OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #141
Muachane leo leo? Haaa haaaMi demu nimwite aje na mwenzake yaani atakuwa kanikera sana na lazima nimchane ukweli hiyo siku na ninamwambia live tuachane leo leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muachane leo leo? Haaa haaaMi demu nimwite aje na mwenzake yaani atakuwa kanikera sana na lazima nimchane ukweli hiyo siku na ninamwambia live tuachane leo leo.
Ndiyo mkuu.Muachane leo leo? Haaa haaa
Ulichotakiwa kufanya ni ungeondoka na mmoja ktk wale aliokuja nao. Ungekua umetoa funzo kwa wote 6Wanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.
Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.
Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.
Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.
Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule mhudumu nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.
Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
Sema na wewe umezingua kumwambia akija unamtongoza.Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.
Yaani umemwalika Beyonce na yeye akaja na destiny's child!?Wanawake ni kama kenge, hasikii mpaka atokwe damu za masikioni. Tumeshasema sana ukialikwa dina njoo kama ulivyoalikwa. Mambo ya kuleta timu sio hekima. Kila siku tunasema.
Leo nimemualika dogo wa SAUT tumebadilishana namba juzi tu kwenye daladala. Nikamwambia njoo hapa Bambino tunywe na kula, kisha nitakutongoza.
Amekuja kunimbia yupo na wenzake tayari wamekodi bajaji wanashuka toka Malimbe. Hela ipo lakini nimeona nimkomoe kiroho safi.
Nimetafuta ka bar kakishkaji ambacho hakawezi kukosa chips na Novida. Nimewapa maelekezo waje pale baadae tutaenda saa 1 Bambino.
Kupenda sifa amenitambulisha na mbwembwe kibao eti nipo serikalini. Nimewaambia naenda wakala wa bank na pia nawaitia mhudumu agizeni. Yule mhudumu nimempanga asisikilize mtu apeleke Novida 6.
Hii ni muda huu bado nipo kwa wakala nazuga zuga nione watasemaje hawa viumbe.
Kama kashinda basi kombe ndio hizo NovidaSema na wewe umezingua kumwambia akija unamtongoza.
Ameleta hao rafiki zake ili usimtongoze, kwa mwanamke ni ushindi huo, hata ulivyofanya hivyo hujawakomoa ila atajisifia kuwa alitaka kunitongoza na ameshindwa.
Kwa yeye anaona ameshinda sababu amekunywa bure na hujamvua chupi.
nakaziaAcheni watoto wasome!