Nilipata milioni 50 kwenye betting zimepotea zote

Nilipata milioni 50 kwenye betting zimepotea zote

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukwe Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
Sasa wee unalalamika nini wakatai umefanya matumizi mazuri kabisa ya pesa...kutomber wananwake.
Ata hao wengine huko maofisini wanafanya kazi wapate hela lengo ni kutomber wananwake tuu.
 
Betting haizalishi chochote hivyo haiwezi kukupa utajiri yenyewe kama yenyewe. Utajiri upo katika kuwahudumia watu wengi zaidi. So siku nyingine ukipata huo 'mtaji' ndio uutumie sasa kujenga UTAJIRI.

Yaani utajiri halisi ni pale watu wengi wanapokutegemea kuikweli katika kuishi kwao.

Wafalme walikuwa matajiri - Sababu akili zao zilipelekea mafanikio ya watu wote kiulinzi na maisha

Mo na Bhakhresa ni matajiri jumla - Sababu wanalisha watu weeengi.

Utajiri sio kuwa na mihela mingi, kwa hiyo ndugu kama unataka kuendelea kuwa tajiri kweli siku nyingine ukipata pesa wekeza kwenye kuanzisha kitu chenye msaada wa kweli kwa maisha ya jamii nzima sio wewe binafsi tu kupata raha.

Furaha yako ipo kwenye furaha ya watu wako

Utajiri halisi ni ule ambao hata ikipigwa EMP hapa bado wewe unabakia tajiri. Namaanisha unamiliki asset halisi na unazalisha bidhaa halisi na kutoa huduma halisi. Mwenye ngombe wengi ana asset halisi, mwenye kazi/ujuzi ana asset halisi. Sio kuwa na pesa mingi benki tu.

Sasa reply zangu zinakuwa ndeeefu zaidi ya uzi tena😥😥. Tuishie hapa. Ngoja tumsikie na huyu mwamba alichokisema kuhusu ukuu and it will remain forever true;
............anayetaka kuwa mkubwa kati yenu, sharti awe mtumishi wenu. Anayetaka kuwa wa kwanza, sharti awe mtumishi wa wote. Maana Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa, ila kutumikia, na kutoa maisha yake kuwa fidia ya watu wengi - Jesus himself.
 
Umenikumbusha kuna rafiki yangu mshahara wake anapokea take home laki saba, ila akiipata mpe wiki mbili tu kafulia anaomba mpaka jero la vocha. Kisa nini kubet! Anaweka mzigo mkubwa akiamini ipo siku atatoboa.

Alishawahi kushinda mpaka milioni 10, akavunja milioni 6 akanunua altezza akawa anavimba nayo. Ile milioni 4 ikawa inaisha mdogo mdogo ktk betting na wanawake. Mwisho wa siku na gari akaliuza kwa jamaa flani kwa bei ya milioni 2.5!

Nilichokigundua betting ni ulevi mbaya kama madawa ya kulevya, ukianza hauwezi acha mpaka unafilisika mazima. Na wengi wana ndoto za kumiliki pesa nyingi kupitia betting na wakiwa hawajashinda wanakua na mawazo chanya saaana ya namna ya kutumia hizo pesa tatizo wakizipata mawazo yote yanapotea wanaishia kufanya anasa..
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukwe Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
SABABU UMEZIANDIKA HAPO. KWINGINE UNATAFUTA KUTAPELIWA TU.
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukwe Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
Hiyo ndiyo maana ya betting. Unashinda pesa nzuri; unashawishika kucheza tena; unaanza kupoteza mpaka zote ulizoshinda zinakwisha. Ni kweli unaweza kucheza mara moja tu ukapata jackpot. Ushindi huo ni kwa kuwa mwingine aliliwa. Bottomline ni kwamba in the longrun mashine ndiyo huwa mshindi wa mwisho.
 
Back
Top Bottom