Nilimwalika peke yake kaja na wenzie 4, nimewaagizia Novida

Nilimwalika peke yake kaja na wenzie 4, nimewaagizia Novida

Okwi mwenyewe ndo kavaa hivi na slogan yao
p_6832124121384522232757_0_5e7075bc9850341bc4dd7edf10dd5eca.jpg
 
Alvaro kinywaji changu pendwa. Alvaro tamu
Naam...

Mara ya mwanzo kuzijua hizo soda ilikuwa Nairobi, wakati huo bongo havikuwepo, za Kenya wanapack kwenye chupa kama Bavaria...

Na kuna nyingine inaitwa Alvaro ni kama ina ladha sawa na Novida...

random+029.JPG
 
Maneno ya kujifariji eti ujenge njiani πŸ˜‚πŸ˜‚ Mungu alivyo na rehema atakupa miaka 100 ili uendelee kukaa hapo njianiπŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣 Aha upo mrembo. Vipi cpa ilishapatikana au bado kuna somo wamekukamata?
Mungu hampi mwanadamu miaka ya kuishi bali mungu umpa mwanadamu muongozo wa kuweza kuishi miaka mingi. Sasa ni wewe kufuata huo muongozo au lah. Mie naona kabisa huo muongozo nilishafeli maana hapa nilipo nahesabu miaka tuu nisepe zangu six feet under.
 
Back
Top Bottom