Nilinyolewa nywele na mpenzi usiku

Ebu tusitiane minyege mchana wa jua kali aiseeee...😋
 
Ni mshirikina..
Mara aniambie yeye bila mimi hawezi, mara oh we tajiri sana mke wangu, Kuna mda anaropoka vitu ukija ukikaa unatahamaki
naomba tuwe wote ili na mimi uniambukize walinzi.
na pia niwe napata bahati kama huyo jamaa uliyekuwa nae.
 
Lipia tangazo kwa muhasibu wetu Ushimen na katibu Half american
 
Mimi nilikuwa na mwanaume nimemzidi miaka 10, mwanzoni hata haikuwa serious maana tuko tofauti,
ila mi ni wale wanawake ambao nikiwa na mwanaume basi bahati hazimkauki (nna walinzi)
Duuuuh ngoja kwanza nakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…