Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo na mwanamke

Kujiua Bado sijafika huko
Sasa haya maisha huwezi kumlinda binadamu,mpe uhuru,jipe uhuru mbuzi tu na moo ndio wanaochungwa.Ukipendwa umependwa usipopendwa haujapendwa,iwapo kiasi ridhika na kiasi hicho maisha yataendekea kwa furaha na amani.
 
Mapenzi yanakuendeshaje, na ww
sasa tukifanya fujo ndio atakupenda
 
Huyu mwanaume alichukuaje huyu mkichaa wa uswahilini?
Mwanamke mwenye akili hawezi kwenda kumfumania mume wake au kukagua simu yake.
Kwa ujinga huo unategemea huyo mwanaume akuoe? Ataanza kujitoa tartiiib urudi kwa waswahili wenzio.
 
Yaani unahangaik hivyo kisa mwanaume?? Dada huna kazi za kufanya zikakuweka busy? Uende ukafanye vurugu kazini kisa nini halafu hapo ni mpenzi tuu....

Kweli mapenzi ni uchizi na shida ya afya ya akili is real pole shooo
 
Strong and Fearless, inakuwaje tena mbona unataka kuniangusha
 
Hapo utaishia kutoa penzi na umekunywa wine kabisaa!!!
 
Shida ni afya ya akili wahi mirembe...
 
Wewe n mjinga. Sijasema kwa ubaya lakini.
 
Garbage....
 
Si bure.....ushalogeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…