Nilipoagiza mzigo AliExpress nikakumbana na rungu la kodi

Nilipoagiza mzigo AliExpress nikakumbana na rungu la kodi

monotheist

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
830
Reaction score
1,449
Nilianza kuagiza mizigo midogomidogo (small parcel ) miaka mitatu iliyopita na sijawahi kulipa kodi zaidi ya ile tsh 2350 ila mwaka huu nikapata shauku ya kuagiza mzigo kwa ajili ya biashara niliagiza saa pieces kama 20 pamoja na airpod

Mzigo wangu ulichukua takribani siku 12 tu toka china hadi TZ ulipofika nikatumiwa sms na posta inayoanza na RDP baada ya kwenda posta nikaambiwa nilipe 5900 kisha nikapelekwa kwa maafisa wa TRA aisee jamaa wakaufungua mzigo na kuanza kuukagua wakafanya mahesabu yao kisha nikaambiwa nilipekodi nusu ya gharama niliyonunulia bidhaa

Hiki kitu kwangu kilikua kigeni ndo mara ya kwanza kukutana nacho.

SWALI, je kipi ni nafuu kati ya kuagiza mzigo pc 50 za airphone aliexpress na sehemu nyingine kama alibaba maana sijawahi agiza sehemu nyingine tofauti na aliexpress
 
Nilianza kuagiza mizigo midogomidogo (small parcel ) miaka mitatu iliyopita na sijawahi kulipa kodi zaidi ya ile tsh 2350 ila mwaka huu nikapata shauku ya kuagiza mzigo kwa ajili ya biashara niliagiza saa pieces kama 20 pamoja na airpod

Mzigo wangu ulichukua takribani siku 12 tu toka china hadi TZ ulipofika nikatumiwa sms na posta inayoanza na RDP baada ya kwenda posta nikaambiwa nilipe 5900 kisha nikapelekwa kwa maafisa wa TRA aisee jamaa wakaufungua mzigo na kuanza kuukagua wakafanya mahesabu yao kisha nikaambiwa nilipekodi nusu ya gharama niliyonunulia bidhaa

Hiki kitu kwangu kilikua kigeni ndo mara ya kwanza kukutana nacho.

SWALI, je kipi ni nafuu kati ya kuagiza mzigo pc 50 za airphone aliexpress na sehemu nyingine kama alibaba maana sijawahi agiza sehemu nyingine tofauti na aliexpress
Uliwaonesha invoince toka Aliexpress ama uliwaachia tu wakague na kutoa bei yao? Sijawahi kulipishwa zaidi ya 18%
 
Uliwaonesha invoince toka Aliexpress ama uliwaachia tu wakague na kutoa bei yao? Sijawahi kulipishwa zaidi ya 18%
Mkuu nataka niagize kuanzia PC 20 za saa na airpod je naweza kuagiza wapi penye unafuu maana alibaba sijawahi kuagiza, sijui masuala ya CBM na wala sijawahi kumtumia ajent msaada tafadhali
 
Mkuu nataka niagize kuanzia PC 20 za saa na airpod je naweza kuagiza wapi penye unafuu maana alibaba sijawahi kuagiza, sijui masuala ya CBM na wala sijawahi kumtumia ajent msaada tafadhali
CBM ina maanisha Cubic Metre, yaani mita 1 upana mita 1 urefu, mtaani huko wanaita Belo/Bales.

Kwa uagizishaji wa piece 20 njia hizo hazifai maana CBM ni kama $400 mpaka $500 kutegemea na unamtumia nani kusafirisha.

Kwa order kidogo kama hizo tumia Air Cargo ama wale wanaoleta kwa kilo kilo. Livingstone na Pemba kkoo wapo. Kilo ni kama 30,000
 
CBM ina maanisha Cubic Metre, yaani mita 1 upana mita 1 urefu, mtaani huko wanaita Belo/Bales.

Kwa uagizishaji wa piece 20 njia hizo hazifai maana CBM ni kama $400 mpaka $500 kutegemea na unamtumia nani kusafirisha.

Kwa order kidogo kama hizo tumia Air Cargo ama wale wanaoleta kwa kilo kilo. Livingstone na Pemba kkoo wapo. Kilo ni kama 30,000
Hiyo 30k ni shipping kwa ajent ama inakuaje na vipi kuhusu kodi yeye ajent ndo analipa kwa hiyo 30k njia hii inaweza kufanyika aliexpress au hadi alibaba
 
Hiyo 30k ni shipping kwa ajent ama inakuaje na vipi kuhusu kodi yeye ajent ndo analipa kwa hiyo 30k njia hii inaweza kufanyika aliexpress au hadi alibaba
Issue ya Aliexpress mkuu hawaruhusu kutuma pale pale china, inabidi ununue china website zao, ama uongee na mtanzania alieopo china akusaidie kununua na kupeleka. Ila Alibaba unaweza sema sio wote wanauza piece 20 inabidi uhangaike. Pia kuwa makini usikubali kulipa mtu hela bila kupitia Alibaba, maana watu wanapigwa sana hii issue.

