Nilipogundua Subaru Forester unatumia Filter 2 nikauza gari kuepuka stress

Nilipogundua Subaru Forester unatumia Filter 2 nikauza gari kuepuka stress

Vitu Tanzania vipo bei juu sana Tsh 150,000 ni rand 1000 huku inaweza kufanya Service kwa Mercedes-Benz iwe C Class au S Class bongo wanauza vitu kutokana na thamani ya gari hata kama hiyo Parts haina thamani yeyote mteja lazima alipie gari lake...ndio maana mimi oil na matakataka mengine najibebea tu niliuliza brake pad za X 5 jamaa angu anayo hapo Arusha walitaka Tsh 150,000 nilipokuja SA nimenunua rand 330 tu vitu vya Subaru navyo hawana bei hapa..
Shocks za mbele hapa ni rand 4000 tu ukitaka kubadili vitu vya miguu vyote haizidi laki saba ila Tanzania bei yake niliambiwa mara mbili wauzaji wanaweka bei mara mbili na hasa wakisikia gari ya Ulaya ndio kabisaa..
 
Unamuuzia mtu kitu halafu unamuita boya?
Stupid.
Ndo akili zetu hizi wabongo kwenye biashara yoyote ile hatuna staha Wala ukarimu.
Hata baa, utasikia yule boya aliyekuwa amekaa pale anakunywa safari unasema wtf .... Si alikuwa anawaungisha yule...sasa anaitwa boya au fala.
 
Vitu Tanzania vipo bei juu sana Tsh 150,000 ni rand 1000 huku inaweza kufanya Service kwa Mercedes-Benz iwe C Class au S Class bongo wanauza vitu kutokana na thamani ya gari hata kama hiyo Parts haina thamani yeyote mteja lazima alipie gari lake...ndio maana mimi oil na matakataka mengine najibebea tu niliuliza brake pad za X 5 jamaa angu anayo hapo Arusha walitaka Tsh 150,000 nilipokuja SA nimenunua rand 330 tu vitu vya Subaru navyo hawana bei hapa..
Shocks za mbele hapa ni rand 4000 tu ukitaka kubadili vitu vya miguu vyote haizidi laki saba ila Tanzania bei yake niliambiwa mara mbili wauzaji wanaweka bei mara mbili na hasa wakisikia gari ya Ulaya ndio kabisaa..
Bongo nyoso
 
Bongo nyoso
Niliwahi kuuliza alternator ya Ford bantam na Ford ranger nikaambiwa ni kuanzia 2.5m kuendelea tena wanaagiza nikaja kununua SA haikufika hata laki nane jamaa sijui bei zao wanatoa wapi aisee kwa faida hiyo ndio maana watu walia vipuli vipo juu wakati huku havina hizo bei za bongo labda kwa magari kama Jeep hizi za kisasa..
 
Ofcourse ni gari dogo (sedan) kwa matumizi yangu binafsi! Service ya kawaida sanasana ni kumwaga engine oil, hydraulic oil, kusafisha air cleaner.
Hivi hizi basic watu hamuwezi jifunza kwenye internet na kufanya mwenyewe mpk kila mara ukagawe hela Kwa mafundi,kuna vitu yes lazima upeleke huko lkn kwa technologies za sasa basic hizi jifunzeni mfanye wenyewe
 
Niliwahi kuuliza alternator ya Ford bantam na Ford ranger nikaambiwa ni kuanzia 2.5m kuendelea tena wanaagiza nikaja kununua SA haikufika hata laki nane jamaa sijui bei zao wanatoa wapi aisee kwa faida hiyo ndio maana watu walia vipuli vipo juu wakati huku havina hizo bei za bongo labda kwa magari kama Jeep hizi za kisasa..
Tatizo watu wanawaza kopata utajiri kwa haraka. Hata wale madalali wa magari bei zao si za kitoto
 
Back
Top Bottom