GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa wale tu mliocheza Mpira ngazi za Ligi za chini, kati na hata Kubwa na mliokuwa / mlioko Ligi Kuu sasa mtakubaliana nami kuwa aina hii ya Uchawi umetumika na unatumika mno Mipirani.
Kitu pekee tu ninachokijua katika aina hii ya Uchawi ni kwamba Ukitumika Timu iliyoutumia kwa 100% hushinda hiyo Mechi.
Na hata Mechi ya Simba SC ya Jumamosi kuna Uchawi mwingine Ulitumika wakati Timu zikisalimiana na aliyekuwa Kinara katika Kuutekeleza ni Mchezaji Mmoja Muhimu wa Kiungo ambaye Namhifadhi.
Uchawi upo na Unafanyika mno.
Kitu pekee tu ninachokijua katika aina hii ya Uchawi ni kwamba Ukitumika Timu iliyoutumia kwa 100% hushinda hiyo Mechi.
Na hata Mechi ya Simba SC ya Jumamosi kuna Uchawi mwingine Ulitumika wakati Timu zikisalimiana na aliyekuwa Kinara katika Kuutekeleza ni Mchezaji Mmoja Muhimu wa Kiungo ambaye Namhifadhi.
Uchawi upo na Unafanyika mno.