Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Alvaro kinywaji changu pendwa. Alvaro tamu
Bongo zipo hizi Numbisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alvaro kinywaji changu pendwa. Alvaro tamu
Nipo mkuu, CPA bado tunapambana nikiipata mbona ntakualika kwenye graduation. Why ujione ushafeli? Si tunapewa msamaha na kurekebisha tulipokosea na our Almighty God, bado tuna nafasi ya kurekebisha nayo ni sasa.🤣🤣🤣🤣 Aha upo mrembo. Vipi cpa ilishapatikana au bado kuna somo wamekukamata?
Mungu hampi mwanadamu miaka ya kuishi bali mungu umpa mwanadamu muongozo wa kuweza kuishi miaka mingi. Sasa ni wewe kufuata huo muongozo au lah. Mie naona kabisa huo muongozo nilishafeli maana hapa nilipo nahesabu miaka tuu nisepe zangu six feet under.
Kuwa muangalifu usije tuu ukafilisika 🤣🤣🤣
Mwenzio kila leo naishia kusafisha kiwanja tuu sijajenga wala aina familia🤣🤣🤣🤣
Mungu kusamehee haimaniknishi kuwa ataondoa madhara ya yale uliyofanya. Hayo yapo pale pale my dear.Nipo mkuu, CPA bado tunapambana nikiipata mbona ntakualika kwenye graduation. Why ujione ushafeli? Si tunapewa msamaha na kurekebisha tulipokosea na our Almighty God, bado tuna nafasi ya kurekebisha nayo ni sasa.
Sasa naona nimatumizi mabaya ya hela nataka kukiuza.😂😂😂 Una kazi ya kwenda tu kukitembelea kiwanja, utadhani kinaumwa
Niuzie tu mie, upate hela ya kuchakatia nakupa na bonus ya threesomeSasa naona nimatumizi mabaya ya hela nataka kukiuza.
Shida nikisave hela ikifika million nitake kununua tofali utashangaa shetani naye anakuletea threesome hiyooooo....unaona bora nichakate mbususu
Sawa njoo tuyajenge...tutasherehekea kuuza kwa kiwanja kwa kupiga threesome hatariNiuzie tu mie, upate hela ya kuchakatia nakupa na bonus ya threesome
Acha basi, CPA na kuolewa havihusiani bana😂Mungu kusamehee haimaniknishi kuwa ataondoa madhara ya yale uliyofanya. Hayo yapo pale pale my dear.
Pamba nije kula pilau la cpa. Totoz isi kali alafu una cpa...mhm kweli kuna kuolewa hapa🤔🤔🤔
😅😅Pisi kali gharama bloo,unakimbia kugharamia wakati hitaji lako ni kupiga na kusepa?au ulitaka kuweka kambi?😅😅😅Kula uliweWanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.
Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.
Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.
Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.
Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule wakala nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.
Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
Ya sh mia 6Jamani novida 😄😄😄
Alvaro zipo za kopo. hiziView attachment 2529750
Kawadharau sanaYa sh mia 6
Times six ni.. afu3 mia 6
😂😂😂😂Naona mmetuamulia kulee mtu kaagiza JD na chakula gani Sijui cha bei kubwa hukuu watu wazima bwamenyweshwa Novida!!
Deeeeeejjjaayyyyyy ongeza sautiiiii!🗣️
Na kakopo kake kamekaa kishuaAlvaro kinywaji changu pendwa. Alvaro tamu
Wee olewa vwana kusoma kupo tuu au bado tuu hujaonja sampuli za kutosha za de liboloAcha basi, CPA na kuolewa havihusiani bana😂