Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

Wewe kwa Nini umeweka fimbo chini ya uvungu , inafanya Nini huko chini, inamanisha umetunza Ili umchapie mkeo iyo fimbo mara kwa mara, unaacha kutunza fimbo ya katikati ya mapaja Ili utumie kumchapia mkeo vizuri kabisa.
 
Sio kwa huyu mchaga kaka, yaana hata ukila mwezi mzima yy hawazi na hata nikimuonyesha dalili kuwa nataka kwenda nje kuchepuka kwake ni poa tu
Ukiona hivo ujue ana mchepuko kwahiyo ashazoea..haoni tabu kulipiza kisasi.
Embu mchunguze kama ana mapenzi ya kweli huyo baadae usije pata majuto zaidi ni bora uandae mkakati mapema.
Usije ukaingia kwenye kifungo cha ndoa ukajutia life lako lote.
 
,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,
Mkuu punguza complications zitakugalimu ,kumbuka huyo mke ni mwili tofauti,kichwa tofauti,fikra tofauti na hulka tofauti,binafsi swala la mke kutopokea mzigo wa mme na hapohapo mme analichukulia kwa uzito naona kama mwanamme ni mtata.

Mimi huwa natoka safari na begi langu sipokelewi na moja kwa moja najipelekea maji ya kuoga bafuni,sasa niko na 10+ years ya ndoa ,sijawahi kunyanyua mkono wangu kumpiga shemeji yako.

Anza kwa kumuelewesha na kumfundisha taratibu,usitumie nguvu,ataelewa mitazamo yako na ndoa itadumu,kuna wana ndoa hawana dogo,jifunze ku- ignore baadhi ya mambo ,don't take them too big.

Utamaliza Bucha mkuu.
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.
Ongea nae atafunguka ujue tatizo lake.
 
Km amesoma na hajabahatika kupata Kaz bas ukute ana stress 😀 ila na mm natoto ya kunyiramba ni bishi km lako ila lenyewe linapenda kupingwa (dolingo)yn mda wote nikifika tu anataka nimpige mti tu ukienda kuchek msos hamna itaniua njaa hii nyau ya kinyira
 
Km amesoma na hajabahatika kupata Kaz bas ukute ana stress 😀 ila na mm natoto ya kunyiramba ni bishi km lako ila lenyewe linapenda kupingwa (dolingo)yn mda wote niiifika tu unataka niipge mti ukienda kuchek msos hamna itaniua njaa hii nyau ya kinyira
Wanawake wengine ni shida. Unajitahidi kupiga miti hadi kiuno kinauma lakini bado tu anataka dah!🤣
 
Ndoa ni miongoni mwa mikataba ya kijamii ambayo mtu hupaswa kuwa makini sana kabla ya kuingia ndiyo maana katika jamii nyingi za Kiafrika Wazazi wallichukua jukumu lankuwachagulia vijana wao wenzi wao Kwa kutumia uzoefu wao Ili angalau kuwaepushia madhila na dhahama mbalimbali za ndoa siku za usoni.

Ni jambo la ajabu sana kuamua kuoa kwa sababu ya huruma ya mimba. "HURUMA?"
Mkuu haupo serious na maisha yako
 
Ni kuwawasha tu.... Pighaaa kabhisaaa huyo rafiki Ake shetani.... Pighaa kweli kweli mpaka ajutie kula tunda...
Pighaa huku mguu mmoja umemkanyaga shingoni... Hapo ndo atajua upo serious...
Aimama kama mwanaume wa ukweli... Pighaaaa kweli kweli
 
Pole, tatizo huyo ni mother house na akili yake imemtuma kwa sababu unashinda kwenye mishe mishe basi wewe ni malaya una wanawake wengine na ulimuoa kwa sababu ana mimba na kwa sababu ameshazaa anahisi humpendi tena na una wanawake wengine ukiwatia mimba utawaoa tena. Na inaonekana umepunguza kupiga bao hivyo anahisi una mwanamke mwingine. Ulikosea kumpiga kabisa tena kosa kubwa. Ulipaswa ufanye utafiti umuulize shida angefungukua ila wewe unaonekana huna muda wa kuongea naye ni kuomba tu kupiga bao, kuaga kwenda kazini, amri amri tu yaani humpi muda wa kuongea naye, na yeye anajiona ni haki yake wewe umbembeleze. Ili kurekebisha, hakikisha kwanza usimshirikishe mshauri yeyote, wewe cha kwanza rudi nyumbani mpigie magoti umuombe msamaha kwanza. Then kaa muda msome hasa shida yake atakuambia kila kitu na matatizo yako yataisha. Pia chunguza inawezekana kuna mbea kaleta umbea au inawezekana hata simu yako etc. Wanawake wana akili finyu sana tena sana, anaweza kuwa anakuwazia vitu vya ajabu hata kukua kisa tu labda umerudi hujamuita mpenzi etc. Pole naamini ndoa yako itapona
Hivi unaishije na mwanaume kama huyu anakutandika hivyo. Kazi kweli.
 
Mkuu , usitumie nguvu Sana kumbadilisha MTU.

Unapomuona mke wako hatoi ushirikiano don't demand her attention.

Kama sio mgonjwa jifanyie shughuli zako mwenyewe .

Waweza kupika
Waweza kujifulia
Waweza kujioshea hadi vyombo.

So kuliko kuwa na migogoro ambayo itakuletea stress, hasira, chuki n.k.

We Jifanyie kazi zako mwenyewe , mfano Una njaa siunaweza kupika.
 
Mkuu punguza complications zitakugalimu ,kumbuka huyo mke ni mwili tofauti,kichwa tofauti,fikra tofauti na hulka tofauti,binafsi swala la mke kutopokea mzigo wa mme na hapohapo mme analichukulia kwa uzito naona kama mwanamme ni mtata.

Mimi huwa natoka safari na begi langu sipokelewi na moja kwa moja najipelekea maji ya kuoga bafuni,sasa niko na 10+ years ya ndoa ,sijawahi kunyanyua mkono wangu kumpiga shemeji yako.

Anza kwa kumuelewesha na kumfundisha taratibu,usitumie nguvu,ataelewa mitazamo yako na ndoa itadumu,kuna wana ndoa hawana dogo,jifunze ku- ignore baadhi ya mambo ,don't take them too big.

Utamaliza Bucha mkuu.
Hivi haya ya kupelekewa maji bafuni bado yapo?
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.
Hamna ndoa hapo ni suala la muda tu kila mtu atakuwa kwake.
 
Ukiona hivo ujue ana mchepuko kwahiyo ashazoea..haoni tabu kulipiza kisasi.
Embu mchunguze kama ana mapenzi ya kweli huyo baadae usije pata majuto zaidi ni bora uandae mkakati mapema.
Usije ukaingia kwenye kifungo cha ndoa ukajutia life lako lote.
Na wanatunza visasi sana. Huko mbeleni ukiwa umesahau,, atakulipiza kisasi. Chunguza vyema muda haurufi nyuma.
 
Back
Top Bottom