Nilinyolewa nywele na mpenzi usiku

Kuweni makini kwenye mahusiano, kuweni makini.[emoji419][emoji375]
 
Huyo fala anayezagamua halafu haogi ulimtoa wapi wa wewe?Acheni kusomba somba na hao walinzi wako wapunguze shobo walikuwa wapi Hadi wakakuacha ukutane na Hilo dubwasha?
 
Bila Shaka utakuwa shabiki wa yanga....na hao walinzi ndio wanamsumbua Mayele.
 
hakuna watu wanajiona dunia yao kama wanaosema wamna walinzi.
mana hata akiwa na mwanaume utaskia huyu waalimu walishamkataa nilifosi tu!
kuna rafiki angu ana hao walinzi kaolewa bwana miezi 2 anataka kumuacha mana akilala mara kaota ndoto mbaya oh wanamroga
mara aone vya kuona mpaka mjamaa kachoka
 
Hao ni kutia stiki tuu akili zinawarudiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…