenyewe unless labda akinyanyua tena mkono wake next time lakin usipende fighting za kujirudia rudia unaeza ekewa sumu ,au ulogwe au utafutiwe watu wa kukuuwa pia uwa ni watu wenye vinyongo vya mda mrefu Sana
 
Back
Top Bottom