Nilipata mshtuko jana nilipokuwa naangalia habari TBC1 na kuona Makamu wa Rais anaongea jambo kana kwamba hakijui cheo chake

Nilipata mshtuko jana nilipokuwa naangalia habari TBC1 na kuona Makamu wa Rais anaongea jambo kana kwamba hakijui cheo chake

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Kila mtu anaweza kufanya backup ya habari ya saa 20:00 tarehe 31, Mei 2024. Ni habari nambari 2 kama sijakosea.

Nilisikia Makamu wa Rais anawaomba wafanyabishara wapunguze bei ya gesi ili wananchi wengi waweze kumudu.

Kipi kilinipa shock?

Bidhaa ya gesi ni miongoni mwa bidhaa ziko chini ya mamlaka za udhibiti, ina maana bidhaa hii haina bei kikomo (bei elekezi)?

2. Je, suala la Kodi zote za bidhaa hii ya gesi sio sababu ya wafanyabishara kuuza kwa bei hizi?

Makamu wa Rais anapaswa kumshawishi Rais apunguze kodi kwenye bidhaa ya gesi ili bidhaa ishuke bei na si kuwaomba wafanyabishara wapunguze bei.

Kama wafanyabishara wanauza kinyume cha vibali vyao serikali ichukue hatua za kuwakamata wapelekwe mahakamani au wafutiwe vibali au wapigwe faini. Hii ya kuomba wafanyabishara wapunguze bei ilipaswa kufanywa na diwani au mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
 
Unashangaa nini wakati yule ni picha tu ya Makamu wa Rais! Makamu mwenyewe ni Abdul kama hujui!
Hapa alikuwa kwenye delegation ya mambo ya nishati ikulu ya Uganda.
WhatsApp Image 2023-08-13 at 11.04.24.jpeg
 
Habari!

Kila mtu anaweza kufanya backup ya habari ya saa 20:00 tarehe 31, Mei 2024. Ni habari nambari 2 kama sijakosea.

Nilisikia Makamu wa Rais anawaomba wafanyabishara wapunguze bei ya gesi ili wananchi wengi waweze kumudu.

Kipi kilinipa shock?

Bidhaa ya gesi ni miongoni mwa bidhaa ziko chini ya mamlaka za udhibiti, ina maana bidhaa hii haina bei kikomo (bei elekezi)?

2. Je, suala la Kodi zote za bidhaa hii ya gesi sio sababu ya wafanyabishara kuuza kwa bei hizi?

Makamu wa Rais anapaswa kumshawishi Rais apunguze kodi kwenye bidhaa ya gesi ili bidhaa ishuke bei na si kuwaomba wafanyabishara wapunguze bei.

Kama wafanyabishara wanauza kinyume cha vibali vyao serikali ichukue hatua za kuwakamata wapelekwe mahakamani au wafutiwe vibali au wapigwe faini. Hii ya kuomba wafanyabishara wapunguze bei ilipaswa kufanywa na diwani au mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
Unapoteza muda wako bure, yeye mwenyewe yupo hapo kujaza nafasi kama ilivyo kwa maza, mambo kama hayo mwambie Rostam/January/JK au Abdul.
 
Habari!

Kila mtu anaweza kufanya backup ya habari ya saa 20:00 tarehe 31, Mei 2024. Ni habari nambari 2 kama sijakosea.

Nilisikia Makamu wa Rais anawaomba wafanyabishara wapunguze bei ya gesi ili wananchi wengi waweze kumudu.

Kipi kilinipa shock?

Bidhaa ya gesi ni miongoni mwa bidhaa ziko chini ya mamlaka za udhibiti, ina maana bidhaa hii haina bei kikomo (bei elekezi)?

2. Je, suala la Kodi zote za bidhaa hii ya gesi sio sababu ya wafanyabishara kuuza kwa bei hizi?

Makamu wa Rais anapaswa kumshawishi Rais apunguze kodi kwenye bidhaa ya gesi ili bidhaa ishuke bei na si kuwaomba wafanyabishara wapunguze bei.

Kama wafanyabishara wanauza kinyume cha vibali vyao serikali ichukue hatua za kuwakamata wapelekwe mahakamani au wafutiwe vibali au wapigwe faini. Hii ya kuomba wafanyabishara wapunguze bei ilipaswa kufanywa na diwani au mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
Hata hivyo hiyo gesi tunayotumia inatoka nje ya nchi Swali fikirishi je tutaendelea kutumia gesi Toka nje hadi lini, hapo Ndiyo utajua wanaopewa dhamana huahirisha kufikiri Kwa nafsi
 
Back
Top Bottom