Nilipoagiza mzigo AliExpress nikakumbana na rungu la kodi

Nilipoagiza mzigo AliExpress nikakumbana na rungu la kodi

Hivi upangaji wa kodi na usafirishaji kuna chart imewekwa kuonyesha au watu wanalopoka tu na kama kuna utaratibu unaweza kunionyesha napataje
Chart ipo kwa Bandari na waagiza mizigo mikubwa, ila kina sie wa Airport na Posta ni kuropoka tu pale pale, na wakikuona mzembe mzembe wanakupiga bei kubwa ili mkutane katikati ama watengeneze mazingira ya Rushwa.

Cha muhimu hakikisha una invoice ya Aliexpress ama amazon ama uliponunulia mzigo inaepusha usumbufu.


Chart ya Kodi sina labda mwenye nayo anaweza kuiweka hapa
 
Chart ipo kwa Bandari na waagiza mizigo mikubwa, ila kina sie wa Airport na Posta ni kuropoka tu pale pale, na wakikuona mzembe mzembe wanakupiga bei kubwa ili mkutane katikati ama watengeneze mazingira ya Rushwa.

Cha muhimu hakikisha una invoice ya Aliexpress ama amazon ama uliponunulia mzigo inaepusha usumbufu.


Chart ya Kodi sina labda mwenye nayo anaweza kuiweka hapa
Duuh mbona napata hofu sasa kusumbuana na hawa watu asee
 
Atx kitu chengine na itx chengine kua makini, agizishia case model sawa na motherboard, even Micro Atx ni kubwa kuliko mini itx, mini itx ni vile vi motherboard vidogo hivyo case zake zinakuwa ndogo na kupelekea gharama ya usafiri kuwa ndogo.

Hao jamaa wa Livingstone unaweza ongea nao, then unaongea na seller wa Alibaba unamuambia una usafiri wako wakupelekee ofisi zao.

Case pia kibongo bongo zipo fanya comparison mwenyewe. Capricon as cheap as 150,000, wengine wengi wanauza around laki 2.

Chief ee, nahitaji kuagiza kitu from ali express, je! Utanifikiaje huo mzigo? Napatikana huku mkoani, je utanifikiaje? Asante mzee baba
 
Chief ee, nahitaji kuagiza kitu from ali express, je! Utanifikiaje huo mzigo? Napatikana huku mkoani, je utanifikiaje? Asante mzee baba
Kikawaida unakufikia kwa posta, kuna posta ya karibu hapo unapoishi? Pia ipo hii kampuni mpya ya speedaf japo sijajua kama wana matawi mikoa yote.
 
Chief ee, nahitaji kuagiza kitu from ali express, je! Utanifikiaje huo mzigo? Napatikana huku mkoani, je utanifikiaje?
Pia kuna njia hii huduma| Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
=
1686397751372.png

=
Ambapo | Nakununulia bidhaa, ikifika Nakutumia huko mkoani uliko.
 
Ni Act au Regulation gani ya kodi inasema hivo.

Kama hutojali naomba u-cite hicho kifungu hata kama ni Income Tax Act (ITA-2004)au Revision zingine
Mkuu nenda ofisi ya TRA ilio karibu na wewe utapata maelezo vizuri kama ni mfanya biashara
 
Uliwaonesha invoince toka Aliexpress ama uliwaachia tu wakague na kutoa bei yao? Sijawahi kulipishwa zaidi ya 18%
Mkuu naomba msaada kujua ni kampuni gani naweza kuagiza electronics appliances kama air cooler, laptop nk na nipokee kwa haraka mpaka mkoani nilipo
 
Mkuu naomba msaada kujua ni kampuni gani naweza kuagiza electronics appliances kama air cooler, laptop nk na nipokee kwa haraka mpaka mkoani nilipo
Issue si kupokea haraka, issue ni Gharama. Kampuni kama Fedex, Dhl, etc zinaweza chukua hadi siku 3 mzigo kufika ila gharama ya kusafirisha laptop inaweza kuwa hadi laki 4. Ndio maana huoni watu wakitumia huo usafiri wa Haraka.

Pia uzito wa kitu unaongeza gharama pia, jinsi kitu kinavyokua kizito ndio jinsi gharama inavyoongezeka, mara nyingi vitu vizito watu wanatumia usafiri wa Meli ambao inafika mwezi.
 
