Nilipofika Wilaya za Kishapu, Maswa, Meatu, Magu, Busega, Bunda, Tarime na Butiama nilishukuru sana kuishi Dar

Nilipofika Wilaya za Kishapu, Maswa, Meatu, Magu, Busega, Bunda, Tarime na Butiama nilishukuru sana kuishi Dar

Hata Dar maeneo ambako hakuna fiber internet...hakufai kuishi
 
1699479281972.png
 
Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.

Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo.

Baadhi ya sehemu unapita vumbi na unakuja kukutana na lami uchwara pale wanapoita katikati ya mji.

Safari ya maendeleo bado ni ndefu sana nchi hii.
Nenda Kalambo Rukwa, Tanganyika katavi mlele katavi ukajionee hali halisi ya wananchi
 
Kuishi kwako Dar una Salio shilingi ngapi kwenye Akaunti yako ya Bank au ndio walewale walamba lips kusindikiza wengine?

Huko unakokukandia ndiko kuna watu darasa la Saba tu au Form Four lakini akikuonyesha balance yake Bank unaweza ukajikojolea,acha ushamba wa kudhani Dar ndio kila kitu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Unaishi sehem ovyo au una lala kwenye ngoz na nyumba ya nyasi halafu una milion mia nane kwenye akaunt na ng'ombe elfu moja
Hayo sio maisha unasindikiza wenzako kuishi kwa kutumia hela zako
Acha upumbavu ndiyo maana mnaambiwa mfuge kisasa
 
H
Acha chuki kwa wenzio
Maendeleo yapo na yanaonekana.
Ukizidiwa kubali na ujifunze
hebu yataje hayo maendeleo...maaa unaongea chuki chuki...yaani mimi niwe na chuku na kabila fulani...so what...
 
Safari ya maendeleo bado ni ndefu sana nchi hii.
Ikiwa nyote mnakimbilia mjini safari ni ngumu sana, nani apeleke maendeleo kijijini kwenu wakati wewe mwenyeji umeloweya kwenye miji ya watu, rudi kijijini kwenu ukashiriki shughuli za maendeleo.
 
Hiyo dar ya mbuyuni? Mbona tunaona mnakanyaga tope la kinyesi
Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.

Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo.

Baadhi ya sehemu unapita vumbi na unakuja kukutana na lami uchwara pale wanapoita katikati ya mji.

Safari ya maendeleo bado ni ndefu sana nchi hii.
 
Back
Top Bottom