Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu tusitiane minyege mchana wa jua kali aiseeee...😋Jamani, kichwa cha Habari kinajieleza.
Mimi nilikuwa na mwanaume nimemzidi miaka 10, mwanzoni hata haikuwa serious maana tuko tofauti,
ila mi ni wale wanawake ambao nikiwa na mwanaume basi bahati hazimkauki (nna walinzi)
Baada tu ya miezi 3 nikapata kazi na kijana akapata kazi ya pili tena yenye kipato, sikushangaa najijua, ila sasa akabadilika, tukikutana haogi anaenda hivyo hivyo kwenye mizunguko.
Mara nikilala kwake nanyolewa nywele na yeye anakuwa wa Kwanza kuona nimenyolewa. Sasa juzi nimeacha kazi na yeye akaacha siku hiyo hiyo.
Naona hayo yote ila bado niko nae tu. Sasa saivi nikiwa nae naumwa Homa ya ajabu, (walinzi hawamtaki, wamemchoka anavyoninyanyasa)
Yani mpaka walinzi wameingilia Kati, hali ilikuwa mbaya ndugu zangu.
Kuweni makini kwenye mahusiano, kuweni makini.
to yeye mamboMbona tunaolewa mkuu
naomba tuwe wote ili na mimi uniambukize walinzi.Ni mshirikina..
Mara aniambie yeye bila mimi hawezi, mara oh we tajiri sana mke wangu, Kuna mda anaropoka vitu ukija ukikaa unatahamaki
Lipia tangazo kwa muhasibu wetu Ushimen na katibu Half americanJamani, kichwa cha Habari kinajieleza.
Mimi nilikuwa na mwanaume nimemzidi miaka 10, mwanzoni hata haikuwa serious maana tuko tofauti,
ila mi ni wale wanawake ambao nikiwa na mwanaume basi bahati hazimkauki (nna walinzi)
Baada tu ya miezi 3 nikapata kazi na kijana akapata kazi ya pili tena yenye kipato, sikushangaa najijua, ila sasa akabadilika, tukikutana haogi anaenda hivyo hivyo kwenye mizunguko.
Mara nikilala kwake nanyolewa nywele na yeye anakuwa wa Kwanza kuona nimenyolewa. Sasa juzi nimeacha kazi na yeye akaacha siku hiyo hiyo.
Naona hayo yote ila bado niko nae tu. Sasa saivi nikiwa nae naumwa Homa ya ajabu, (walinzi hawamtaki, wamemchoka anavyoninyanyasa)
Yani mpaka walinzi wameingilia Kati, hali ilikuwa mbaya ndugu zangu.
Kuweni makini kwenye mahusiano, kuweni makini.
Mwee!Ah sitaki mapenzi mimi,
Mmempa uhasibu Ushimen ? Ngoja akapombeke na mdogo wake Intelligent businessmanLipia tangazo kwa muhasibu wetu Ushimen na katibu Half american
Umenikumbusha ule ujumbe (mjukuu wangu nimekuletea ndagu iliyomtajirisha Abdala)Mjukuu wa mzee Mpili nini????????😀😀😀
Poa Habari?to yeye mambo
Intel kumbe mlevi?Mmempa uhasibu Ushimen ? Ngoja akapombeke na mdogo wake Intelligent businessman
Huyo mlevi wa kupindukiaIntel kumbe mlevi?
Basi sawa
Ndio maana alituaibisha wanaume majuziHuyo mlevi wa kupindukia
nzuri to yeye unanivutia sana japo sikufahamPoa Habari?
Huyo kuaibisha n kawaida kwake utamuona tu akija hapa ataanza kuniita nusu manara.Ndio maana alituaibisha wanaume majuzi
Duuuuh ngoja kwanza nakujaMimi nilikuwa na mwanaume nimemzidi miaka 10, mwanzoni hata haikuwa serious maana tuko tofauti,
ila mi ni wale wanawake ambao nikiwa na mwanaume basi bahati hazimkauki (nna walinzi)
Ooh mbona nafahamika sana mkuu...mshangazi promax jf 😊 karibu sananzuri to yeye unanivutia sana japo sikufaham
hapo kwa profile mwenye kajicho katamu ni wewe?Ooh mbona nafahamika sana mkuu...mshangazi promax jf
Mzee wangu Ushimen Hawa madogo tulinwakosea kipi😆🤓Mmempa uhasibu Ushimen ? Ngoja akapombeke na mdogo wake Intelligent businessman