Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi mafuvu yapate akilibado ccm wanaendelea kutuonyesha kwamba hawana uwezo wa kuiongoza hii nchi yaani wanapambana kwa juhudi zote kutufumbua macho ila bado tutawachagua ili waendeleze ujinga wao
tatizo bado tunayakaza na kushupaza shingo kwa vi 10k wanavyotoa ukichamganya na kofia khanga basi tabu tupuHadi mafuvu yapate akili
Yule cheo chake ni ceremonial, ni kibogoyoNilisikia Makamu wa Rais anawaomba wafanyabishara wapunguze bei ya gesi ili wananchi wengi waweze kumudu.
Hali ikiwa hivyo watu wanatafakari na kuchukua hatua, binadamu akipata changamoto huamsha ubongotatizo bado tunayakaza na kushupaza shingo kwa vi 10k wanavyotoa ukichamganya na kofia khanga basi tabu tupu
Duh,Mama kaiuza gesi Kwa mwekezaji mzawa ambaye ni mwanae Abdul na yeye kuiuzia serikali bei kubwa mara tisa ya bei inayotakiwa kulipwa ndiyo maana bei ipo juu.Nchi hii imeoza kabisa.
Ahahaha 😭😭😭😭Kwa kila mtungi huyu Abdul anachukua 10%. Ndiyo maana bei iko juu.
😂😂😂🙌Kwa kila mtungi huyu Abdul anachukua 10%. Ndiyo maana bei iko juu.
Namuona Mzee Kaguta akiwa na Naibu Raisi wa Tanzania.Hapa alikuwa kwenye delegation ya mambo ya nishati ikulu ya Uganda.View attachment 3006098
Kila mtu anaweza kufanya backup ya habari ya saa 20:00 tarehe 31, Mei 2024. Ni habari nambari 2 kama sijakosea.
Nilisikia Makamu wa Rais anawaomba wafanyabishara wapunguze bei ya gesi ili wananchi wengi waweze kumudu.
Kipi kilinipa shock?
Bidhaa ya gesi ni miongoni mwa bidhaa ziko chini ya mamlaka za udhibiti, ina maana bidhaa hii haina bei kikomo (bei elekezi)?
2. Je, suala la Kodi zote za bidhaa hii ya gesi sio sababu ya wafanyabishara kuuza kwa bei hizi?
Makamu wa Rais anapaswa kumshawishi Rais apunguze kodi kwenye bidhaa ya gesi ili bidhaa ishuke bei na si kuwaomba wafanyabishara wapunguze bei.
Kama wafanyabishara wanauza kinyume cha vibali vyao serikali ichukue hatua za kuwakamata wapelekwe mahakamani au wafutiwe vibali au wapigwe faini. Hii ya kuomba wafanyabishara wapunguze bei ilipaswa kufanywa na diwani au mwenyekiti wa serikali ya mtaa.