ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Aisee nilikuwa sipo sahihi, nilidhani viongozi wanapenda nchi yao Hadi nikawa inspired, toka nipo msingi shule tunaitwa na walimu tushiriki shughuli za viongozi, mama anawaandalia mihogo asubuhi nyumbani muende uwanjani kushiriki.
Nilichogundua kumbe wakubwa wanalipwa posho kubwa sana kushiriki hizi event ambazo wengine tulitoka jasho jukwaani, wengine njaa.
Nimekuja kugundua kumbe Kuna upper class wanaocheza na Kodi Kama posho na sisi wengine tunatumika kuonesha kwamba wakubwa wanakubalika Ili waendelee kutunyonya.
Hakuna mzalendo nchii hii mzalendo ni posho, hata Mdee amekuwa msaliti kwa sababu ya posho.
Watanzania ni Masikini sana, ni Masikini hakuna mfano. Ni shimo tulimo ndani , sio ccm Wala chadema wakututoa huku ni KIFO tu.
Asanteni wanajamvini
Nilichogundua kumbe wakubwa wanalipwa posho kubwa sana kushiriki hizi event ambazo wengine tulitoka jasho jukwaani, wengine njaa.
Nimekuja kugundua kumbe Kuna upper class wanaocheza na Kodi Kama posho na sisi wengine tunatumika kuonesha kwamba wakubwa wanakubalika Ili waendelee kutunyonya.
Hakuna mzalendo nchii hii mzalendo ni posho, hata Mdee amekuwa msaliti kwa sababu ya posho.
Watanzania ni Masikini sana, ni Masikini hakuna mfano. Ni shimo tulimo ndani , sio ccm Wala chadema wakututoa huku ni KIFO tu.
Asanteni wanajamvini