NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Siwez kuacha kubeti mpaka nakufa [emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Betting is an addiction of false expectations, you hit Tshs 1,000,000/=. You get fvckd 2,000,000/= in a month😂😂.It is as easy as that.
kweli bro.Mwez ulioisha nikiwa nabet na kampuni la 1xbet, nilifanikiwa kukusanya pesa mpaka ikafika 2.5 million. Baada ya mwez kuisha upepo ukakata mpaka sasa nimeliwa na imebaki 1.4million. Najuta sana maana mwanzo kabisa niliwaza nikafungue playstation ila nikawa najivuta kutokana na kuwa busy na kikazi changu cha 200k kwa mwezi.
💣USHAURI KWA VIJANA WENZANGU
👉Pesa ya kamari ukiipata ingiza kwenye vitu vinavyoeleweka haraka iwezekanavyo na kamari acha kabisa narudia kwa herufi kubwa ACHA KABISA.
🤎Kubet sio njia sahihi ya kupata maisha ukipata pesa ya kamari kimbia Usigeuke nyuma.
If you are doing it as a family you increase chance of winning but just alone "hitting an ass" Is a mustBetting is an addiction of false expectations, you hit Tshs 1,000,000/=. You get fvckd 2,000,000/= in a month😂😂.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]If you are doing it as a family you increase chance of winning but just alone "hitting an ass" Is a must
Kamari ni uraibu. Si rahisi kuachana na uraibu.Mwezi ulioisha nikiwa nabet na kampuni la 1xbet, nilifanikiwa kukusanya pesa mpaka ikafika 2.5 million. Baada ya mwezi kuisha upepo ukakata mpaka sasa nimeliwa na imebaki 1.4million.
Najuta sana maana mwanzo kabisa niliwaza nikafungue playstation ila nikawa najivuta kutokana na kuwa busy na kikazi changu cha 200k kwa mwezi.
[emoji378]USHAURI KWA VIJANA WENZANGU
[emoji117]Pesa ya kamari ukiipata ingiza kwenye vitu vinavyoeleweka haraka iwezekanavyo na kamari acha kabisa narudia kwa herufi kubwa ACHA KABISA.
🤎Kubet sio njia sahihi ya kupata maisha ukipata pesa ya kamari kimbia Usigeuke nyuma.
Hongera boss, me ndio nimeianza safari naona naenda kufanikiwaKamari wengine tuliacha kucheza miaka 20 iliyopita
Ova
Niliitupia sehemu ambayo siwez kuigusa, now napambana na Arosto kuna muda nataka niplace bet mwili unatetemeka kabisa. Aise mzungu mshenzi sanaKamari ni uraibu..
Hiyo pesa hifadhi mbali kabla haijarejea yote huko ulikoipata!
Hongera kwa kutambua tatizo na kufanya maamuzi magumu ila mazuriNiliitupia sehemu ambayo siwez kuigusa, now napambana na Arosto kuna muda nataka niplace bet mwili unatetemeka kabisa. Aise mzungu mshenzi sana
Mwizi tu ndie anaweza kupata kwa wepesi na mara nyingi hupoteza kwa wepesi😂Ulipata kiwepesi usiogope pia kupoteza kiwepesi.
Mimi na mwambia swafi sana,akili kumkichwa🤔Umeshtuka kumeshakucha my friend😁
Hapana mkuu usiitegemee kamari kabisaWengine ndo kazi yetu hiyo
Shukran sana mkuu aise ,, hiv vitu kweli vinaweza kukufanya ukawa mtumwa.Hongera kwa kutambua tatizo na kufanya maamuzi magumu ila mazuri
Njia sahihi hivi vitu ni kutojifunza kabisa.Betting is an addiction of false expectations, you hit Tshs 1,000,000/=. You get fvckd 2,000,000/= in a month😂😂.
Hongereni mkuuHapa kwetu familia nzima tunafanya betting. Tukiamka asubuhi baba a nachukua elfu kumi kisha .anatugawia buku jero kila mtu. Halafu tunatengeneza mikeka. Jioni tunaangalia nani kamtaffuna mhindi
Kila siku tunateketeza elfu kumi kwenye betting. Lkn inatulipa, kwa wiki tunaingiza 1M mambo yakiwa mabaya sana, lknyakienda vizuri mpk 10M
Miye nikipata 15mNjia sahihi hivi vitu ni kutojifunza kabisa.
Na kama umeshacheza basi jutahidi sana usijerudi huku.
Pesa ya kamari hatu upate vipi huriziki.