Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Tulia weweMzee wangu Ushimen Hawa madogo tulinwakosea kipi😆🤓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia weweMzee wangu Ushimen Hawa madogo tulinwakosea kipi😆🤓
😂 yupi
Pimbi kweli kweli 😂Huyu hapa 🤓🤣
View attachment 2927160
Akikubali faragha nitamlipia yeye na huyo jini wote napiga pipe tu..😋Lipia tangazo kwa muhasibu wetu Ushimen na katibu Half american
Wakijichanganya na michango, minaelekea kibla kuchambia koo...🤒Mmempa uhasibu Ushimen ? Ngoja akapombeke na mdogo wake Intelligent businessman
😂 usisahau kuna karmaWakijichanganya na michango, minaelekea kibla kuchambia koo...🤒
Nashukuru kwa kuni achia mwa j, sema ana ma uti huyo 🤓🤣Wanatuonea wivu mwanangu, tangu nilipo kuachia Mwa J....🤣
Utakuwa mtu wa ukanda wa maji..Mkuu nnavyoongea akiwa tu karibu yangu naumwa Homa za kutosha, nalegea, mpaka tumeachana
Kuweni makini kwenye mahusiano, kuweni makini.[emoji419][emoji375]Jamani, kichwa cha Habari kinajieleza.
Mimi nilikuwa na mwanaume nimemzidi miaka 10, mwanzoni hata haikuwa serious maana tuko tofauti,
ila mi ni wale wanawake ambao nikiwa na mwanaume basi bahati hazimkauki (nna walinzi)
Baada tu ya miezi 3 nikapata kazi na kijana akapata kazi ya pili tena yenye kipato, sikushangaa najijua, ila sasa akabadilika, tukikutana haogi anaenda hivyo hivyo kwenye mizunguko.
Mara nikilala kwake nanyolewa nywele na yeye anakuwa wa Kwanza kuona nimenyolewa. Sasa juzi nimeacha kazi na yeye akaacha siku hiyo hiyo.
Naona hayo yote ila bado niko nae tu. Sasa saivi nikiwa nae naumwa Homa ya ajabu, (walinzi hawamtaki, wamemchoka anavyoninyanyasa)
Yani mpaka walinzi wameingilia Kati, hali ilikuwa mbaya ndugu zangu.
Kuweni makini kwenye mahusiano, kuweni makini.
🤣🤣🤣 ndiyo mkuuhapo kwa profile mwenye kajicho katamu ni wewe?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tukomeWe ni mwanachama wa Yanga africa
Hao ni kutia stiki tuu akili zinawarudiiihakuna watu wanajiona dunia yao kama wanaosema wamna walinzi.
mana hata akiwa na mwanaume utaskia huyu waalimu walishamkataa nilifosi tu!
kuna rafiki angu ana hao walinzi kaolewa bwana miezi 2 anataka kumuacha mana akilala mara kaota ndoto mbaya oh wanamroga
mara aone vya kuona mpaka mjamaa kachoka
wanaisii maisha ya misukosuko sanaHao ni kutia stiki tuu akili zinawarudiii
Makata,Subiani na BashiteWalinzi wako ni kina nani?