Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.
Kati ya kitu nilichojifunza usioe mwanamke kwa kumhurumia utajuta, wala usitegemee fadhila ukimpa msaada yaan Fanya ni sadaka (some time hata akikupa pussy usile) hawajua cha Kesho ndo walivyoumbwa lakin wala usiwalaumu
 
Mimi nilihemea miaka kama 4 na nilikuwa sipokelewi....

Wanawake type hiyo na hii yangu hawajui maana ya ndoa, na hawajui mke anapaswa kuwa na attitude gani kwa mumewe.

Mume anaporudi na chochote mke ni wajibu wako kumpokea, hata kama ni begi lake la kazini, sembuse mazaga ya nyumbani?

Kuna wanawake u-single mama upo damuni mwao, ni kama fate kwao.
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.
Huyo sio mbishi,ila kuna wanawake ukishaoa anaanza ligi na wewe,kila kitu mnashindana,kila kitu kizuri unachojaribu kumfanyia lazima inakua kinyume kwake,lakini all in all,wanawake wengi sana wanasumbuliwa na nguvu za giza,fuatilia sana kwenye makanisa, wanaoongoza kupandisha mapepo wakiwa kwenye maombi ni wao,kuna kitu hakiko sawa kwenye hii dunia kwa sasa,hali ni mbaya sana kwa wenzetu hawa,na asipokuwa na ukaribu na Mungu hali inakuwa mbaya zaidi.Asikudanganye mtu,ndoa kwa sasa hivi ni mwiba...
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.
Yaani ukisimuliwa au kuyaona haya kwa mwenzio unaweza sema jamaa ni mkatili saana ila kuishi na mwanamke jamani yataka moyo.
Nilijua miongoni mwa viumbe ambao walitakiwa wawe na huruma na sisi ni wanawake tumeanza kuwatendea wema na kuwasamehe tangia historia ya kuumbwa kwetu lakini malipo Yao kwetu yamekuwa yakuumiza sana.
Yaani katika hii Dunia kiumbe ambacho kipo karibu saana na shetani ni mwanamke.
Wanaume ni lazima tuchukue tafadhari katika kuishi nao, mwanamke ndio mlango mkubwa wa shetani.
Ukikaa na mwanamke shetani hawez kuingia kwako we mwanaume Moja kwa Moja lazima aanze kwa mwanamke.
Nakusihi kijana usirudie Tena kumtandika vibao huyo mwanamke, shetani ana roho ya mauti anataka kuweka kwa huyo mwanamke usije jilaum, akizidisha mrudishe kwao
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.
Tukusaidieje?
 
Pole, tatizo huyo ni mother house na akili yake imemtuma kwa sababu unashinda kwenye mishe mishe basi wewe ni malaya una wanawake wengine na ulimuoa kwa sababu ana mimba na kwa sababu ameshazaa anahisi humpendi tena na una wanawake wengine ukiwatia mimba utawaoa tena. Na inaonekana umepunguza kupiga bao hivyo anahisi una mwanamke mwingine. Ulikosea kumpiga kabisa tena kosa kubwa. Ulipaswa ufanye utafiti umuulize shida angefungukua ila wewe unaonekana huna muda wa kuongea naye ni kuomba tu kupiga bao, kuaga kwenda kazini, amri amri tu yaani humpi muda wa kuongea naye, na yeye anajiona ni haki yake wewe umbembeleze. Ili kurekebisha, hakikisha kwanza usimshirikishe mshauri yeyote, wewe cha kwanza rudi nyumbani mpigie magoti umuombe msamaha kwanza. Then kaa muda msome hasa shida yake atakuambia kila kitu na matatizo yako yataisha. Pia chunguza inawezekana kuna mbea kaleta umbea au inawezekana hata simu yako etc. Wanawake wana akili finyu sana tena sana, anaweza kuwa anakuwazia vitu vya ajabu hata kukua kisa tu labda umerudi hujamuita mpenzi etc. Pole naamini ndoa yako itapona
......Wewe cha kwanza rudi nyumbani mpigie magoti muombe msamaha........😂😂😂
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.
Huyo siyo wa mwaka 2000 kweli,maana ni majipu balaa!
 
Yaani ukisimuliwa au kuyaona haya kwa mwenzio unaweza sema jamaa ni mkatili saana ila kuishi na mwanamke jamani yataka moyo.
Nilijua miongoni mwa viumbe ambao walitakiwa wawe na huruma na sisi ni wanawake tumeanza kuwatendea wema na kuwasamehe tangia historia ya kuumbwa kwetu lakini malipo Yao kwetu yamekuwa yakuumiza sana.
Yaani katika hii Dunia kiumbe ambacho kipo karibu saana na shetani ni mwanamke.
Wanaume ni lazima tuchukue tafadhari katika kuishi nao, mwanamke ndio mlango mkubwa wa shetani.
Ukikaa na mwanamke shetani hawez kuingia kwako we mwanaume Moja kwa Moja lazima aanze kwa mwanamke.
Nakusihi kijana usirudie Tena kumtandika vibao huyo mwanamke, shetani ana roho ya mauti anataka kuweka kwa huyo mwanamke usije jilaum, akizidisha mrudishe kwao
Mwanaume nguvu yako kubwa kwa mwanamke ni uvumilivu. Tatizo kubwa kwa akinamama ni pale ambapo msaada wanauona ni haki, anaweza kuomba pesa, ukamtumia na si ndogo, akipokea, hata sms ku acknowledge kuwa Imefika, hutaiona. Isipofika, makelele hayo, utaomba Ardhi ipasuke.

Shida ya pili ni pale ambapo ni wabinafsi. Yeye anataka umtunze, lakini kujua wajibu wake ni kukuletea, hilo si muhimu. Tunaishi nao kiugumu ugumu ugumu tu.
 
Kumbe ni mchaga! 😲

Kimbia hapo kabla bomu halijalipuka hilo kabila halifai hata kidogo.

Afu ukute ni mlevi ndo kabisa utazikwa huku unajiona
Kiufupi ukiwa pong'o usioe Binti mchaga!
Hapo tafuta Hela vyakula vijae nyumbani ukikosa unga waugali Kuna Mchele,ungangano,viazi,ndizi nk.
usisahau frijini vi wine,maziwa,juice nk.
Usipige mwanamke kisa umefeli wewe kumtunza. Tafuta helaaa mwanamke akisumbua unaenda mchepukoni unakula maraha unarudi unacheua masamaki alafu mwepesiii wala huwazi shoo mwenyewe mbona atakaa sawa.
Skuizi hatuwapigi vibao tunawapiga matukio tuu
 
Back
Top Bottom