Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitii neno zaidi nisijenikagusa nikanasaThreesome ipo addictive sana yaani ukishajua threesome hii ya kugegeda demu mmoja wala hufurahii tendo
Novida ndo nini 😃Umewanyoosha hao, ila hawa wanaokuja na marafiki dawa ni moja tu, umemuita yeye akija na wenzie unaachana na yeye unabeba mwenzie mkali zaidi ili akili imkae sawa.
Jaribu mkuu uone utamu wa mbususu mbili kwa mpigo. Raha ya dunia hiyo. U havent lived until u have had a threesome 😜Sitii neno zaidi nisijenikagusa nikanasa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.
Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.
Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.
Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.
Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule wakala nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.
Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
Novida ndo nini 😃
ni tusoda tudogo hivi twa coca colaNovida ndo nini 😃
Wakipata presha wapeleke juu hapo Tanzanite wakapewe counselingWanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.
Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.
Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.
Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.
Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule wakala nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.
Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
Ooh sawani tusoda tudogo hivi twa coca cola View attachment 2529718
😂😂 kwaresma hii mkuu tufanye tobaJaribu mkuu uone utamu wa mbususu mbili kwa mpigo. Raha ya dunia hiyo. U havent lived until u have had a threesome 😜
Nitakununulia katoni nzima usijali 😊Ooh sawa
Kila mtu na imani yake bwana😂😂 kwaresma hii mkuu tufanye toba
😂😂😂 navijua sema jina ndo chenga tho sio mpenzi wa vi juice vya hivoNitakununulia katoni nzima usijali 😊