Nilimwalika peke yake kaja na wenzie 4, nimewaagizia Novida

Nilimwalika peke yake kaja na wenzie 4, nimewaagizia Novida

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.

Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.

Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.

Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.

Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule mhudumu nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.

Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
 
Wanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.

Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino
[emoji23]wanaume tutafika mbngun tumechoka sana
 
Wanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.

Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.

Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.

Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.

Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule wakala nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.

Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
Oyaa , ila kua mwanaume sio kazi rahisi [emoji1787]
 
Wanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.

Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.

Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.

Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.

Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule wakala nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.

Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
Hii noma novida umewadharau sana
 
Kabisa wakijanhivyo wapo tayari kugegedwa threesome foursome wewe tuu. Cha msingi savannah desparados na nyama kwa wingi. Baadae unajilia mbususu wee nikubafikisha tobo tuu
Hao kilevi kidogo tu unamaliza mchezo.
 
Hawa wana dawa 2;

1. Unawaacha waagize kwa fujo. Mkimaliza unalipa cha kwako na cha uliemualika.
Kenge za design hiyo zilivyo za ovyo hutoka na vichupi vyao tu, huwa hawana hata mia mbovu. Unaitelekeza ifanywe asusa na wenye bar.

2. Unahamisha attention yako kwa mmoja kati ya aliokuja nao kiasi cha kumfanya mualikwa kuona kabisa kafanya ukuwadi bila kudhamiria.
 
Back
Top Bottom