Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

Sio kwa huyu mchaga kaka, yaana hata ukila mwezi mzima yy hawazi na hata nikimuonyesha dalili kuwa nataka kwenda nje kuchepuka kwake ni poa tu
Mchagga wa wapi kwanza???
Kaishi kwa moshi au mjini sana???
Kaka hiyo hali ya huyo mwanamke sio kwa sababu ya kabila au vipi? Mimi nilishawai kuwa na wa ivo....ukweli ni kwamba kakukinai yaani hajapenda maisha mliyo nayo ivo anajaribu kukudharau ili aondeke....hatma yake ni majuto.
 
Mchagga wa wapi kwanza???
Kaishi kwa moshi au mjini sana???
Kaka hiyo hali ya huyo mwanamke sio kwa sababu ya kabila au vipi? Mimi nilishawai kuwa na wa ivo....ukweli ni kwamba kakukinai yaani hajapenda maisha mliyo nayo ivo anajaribu kukudharau ili aondeke....hatma yake ni majuto.
Huyu kayataka acha apambane !
Ndoa katishwa akaingia king ndio akome kuchezea watoto wa watu , mtu mwenywe mlevi.
 
Pole sana mkuu unapitia hali ngumu sana,ila kwaushauli jipe muda wakufanya mabadiliko huyo mwanamke hakufai niwahovyo sana kuwahi kuona dunia hii.
Kutafuta mke alie bora nijambo nzuri zaidi.
Nakukaa singo nibora kwa Afya ya mwili na Akili.
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.
sio kweli,dosari ipo kwako
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.


Kwa wanaume kama wewe? Ndo maana wanaume wote tunaonekana wajinga, na nawaonea Huruma wanawake wa hii nchi.
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.
Safi sana mkuu,utafute heka kwa hasho ye alete ujinga,peleka kwao kabisa ikibidi
 
Pole, tatizo huyo ni mother house na akili yake imemtuma kwa sababu unashinda kwenye mishe mishe basi wewe ni malaya una wanawake wengine na ulimuoa kwa sababu ana mimba na kwa sababu ameshazaa anahisi humpendi tena na una wanawake wengine ukiwatia mimba utawaoa tena. Na inaonekana umepunguza kupiga bao hivyo anahisi una mwanamke mwingine. Ulikosea kumpiga kabisa tena kosa kubwa. Ulipaswa ufanye utafiti umuulize shida angefungukua ila wewe unaonekana huna muda wa kuongea naye ni kuomba tu kupiga bao, kuaga kwenda kazini, amri amri tu yaani humpi muda wa kuongea naye, na yeye anajiona ni haki yake wewe umbembeleze. Ili kurekebisha, hakikisha kwanza usimshirikishe mshauri yeyote, wewe cha kwanza rudi nyumbani mpigie magoti umuombe msamaha kwanza. Then kaa muda msome hasa shida yake atakuambia kila kitu na matatizo yako yataisha. Pia chunguza inawezekana kuna mbea kaleta umbea au inawezekana hata simu yako etc. Wanawake wana akili finyu sana tena sana, anaweza kuwa anakuwazia vitu vya ajabu hata kukua kisa tu labda umerudi hujamuita mpenzi etc. Pole naamini ndoa yako itapona
Du... sasa shida yote hii ya nini na tunaishi mara moja tu.. kumdekeza mtu mzima ni kazi sana mimi nilishindwa.
 
Huyo ni aina ya wanawake ambao kazi yao ni kuzaa tu,suala kulea mtoto hilo siyo jukumu lake.
Kwa hiyo ukimpuuza kwa kudhani kuwa atajali kuhusu kumnyonyesha mtoto itakuwaje hilo yeye hajali kabisa.

Kama ilivyo kwa ng'ombe ambao wakizaa kunyonyesha mpaka wafungwe kamba hata binadamu wapo wa namna hiyo na ndiye huyo mke wa jamaa kwani kwa umri wa huyo mtoto kipaumbele chake ingelikuwa ni kula ili amnyonyeshe mtoto.
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo,

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena,

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo,

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saambili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto,

Basi nikamwambia afanye awezalo mm nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi,

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu,

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga,

Nilivoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivo kelele hazikuwa kitu,

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndo yaliyonikuta mm kwa kujifanya ni wahuruma.
Sasa si ungemchapa na fimbo kubwa kwa Fujo alafu uone kama haendi
 
Back
Top Bottom