Issue si kupokea haraka, issue ni Gharama. Kampuni kama Fedex, Dhl, etc zinaweza chukua hadi siku 3 mzigo kufika ila gharama ya kusafirisha laptop inaweza kuwa hadi laki 4. Ndio maana huoni watu wakitumia huo usafiri wa Haraka.

Pia uzito wa kitu unaongeza gharama pia, jinsi kitu kinavyokua kizito ndio jinsi gharama inavyoongezeka, mara nyingi vitu vizito watu wanatumia usafiri wa Meli ambao inafika mwezi.
Ok ahsante,
Ni kampuni gani ni rafiki kwa maelekezo hayo?
 
Hio Ni xiaomi?

Natamani agiza huko em nipe uzoefu inakuaje simu global maana yake Nini
Kuna xiaomi niliipenda na bei Ni nzuri

Nikusahihishe kidogo.
Standard shipping haikupi uhalali wa kutumiwa Moja kwa Moja Speedaf maana AliExpress ndio wanaamua wakutumie posta au speedaf so kama unataka utumiwe kwa Speedaf omba AliExpress wakutumie kwa njia hiyo sababu ukiwaomba seller Huwa wanajibu kwamba hawatumi nje ya system.
Cha muhimu hilo zoezi fanya kabla ya malipo kwa kufuata hatua hizi:-View attachment 2580144

1.Bofya hapo kwenye mshale itatokea sehemu ambayo utaweza kuwapa maagizo AE wakutumie kwa Speedaf.
View attachment 2580151
2.Ukishamaliza kuwapa ujumbe ndio ubonyeze confirm kuplace order.
NB:
1. Cainiao super economy Global (hizi ni Speedaf ila vizuri kuweka msisitizo)
2.cainiao super economy for special goods (posta)
 
Nilianza kuagiza mizigo midogomidogo (small parcel ) miaka mitatu iliyopita na sijawahi kulipa kodi zaidi ya ile tsh 2350 ila mwaka huu nikapata shauku ya kuagiza mzigo kwa ajili ya biashara niliagiza saa pieces kama 20 pamoja na airpod

Mzigo wangu ulichukua takribani siku 12 tu toka china hadi TZ ulipofika nikatumiwa sms na posta inayoanza na RDP baada ya kwenda posta nikaambiwa nilipe 5900 kisha nikapelekwa kwa maafisa wa TRA aisee jamaa wakaufungua mzigo na kuanza kuukagua wakafanya mahesabu yao kisha nikaambiwa nilipekodi nusu ya gharama niliyonunulia bidhaa

Hiki kitu kwangu kilikua kigeni ndo mara ya kwanza kukutana nacho.

SWALI, je kipi ni nafuu kati ya kuagiza mzigo pc 50 za airphone aliexpress na sehemu nyingine kama alibaba maana sijawahi agiza sehemu nyingine tofauti na aliexpress
Product yyt toka nje yenye nembo ya R mana zipo tracked for VAT...hakikisha product zako hazina hio kitu. ..better nunua freeshipping ingawa kwa mzigo mkubwa inakua changamoto but hakikisha unaongea na agent km nizakodi sure la. .hii nikote..ebay alibaba or aliexpress
 
Nikusahihishe kidogo.
Standard shipping haikupi uhalali wa kutumiwa Moja kwa Moja Speedaf maana AliExpress ndio wanaamua wakutumie posta au speedaf so kama unataka utumiwe kwa Speedaf omba AliExpress wakutumie kwa njia hiyo sababu ukiwaomba seller Huwa wanajibu kwamba hawatumi nje ya system.
Cha muhimu hilo zoezi fanya kabla ya malipo kwa kufuata hatua hizi:-View attachment 2580144

1.Bofya hapo kwenye mshale itatokea sehemu ambayo utaweza kuwapa maagizo AE wakutumie kwa Speedaf.
View attachment 2580151
2.Ukishamaliza kuwapa ujumbe ndio ubonyeze confirm kuplace order.
NB:
1. Cainiao super economy Global (hizi ni Speedaf ila vizuri kuweka msisitizo)
2.cainiao super economy for special goods (posta)
Mkuu asante kwa huu mchongo
 
kama unataka kununua bidhaa alibaba kwa jumla huna agent nitafute inbox nikupe agent wanaosafirisha mizgo ofisi zao zote zipo hapo k/koo

Na ukitaka ushauri zaidi karibu inbox
Tuwekee hapa,si anafanya biashara halali kabisa why pm tena
 
Back
Top Bottom