Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
-
- #81
KAka naishi geto sina kikombe wala kijiko mkuuChemsha mchanganyiko wa maganda ya nanasi, weka mchaichai, ponda tangawizi kisha uwe unakunywa.
usiweke sukari wala nini, weka maji lita 1.5 tu hakikisha yameiva hasa
Mkuu hongera sanamtaani wananiita hanisi kwakuwa hawajawahi niona na demu
wao kila siku naona maboksi ya Azuma yakitupwa pembeni
Shukrani mkuu kwa mawwazo yakoUsichoke we badilisha tu, ukiacha hivyo hivyo uboroo utaoza. Nafikiri pia humu utapata mawazo mazuri ikiwa hata ushauri wa hospital gani nzuri zaidi kwa hayo mambo.
Nilipimwa nikaambiwa ni gono mkuuUlipimwa ukaambiwa ni gono? Usikute umevamia mi-fungus ukahisi ni gono
HAkika mkuu sio jambo zuri hata kidogoHuwa nakereka sana post hizi ambazo sio ushauri wa kidakitari
Sawa karibu mkuuPole mkuu nipo busy na pilika pilika kidogo ntarud hapa
Sawa shukranUtapona ila uache kuzurura peku
nikisikia stori natamani nipate hata UTI nione inafananajeMkuu hongera sana
Oya hiyo powersef haichomwi Moja inakuga dozi ya sindano 5 kila siku sindano moja , na Vidonge vya Antibiotics. Baada ya Sindano ya pili ndio utaona tofauti .... Pole SanaNilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.
Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.
Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.
Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.
Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.
Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.
Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Ila dronedrake [emoji23][emoji23][emoji23]nikisikia stori natamani nipate hata UTI nione inafananaje
Mbele mkuu kama yangaUna kawaida ya kwenda mbele na nyuma?
Sasa uliponaje mkuuIo ngoma haifai kabisa nishawai kukutwa nayo dawa zote zilidunda mpaka sindano
Sawa mkuu shukrani sana nitaenda kumtafuta huyo daktariTumia dawa ya Kienyeji siijui inaitwaje ila ukitumia ndani ya 24hrs inapona. Kuna mwamba ilimtokea kama wewe hivyo hivyo akaitumia siku moja tu akapona na ilikuwa ipo kwenye stage mbaya sana.
Kama upo maeneo ya Mbezi Malamba awili ulizia kwa DR Mila
Ujakosea kaka hicho ni kitoto cha 2001 kina mwili mkubwa utasema lishangazi la 1985Unatembelea RIM kwa vitoto vya 2000 vyenye GONO na UTI Sugu?
Sijawahi kuugua huu ugonjwa mkuu acha kupotosha ummaPiga power safe 4....
Upgrade dozi inaelekea sio mara ya kwanza kupata ushakua sugu.