Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe muda niulize kwa mtu wa ardhi mkuu. Japo sijui shida ni nini PM sijafungaMkuu OKW BOBAN SUNZU ,Naomba kuuliza kama utakuwa na uzoefu wa bei za viwanja maeneo ya Malimbe ama Buhongwa. Kiwanja tambarare cha kunyenyua nyumba ya vyumba sita kinaweza dai Tsh Mil ngapi?
Nimekufuata PM nikakuta imefungwa
Upo teacher....kwema huko ulipo?Aiseee🙌
Mwenzako niliwakimbia wa IFM,nikawaachia msala,waagizie kuku wanne na shampeni kimbia zima simuWanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.
Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.
Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.
Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.
Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule wakala nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.
Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
Naunga mkono hoja yakoAcheni watoto wasome!
Nakuunga mkonoAcheni watoto wasome!
Asante G.Nakuunga mkono
Karibu JAsante G.
Asante BNaunga mkono hoja yako
Ticha kondeAcheni watoto wasome!
Noo...Bro ..rafiki zake wa nini?yaani unataka demu ukimuaproach siku ukimuwambia muonane ni mpka umwambie kuwa asije na wenzie?True halijui hiloKosa kumwalika bila kumpa masharti. Mbona kwenye harusi anafahamu kuwa kadi ni single au double
Eti unasemaa!!!Amejaa sifa na ushamba...ungewala wote wanakuwa washajiandaa Kwa lolote
Alikuja na resistivity ya nguvu kwenye hii mipango yakoLeo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.
😅😅😅😅uswazi sanaMnadate na wanawake wa aina gan hao ambao ukitoka nae anakuja na kijiji? Mbona me hainikuti?
Hii noma novida umewadharau sana
😅😅😅Wanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.
Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.
Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.
Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.
Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule wakala nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.
Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.