Nilimwalika peke yake kaja na wenzie 4, nimewaagizia Novida

Nilimwalika peke yake kaja na wenzie 4, nimewaagizia Novida

Wanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.

Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.

Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.

Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.

Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule mhudumu nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.

Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
Ulichotakiwa kufanya ni ungeondoka na mmoja ktk wale aliokuja nao. Ungekua umetoa funzo kwa wote 6
 
Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.
Sema na wewe umezingua kumwambia akija unamtongoza.
Ameleta hao rafiki zake ili usimtongoze, kwa mwanamke ni ushindi huo, hata ulivyofanya hivyo hujawakomoa ila atajisifia kuwa alitaka kunitongoza na ameshindwa.
Kwa yeye anaona ameshinda sababu amekunywa bure na hujamvua chupi.
 
Wanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.

Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.

Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.

Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.

Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule mhudumu nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.

Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
Yaani umemwalika Beyonce na yeye akaja na destiny's child!?
Tuliosomea Cuba unamwita Bob Marley anakuja na the wailers 😁
 
Sema na wewe umezingua kumwambia akija unamtongoza.
Ameleta hao rafiki zake ili usimtongoze, kwa mwanamke ni ushindi huo, hata ulivyofanya hivyo hujawakomoa ila atajisifia kuwa alitaka kunitongoza na ameshindwa.
Kwa yeye anaona ameshinda sababu amekunywa bure na hujamvua chupi.
Kama kashinda basi kombe ndio hizo Novida
 
Well done..Siku nyingine akija na mtu/Watu wewe dili na rafiki yake zaidi tena mbele yake..yeye muhusika usi mpe attention..
 
Back
Top Bottom