LGE2024 Nilipoambiwa ACT Wazalendo ni chama mamluki nimeamini na ile kauli ya Nchimbi kuwa kuna vyama wameshiriki kuanzisha

LGE2024 Nilipoambiwa ACT Wazalendo ni chama mamluki nimeamini na ile kauli ya Nchimbi kuwa kuna vyama wameshiriki kuanzisha

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Nimeshangazwa na chama cha ACT-WAZALENDO siku ya kesho wanaenda kuzindua ilani ya chama chao kwajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa uchaguzi upi? Kwa wagombea wepi?

Katika jukwaa ili kuna mtu aliwahi kusema siasa ambazo wanafanya ACT-WAZALENDO ni siasa ambazo wanajiona kama wapo ndani ya serikali na hali hii inafanya ACT-WAZALENDO washindwe kuaminiwa na wananchi na itachukua muda mrefu sana, kuaminiwa na watanzania kama hawatobadili mfumo wa siasa ambazo wanafanya.

Kuna maswali ya kujiuriza je ILANI hiyo nani ataitangaza?
Je ILANI hiyo mgombea gani ataitangaza ?

ACT-WAZALENDO fanyeni siasa kama chama cha upinzani.

Jifunzeni ZANZIBAR wanavyofanya japo wapo ndani ya serikali ya umoja wa kitaifa lakini bado wanaonesha kama ni wapinzani.
 

Attachments

  • IMG-20241116-WA0005.jpg
    IMG-20241116-WA0005.jpg
    241.3 KB · Views: 4
Nimeshangazwa na chama cha ACT-WAZALENDO siku ya kesho wanaenda kuzindua ilani ya chama chao kwajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa uchaguzi upi? Kwa wagombea wepi?
Katika jukwaa ili kuna mtu aliwahi kusema siasa ambazo wanafanya ACT-WAZALENDO ni siasa ambazo wanajiona kama wapo ndani ya serikali na hali hii inafanya ACT-WAZALENDO washindwe kuaminiwa na wananchi na itachukua muda mrefu sana, kuaminiwa na watanzania kama hawatobadili mfumo wa siasa ambazo wanafanya.
Kuna maswali ya kujiuriza je ILANI hiyo nani ataitangaza?
Je ILANI hiyo mgombea gani ataitangaza ?
ACT-WAZALENDO fanyeni siasa kama chama cha upinzani.
Jifunzeni ZANZIBAR wanavyofanya japo wapo ndani ya serikali ya umoja wa kitaifa lakini bado wanaonesha kama ni wapinzani.
siasa ni kujipanga my friends, ladies and gentlemen.

wasio na mipango, hoja, mikakati na uelekeo huishia kulalamika tu.

Gentleman,
unadhani kuandaa ilani ya uchaguzi ni kitu cha kupanga usiku moja tena bar mkiwa mnakunywa konyagi na asubuhi mnaizindua?
Siasa ni sayansi my friend..

ni kujipanga tu, ikiwa hamna mipango na wengine wana mipango hakuna haja ya kubabaika ndrugo zango🐒
 
siasa ni kujipanga my friends, ladies and gentlemen.

wivu na Gere na nongwa wasio na mipango, hoja, mikakati na uelekeo huishia kulalamika tu.

Gentleman,
unadhani kuandaa ilani ya uchaguzi ni kitu cha kupanga usiku moja tena bar mkiwa mnakunywa konyagi na asubuhi mnaizindua?
Siasa ni sayansi my friend..

ni kujipanga tu, ikiwa hamna mipango na wengine wana mipango hakuna haja ya kubabaika ndrugo zango🐒
Mwamba umempatia jibu la kiume sijui kama atarudi tena na uchadema chonganishi wake....
Halafu, hv kati ya wanacdm na wanaAct ni wapi kunaongoza kutoa wanachama, tena viongozi kabisa, wanaojiunga ccm?!!!!! Unajua ukiwa mpumbavu utalishwa matango pori humu mpaka basi. Hiyo siku ya hukumu Kuna mengi kweli kweli tutayaona yatakayotushangaza.....kuna watu Wana dhambi za uongo na ufitini na uzushi na wivu na Gere na kijicho aisee. Acha kabisa!!!
 
Mwamba umempatia jibu la kiume sijui kama atarudi tena na uchadema chonganishi wake....
Halafu, hv kati ya wanacdm na wanaAct ni wapi kunaongoza kutoa wanachama, tena viongozi kabisa, wanaojiunga ccm?!!!!! Unajua ukiwa mpumbavu utalishwa matango pori humu mpaka basi. Hiyo siku ya hukumu Kuna mengi kweli kweli tutayaona yatakayotushangaza.....kuna watu Wana dhambi za uongo na ufitini na uzushi na wivu na Gere na kijicho aisee. Acha kabisa!!!
Bado hajajibu hoja, na kama unakichwa chepesi huwezi elewa na mimi nipo field nafanya siasa siyo wewe unayefanya siasa kwa kusoma mitandao ya kijamii. Njoo ufanye siasa field uone kazi ya kutafuta wanachama usiropoke bro
 
siasa ni kujipanga my friends, ladies and gentlemen.

wasio na mipango, hoja, mikakati na uelekeo huishia kulalamika tu.

Gentleman,
unadhani kuandaa ilani ya uchaguzi ni kitu cha kupanga usiku moja tena bar mkiwa mnakunywa konyagi na asubuhi mnaizindua?
Siasa ni sayansi my friend..

ni kujipanga tu, ikiwa hamna mipango na wengine wana mipango hakuna haja ya kubabaika ndrugo zango🐒
Najua imekuchoma chama chenu mamluki na ukiendelea kupinga tutawaweka wazi madudu yenu ili mjue au muone wananchi wanavyowakataa .
 
