Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Pole yako mzebaba, kama ni hivo ungekua muwazi kwake ajue unachokipenda na yeye akithamini. Kwa mimi nikimpenda mtu hatanitaenda nae sambamba tu, maumivu ya kuachwa kwa sababu ya maumbile yako kubadilika ni hatari mkuu.
Si ajabu kunenepa kwake kunachangiwa na wewe pia kwa namna moja ama nyingine.
Si ajabu kunenepa kwake kunachangiwa na wewe pia kwa namna moja ama nyingine.