Na hawa jamaa wa parcel huwa fee yao kodi ni inclusive, ukilipa umelipa, Serikali inachukua kwenye hio fee. Ila kaongee nao zaidi kupata uhakika.
 
Issue ya Aliexpress mkuu hawaruhusu kutuma pale pale china, inabidi ununue china website zao, ama uongee na mtanzania alieopo china akusaidie kununua na kupeleka. Ila Alibaba unaweza sema sio wote wanauza piece 20 inabidi uhangaike. Pia kuwa makini usikubali kulipa mtu hela bila kupitia Alibaba, maana watu wanapigwa sana hii issue.

Na hawa jamaa wa parcel huwa fee yao kodi ni inclusive, ukilipa umelipa, Serikali inachukua kwenye hio fee. Ila kaongee nao zaidi kupata uhakika.
Ahsante
 
Issue ya Aliexpress mkuu hawaruhusu kutuma pale pale china, inabidi ununue china website zao, ama uongee na mtanzania alieopo china akusaidie kununua na kupeleka. Ila Alibaba unaweza sema sio wote wanauza piece 20 inabidi uhangaike. Pia kuwa makini usikubali kulipa mtu hela bila kupitia Alibaba, maana watu wanapigwa sana hii issue.

Na hawa jamaa wa parcel huwa fee yao kodi ni inclusive, ukilipa umelipa, Serikali inachukua kwenye hio fee. Ila kaongee nao zaidi kupata uhakika.
mkuu na mimi nina swali hapo, kuna jamaa anahi taji kuagiza case ya PC, kuangalia AliExpress unakuta Case nyingi ni mini ITX ambazo zina gharama ndogo ya usafiri, ukicheki zingine unakuta bei 100,000 usafiri 650K, ila alibaba nilizicheki kwa bei nzuri ila usafiri ndo nkashindwa namna ya kufanya, make unakuta wame andika sijui utaelewana na seller sasa, nashindwa nitapataje usafiri.
Alafu pia mini ATX motherboard je itatoshea kwenye case ya namna gani ili nisije muingiza chaka mshkaji wangu make ananitegemea mimi, na je kibongo bongo naweza pata bila kuagiza.
 
mkuu na mimi nina swali hapo, kuna jamaa anahi taji kuagiza case ya PC, kuangalia AliExpress unakuta Case nyingi ni mini ITX ambazo zina gharama ndogo ya usafiri, ukicheki zingine unakuta bei 100,000 usafiri 650K, ila alibaba nilizicheki kwa bei nzuri ila usafiri ndo nkashindwa namna ya kufanya, make unakuta wame andika sijui utaelewana na seller sasa, nashindwa nitapataje usafiri.
Alafu pia mini ATX motherboard je itatoshea kwenye case ya namna gani ili nisije muingiza chaka mshkaji wangu make ananitegemea mimi, na je kibongo bongo naweza pata bila kuagiza.
Atx kitu chengine na itx chengine kua makini, agizishia case model sawa na motherboard, even Micro Atx ni kubwa kuliko mini itx, mini itx ni vile vi motherboard vidogo hivyo case zake zinakuwa ndogo na kupelekea gharama ya usafiri kuwa ndogo.

Hao jamaa wa Livingstone unaweza ongea nao, then unaongea na seller wa Alibaba unamuambia una usafiri wako wakupelekee ofisi zao.

Case pia kibongo bongo zipo fanya comparison mwenyewe. Capricon as cheap as 150,000, wengine wengi wanauza around laki 2.
 
Nilianza kuagiza mizigo midogomidogo (small parcel ) miaka mitatu iliyopita na sijawahi kulipa kodi zaidi ya ile tsh 2350 ila mwaka huu nikapata shauku ya kuagiza mzigo kwa ajili ya biashara niliagiza saa pieces kama 20 pamoja na airpod

Mzigo wangu ulichukua takribani siku 12 tu toka china hadi TZ ulipofika nikatumiwa sms na posta inayoanza na RDP baada ya kwenda posta nikaambiwa nilipe 5900 kisha nikapelekwa kwa maafisa wa TRA aisee jamaa wakaufungua mzigo na kuanza kuukagua wakafanya mahesabu yao kisha nikaambiwa nilipekodi nusu ya gharama niliyonunulia bidhaa

Hiki kitu kwangu kilikua kigeni ndo mara ya kwanza kukutana nacho.

SWALI, je kipi ni nafuu kati ya kuagiza mzigo pc 50 za airphone aliexpress na sehemu nyingine kama alibaba maana sijawahi agiza sehemu nyingine tofauti na aliexpress
Usiagize kwenye parcel moja mzigo mwingi unachotakiwa kufanya agiza chache kila parcel, mfano unajiwekea kila baada ya siku tatu unanua bidhaa aliexpress kwa hyo ukienda kupokea hiyo kadhaa haitatokea tena.
 
Back
Top Bottom