Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Oya hiyo powersef haichomwi Moja inakuga dozi ya sindano 5 kila siku sindano moja , na Vidonge vya Antibiotics. Baada ya Sindano ya pili ndio utaona tofauti .... Pole Sana
 
Tumia dawa ya Kienyeji siijui inaitwaje ila ukitumia ndani ya 24hrs inapona. Kuna mwamba ilimtokea kama wewe hivyo hivyo akaitumia siku moja tu akapona na ilikuwa ipo kwenye stage mbaya sana.

Kama upo maeneo ya Mbezi Malamba awili ulizia kwa DR Mila
Sawa mkuu shukrani sana nitaenda kumtafuta huyo daktari
 
Afu maduka ya dawa na pharmacy nyingi siku hizi wanajali kuuza dawa tu na sio kutibu... Me nakushauri ongea na wazee wakuelekeze dawa za asili... Sio uende kwa waganga aaah... Yaan ujaribu kuangalia wazee ambao umri umeenda...
 
Back
Top Bottom