Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mabondia wengi wa Jeshini hawana uwezo ila wanabebwa tu , Kidunda hawezi kumpiga Katompa hata wakirudia game mara 10 .
Hii ndio maana Tanzania haifanyi lolote kwenye michuano ya Olympic au mashindano yoyote yale ambayo inapeleka mabondia wa jeshi.
Kila mwenye macho kaona mawe ya Katompa, hakuna cha Kidunda wala nini, ngumi ni Mazoezi na mbinu za kisasa, huwezi kuwa na nyumba ndogo 10 ukategemea ushindi , miguu itakosa nguvu na utapigwa mapema tu
Hii ndio maana Tanzania haifanyi lolote kwenye michuano ya Olympic au mashindano yoyote yale ambayo inapeleka mabondia wa jeshi.
Kila mwenye macho kaona mawe ya Katompa, hakuna cha Kidunda wala nini, ngumi ni Mazoezi na mbinu za kisasa, huwezi kuwa na nyumba ndogo 10 ukategemea ushindi , miguu itakosa nguvu na utapigwa mapema tu