Najua imekuchoma chama chenu mamluki na ukiendelea kupinga tutawaweka wazi madudu yenu ili mjue au muone wananchi wanavyowakataa .
ikiwa chama cha siasa kimepoteza uelekeo, viongozi wake na idara zake hazikutani wala kufanya mikutano ya ndani..

matokeo yake ndiyo haya sasa malumbano na majibizano ya viongozi wa chama kimoja, kila moja anabwabwaja tu na kumzodoa kiongozi mwingine na chama hicho hicho kimoja hadharini 🤣

Gentleman,
siasa ni sayansi my friend 🐒
 
Chadema kuweni na Focus basi, 2015 mlisema ACT imeanzishwa na Lowasa Ili akikatwa CCM ahamie huko, na eti kawapa mapesaa na magari 7 ku,unguka mikoani. Baadae Lowasa akahamia CDM.

Lissu juzi kasema jambo la maana kabisa chama kiangalie kilipojikwaa kijipange upya. Mtasababisha sisi tusio na vyama tuwadharau sasa kwa kuona hamna msimamo katika kauli zenu.

Kuweni na Focus na misimamo yenu ionekane waziwazi nasio Leo hivi, kesho mnakengeuka mnasema vile.

Huko Arusha watu wanalalamika uchaguzi wa Kanda kuhujimiwa, Lissu alalamika mapesa ya mama Abdul. Wewe walalamikia ACT nichama mamluki.
 
Chadema kuweni na Focus basi, 2015 mlisema ACT imeanzishwa na Lowasa Ili akikatwa CCM ahamie huko, na eti kawapa mapesaa na magari 7 ku,unguka mikoani. Baadae Lowasa akahamia CDM.

Lissu juzi kasema jambo la maana kabisa chama kiangalie kilipojikwaa kijipange upya. Mtasababisha sisi tusio na vyama tuwadharau sasa kwa kuona hamna msimamo katika kauli zenu.

Kuweni na Focus na misimamo yenu ionekane waziwazi nasio Leo hivi, kesho mnakengeuka mnasema vile.

Huko Arusha watu wanalalamika uchaguzi wa Kanda kuhujimiwa, Lissu alalamika mapesa ya mama Abdul. Wewe walalamikia ACT nichama mamluki.
Kuliko uipigie ACT kura si bora uipigie ccm mbona kila mtu analijua hili
 
Bado hajajibu hoja, na kama unakichwa chepesi huwezi elewa na mimi nipo field nafanya siasa siyo wewe unayefanya siasa kwa kusoma mitandao ya kijamii. Njoo ufanye siasa field uone kazi ya kutafuta wanachama usiropoke bro
Huyu ni wa kumpuuza tu. Tangu ajue neno kujipanga basi hakuna kingine akijuacho.wewe endelea achana na matapishi haya
 
MAWAZO YANGU TU HAYA;

Kwa mazingira ya siasa za nchi hii kuna kitu kama nakiona na kinapotea flani hivi japo bado najipa muda.

Toka vyama vya kisiasa hivi mnavyovitaja kuwepo hapa nchini, hakuna chama kimewahi kuwa na nguvu na kikadumu miongo kadhaa, mara nyingi huja chama kipya na kile kilichokuwa na nguvu hupotea!.

Je, CDM huu siyo mwisho wenu na inaenda kuwa zama mpya kwa ACT?.

Kama ndivyo basi CCM ndiyo wenye funguo za kuendesha siasa za vyama nchi hii na kile alichosema katibu mkuu nsg balozi ndicho kinafanya kazi nchi hii.

NB; Ngoja nijiandae nikapige kura kama nitaweza!!
 
Chadema kuweni na Focus basi, 2015 mlisema ACT imeanzishwa na Lowasa Ili akikatwa CCM ahamie huko, na eti kawapa mapesaa na magari 7 ku,unguka mikoani. Baadae Lowasa akahamia CDM.

Lissu juzi kasema jambo la maana kabisa chama kiangalie kilipojikwaa kijipange upya. Mtasababisha sisi tusio na vyama tuwadharau sasa kwa kuona hamna msimamo katika kauli zenu.

Kuweni na Focus na misimamo yenu ionekane waziwazi nasio Leo hivi, kesho mnakengeuka mnasema vile.

Huko Arusha watu wanalalamika uchaguzi wa Kanda kuhujimiwa, Lissu alalamika mapesa ya mama Abdul. Wewe walalamikia ACT nichama mamluki.
Kuongea ni muhimu na sisi ndyo tupo katika ivi vyama mambo yanavyoendea kwenye vyama vya upinzani siyo viongozi wa vyama waliopo makao makuu na viongozi wa mikoa na majimbo ni watu wawili tofauti
 
Tutaleta program ambazo wamefeli ACT-WAZALENDO wamefeli badala yake wamekuwa watu wa kujinufaisha viongozi wa makao makuu tu.
Mtaelewa kwanini tunasema ACT-WAZALENDO ni chama mamluki.
 
Huyu ni wa kumpuuza tu. Tangu ajue neno kujipanga basi hakuna kingine akijuacho.wewe endelea achana na matapishi haya
kwa kuungana na kukimbia hoja mbalimbali za wadau mtafanikiwa kweli kisiasa gentleman? 🐒
 
Back
Top Bottom