Nilipigiwa simu na namba ngeni akachelewa kuongea, nikamshambulia kwa matusi sikujua kama ni mzazi wangu

Nilipigiwa simu na namba ngeni akachelewa kuongea, nikamshambulia kwa matusi sikujua kama ni mzazi wangu

Inakuaje Jf;

Leo majila ya saa tisa Mchana Namba ngeni imenipigia naona mtu aongei namwambia hallo naona kimya kama dk 1. Moja Kwa moja nimeanza kutukana matusi mengi sana.

Baada ya kutukana nimesikia Sauti ya mzee ndo mnacho fundishwa chuoni huko maana mzee Namba zake zote mbili ninazo, Sasa nashangaa hii namba ni kasajili laini ya tatu au kaazima.

Napiga Namba zake zote hapokei ushauri.🇹🇿

kwa hii hadithi yako, bado sana
Kwa mfano: Kwa nini ushambulie mtu ambaye hajakuambia chochote kibaya?
Sana sana ungesema ukamkatia simu, hadithi yako ingevutia kidogo
 
Inakuaje Jf;

Leo majila ya saa tisa Mchana Namba ngeni imenipigia naona mtu aongei namwambia hallo naona kimya kama dk 1. Moja Kwa moja nimeanza kutukana matusi mengi sana.

Baada ya kutukana nimesikia Sauti ya mzee ndo mnacho fundishwa chuoni huko maana mzee Namba zake zote mbili ninazo, Sasa nashangaa hii namba ni kasajili laini ya tatu au kaazima.

Napiga Namba zake zote hapokei ushauri.🇹🇿
Aisee
 
Inakuaje Jf;

Leo majila ya saa tisa Mchana Namba ngeni imenipigia naona mtu aongei namwambia hallo naona kimya kama dk 1. Moja Kwa moja nimeanza kutukana matusi mengi sana.

Baada ya kutukana nimesikia Sauti ya mzee ndo mnacho fundishwa chuoni huko maana mzee Namba zake zote mbili ninazo, Sasa nashangaa hii namba ni kasajili laini ya tatu au kaazima.

Napiga Namba zake zote hapokei ushauri.🇹🇿
🤔🤔🤔
 
# ROCA FELLA

TUMA UJUMBE KWA BABA YAKO MWAMBIE AKUSAMEHE KWANI KUNA MTU MLIKUWA MNAZINGUANA AKATUMIA NAMBA NGENI KUKUPIGIA,

KWA ADABU ZAIDI UNAWEZA KUFIKA NYUMBANI KWA BABA YAKO UKAMWOMBE MSAMAHA NAAMINI ATAKUSAMEHE KWA SABABU ANAKUPENDA MWANAO HAKIKA MUNGU MTUKUFU AKUSAIDIE KATIKA HILO.
👏👏👏
 
Mkuu mbona mwenyewe Leo nimepigiwa na Namba ngeni, kuongea nashangaa mtu haongei nikasema hallo ×3, Kuona Bado haongei nikakata. Hilo ndo suruhisho safi.

Sasa wewe hapo Fanya ongea na Bimkubwa kama yupo naye mweleze situation ilivyokuwa, then mwambie akuombee msamaha kwa Mzee. Nama hayuko nae karibu basi mtumie sms Mzee ya kumuomba msamaha.
🤝👌
 
Nakushauri uache matusi.
Na tafuta mtaalam wa anger management.
 
Jinga wewe huna ustaarabu kilichokufanya utukane ni nini sasa unenikera sana Kana kwamba uliyemtukana ni mzazi wangu
 
Siku zote katika maisha yako JIFUNZE kuzuia mdomo kutoa MATUSI jisifie kukataa kutukana katika maisha yako.
 
hiyo ID yako mh mh mh @p
# ROCA FELLA

TUMA UJUMBE KWA BABA YAKO MWAMBIE AKUSAMEHE KWANI KUNA MTU MLIKUWA MNAZINGUANA AKATUMIA NAMBA NGENI KUKUPIGIA,

KWA ADABU ZAIDI UNAWEZA KUFIKA NYUMBANI KWA BABA YAKO UKAMWOMBE MSAMAHA NAAMINI ATAKUSAMEHE KWA SABABU ANAKUPENDA MWANAO HAKIKA MUNGU MTUKUFU AKUSAIDIE KATIKA HILO.
dronedrake Poor Brain Hope urassa
 
Magonjwa ya akili tuliyokuwa tunayasikia kwa wazungu, yameingia kwa kasi barani Africa. Tunakoelekea ndio hatari zaidi.. Mungu atunusuru.
Magonjwa ya akili yalikuwepo kila sehemu tangu binadamu ameanza kujitambua. Tofauti ni hakukuwa na experts, international media wala JF kukwambia.
 
Ne
Inakuaje Jf;

Leo majila ya saa tisa Mchana Namba ngeni imenipigia naona mtu aongei namwambia hallo naona kimya kama dk 1. Moja Kwa moja nimeanza kutukana matusi mengi sana.

Baada ya kutukana nimesikia Sauti ya mzee ndo mnacho fundishwa chuoni huko maana mzee Namba zake zote mbili ninazo, Sasa nashangaa hii namba ni kasajili laini ya tatu au kaazima.

Napiga Namba zake zote hapokei ushauri.🇹🇿
Sasa kama ni mzee wewe achana naye.
Mimi nilidhani baba yako kumbe ni mzee!
Wewe endelea kupiga kitabu.
 
Back
Top Bottom