M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
- Thread starter
- #61
PoleKAZI ni kipimo cha UTU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoleKAZI ni kipimo cha UTU
Uo ndo ukweli! Sasa haya majamaa yanataka kusema gari limekuwa catapillar la kuchonga barabara au?😜😍Carina Ti yangu nikiwa na 200k nabadilisha kila kitu hadi injini
HaswaaaYaani wengine hata ndoto ya kumiliki magari inafifia tukiona wamiliki wanazozana
Uwe unaacha uongo ona sasa umekamatwaHayo mahesabu unayajua mwenyewe!
Unaongelea Mercedes S Class kama unaongelea Toyota Yaris au Daewoo matiz..... Kadanganye wajinga huko hamna Mercedes unafanya service kwa 150KUo ndo ukweli! Sasa haya majamaa yanataka kusema gari limekuwa catapillar la kuchonga barabara au?[emoji12][emoji7]
Ukiwa muongo jitahidi sana usiwe msahaulifu.Mimi nikiwa 150k nafanya service full!
Mersedes S class (sedan type)
Anunuwe Vits au IST for less fuel consumption!!Halafu huyu jamaa sio aliesema huwa anapanda business class kwenye ndege?
Leo filter imemfamya auze gari!
Ngoja nikomae na pikipiki kwanzaHaswaaa
Service haizidi laki ni sawa,lakini pia inategemea na aina ya gari,ukubwa wa engine n.k.Kuna gari ukitumia hizi oil zetu za kuunga unga unakaanga engine,lazima utumie oil recommended by manufacturer,hapo ndio bei inapopaa,na hizi oil mara nyingi ni genuine,gari nyingine kutokana na engine kuwa kubwa oil lazima iwe nyingi kwahiyo bei haiwezi kuwa ndogo,mf.V6,V8 n.k,kuna factors nying sana...Wenzetu mna magari kutoka wapi? Huu mwaka wangu wa 10 nimeshamilika zaidi ya Gari tatu Brand tofauti tofauti sijawahi fanya service inayozidi laki moja.
Humu stori za watu zinakufanya uone kama kumiliki gari ni sawa na kumilki treni. Mpaka unaogopa
Umenikumbusha machungu ya Liduimolly juzi nimeweka hii Oil kwa 135k but nahisi nimepigwa oil imechakachukuliwa coz kwanza Perfomance ya gari haijabadilika na hata package Dumu wakati fundi anafungua kizibo kilikuwa wazi tuu😡Watu wanaweka Liquimolly lita 6 + ufundi + filter mbona laki 2 hii hapa.
Ukienda Toyota kwenyewe kwa muhindi, lazima utalilia mbavuni.Service kama Huna hela utajuta nasikia hiz v8 bila lak 6 hufany service wazee wa nduvuni
Siku hizi si unaagiza kutokea Dar tu? Basi zipo masaa 24! Mcheki RRONDO chap!Dah ntakucheki mkuu ukifika wakati wa Service huku wanatuonea sana, Ningekuwa Dar au Arusha bei ingekuwa chini kidogo
Business class ya kulipiwa na ofisiHalafu huyu jamaa sio aliesema huwa anapanda business class kwenye ndege?
Leo filter imemfamya auze gari!
Nilijichanganya 2022 nikanunua 2008 Subaru forester.
Siku nimepeleka service naambiwa eti inatumia filter 2.
Huku Coil Tsh 750,000 nikamuuzia boya flani toka Kanda ya Ziwa.
Tunapigwa sana humu😂😂S class 150k haitoshi hata kununua oil.