Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
๐ ๐ ๐ ๐Jina lenyewe kaandika eti Mersedes. Sijui ni dawa ya kienyeji hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ ๐ ๐ ๐Jina lenyewe kaandika eti Mersedes. Sijui ni dawa ya kienyeji hiyo
Baada ya muda gani ?Mimi nikiwa 150k nafanya service full!
Ukimbana sana atakuja kusema ni hela ya garage, kila kitu anakuja nacho ๐๐Mkuu acha fix.
S class ya petrol engine 112 au 272 inatumia oil 8L ambazo ni zaidi ya 150,000
Oil filter si chini ya 30,000
Air cleaner ziko pacha beibrahisi sana labda 80,000
Umezungumzia hydraulic hio lita moja ni kuanzia 35,000 na utahitaji lita kama 7 hivi.
Hio service ya 150k unafanya vipi?
Bado Labour Charges hiyo gari anaitaja kirahisi kama PassoMkuu acha fix.
S class ya petrol engine 112 au 272 inatumia oil 8L ambazo ni zaidi ya 150,000
Oil filter si chini ya 30,000
Air cleaner ziko pacha beibrahisi sana labda 80,000
Umezungumzia hydraulic hio lita moja ni kuanzia 35,000 na utahitaji lita kama 7 hivi.
Hio service ya 150k unafanya vipi?
Mimi sijamuelewa hadi sasahiv kwamba anatumia filter mbili za aina moja kwa service au mbili za aina tofauti..Ingawa najua kwamba kuna baadhi ya magari yanatumia filter mbili za aina moja kwenye service hasa magari ya Diesel,mfano Truck ya HOWO inatumia Oil filter 2,Diesel filter 1 na Water separator 1 na Engine oil lita 25Alie muelewa huyu mtu tafdhali? Subaru forester 2008 inatumia โfilterโ 2 ! Kama ana maanisha mjumuiko wa aina tofauti za filter kwenye gari hizo 2 bado ni chache !
๐๐ huyu sijui kama anauzoefu na magari hata kwa 5%Mimi sijamuelewa hadi sasahiv kwamba anatumia filter mbili za aina moja kwa service au mbili za aina tofauti..Ingawa najua kwamba kuna baadhi ya magari yanatumia filter mbili za aina moja kwenye service hasa magari ya Diesel,mfano Truck ya HOWO inatumia Oil filter 2,Diesel filter 1 na Water separator 1 na Engine oil lita 25
Wenyewe Japan wanatumia bila shida na hakuna malalamiko....shida ni Sisi wenyewe wabongo hakuna service ya uhakikaIla hizi Forester SH5 zinazingua sana engine. Zina-knock muda wowote.
Tafuta pesaNilijichanganya 2022 nikanunua 2008 Subaru forester.
Siku nimepeleka service naambiwa eti inatumia filter 2.
Huku Coil Tsh 750,000 nikamuuzia boya flani toka Kanda ya Ziwa.
Kwa hiyo Kanda ya Ziwa ndio umeona Kuna mabaya sana? ๐๐Nilijichanganya 2022 nikanunua 2008 Subaru forester.
Siku nimepeleka service naambiwa eti inatumia filter 2.
Huku Coil Tsh 750,000 nikamuuzia boya flani toka Kanda ya Ziwa.
Kuna jamaa yangu anayo SH5 namba DYY ameshabadilisha engine mara 5 (EJ20) hadi sasa. Mwingine ana SH5 namba EFB pia ameshusha engine ameweka nyingine (FB20). Mie yangu namba EEA lakini imeanza tabia ya kula oil.Wenyewe Japan wanatumia bila shida na hakuna malalamiko....shida ni Sisi wenyewe wabongo hakuna service ya uhakika
Wanasema Subaru ni gari sensitive kwa product ya Japan .... yaani ni gari ambayo inahitaji ufuate utaratibu sana kama vile wanavyofanya gari nyingi za ulaya. Ila tatizo linakuja watanzania sisi tunachukulia gari zote za Japan ni kama TOYOTA ambayo imetengenezwa kuhimili mazingira mengi magumu yaani haiko sensitive sana na mabadiliko ya vilainishi/oil au aina flani ya services.Ila hizi Forester SH5 zinazingua sana engine. Zina-knock muda wowote.
Mnatuonea sana kina Ngosha,nikamuuzia boya flani toka Kanda ya Ziwa.
Huyu jamaa anatuona makuruta mkuu. Hiyo 150k angesema ya wese kidogo ingemake sense. Huenda hata hiyo C class haifahamu anaropoka tuWewe hio yako ya 150k ni nini?
Sasa vipuri vya Benz bei yake ni sawa na vipuri vya Carina TI? Nina uhakika hata gari huna mkuu unajikosha kumbe walewaleUo ndo ukweli! Sasa haya majamaa yanataka kusema gari limekuwa catapillar la kuchonga barabara au?๐๐