Nilipoona tu Jana Filimbi ya Mpira kuanza na Mpira Kupigwa Nje Makusudi nilijua Rivers United FC wameshakufa

Nilipoona tu Jana Filimbi ya Mpira kuanza na Mpira Kupigwa Nje Makusudi nilijua Rivers United FC wameshakufa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa wale tu mliocheza Mpira ngazi za Ligi za chini, kati na hata Kubwa na mliokuwa / mlioko Ligi Kuu sasa mtakubaliana nami kuwa aina hii ya Uchawi umetumika na unatumika mno Mipirani.

Kitu pekee tu ninachokijua katika aina hii ya Uchawi ni kwamba Ukitumika Timu iliyoutumia kwa 100% hushinda hiyo Mechi.

Na hata Mechi ya Simba SC ya Jumamosi kuna Uchawi mwingine Ulitumika wakati Timu zikisalimiana na aliyekuwa Kinara katika Kuutekeleza ni Mchezaji Mmoja Muhimu wa Kiungo ambaye Namhifadhi.

Uchawi upo na Unafanyika mno.
 
Kwa wale tu mliocheza Mpira ngazi za Ligi za chini, kati na hata Kubwa na mliokuwa / mlioko Ligi Kuu sasa mtakubaliana nami kuwa aina hii ya Uchawi umetumika na unatumika mno Mipirani.

Kitu pekee tu ninachokijua katika aina hii ya Uchawi ni kwamba Ukitumika Timu iliyoutumia kwa 100% hushinda hiyo Mechi.

Na hata Mechi ya Simba SC ya Jumamosi kuna Uchawi mwingine Ulitumika wakati Timu zikisalimiana na aliyekuwa Kinara katika Kuutekeleza ni Mchezaji Mmoja Muhimu wa Kiungo ambaye Namhifadhi.

Uchawi upo na Unafanyika mno.
Simba wakaroge tena
 
Tupe dondoo tuweze kutambua viashiria hivyo vya uchawi🤔
 
Kwa wale tu mliocheza Mpira ngazi za Ligi za chini, kati na hata Kubwa na mliokuwa / mlioko Ligi Kuu sasa mtakubaliana nami kuwa aina hii ya Uchawi umetumika na unatumika mno Mipirani.

Kitu pekee tu ninachokijua katika aina hii ya Uchawi ni kwamba Ukitumika Timu iliyoutumia kwa 100% hushinda hiyo Mechi.

Na hata Mechi ya Simba SC ya Jumamosi kuna Uchawi mwingine Ulitumika wakati Timu zikisalimiana na aliyekuwa Kinara katika Kuutekeleza ni Mchezaji Mmoja Muhimu wa Kiungo ambaye Namhifadhi.

Uchawi upo na Unafanyika mno.
Wachawi kuwajua ni rahisi sana. Wao wanaamini sana katika uchawi kuliko juhudi
 
Kwa wale tu mliocheza Mpira ngazi za Ligi za chini, kati na hata Kubwa na mliokuwa / mlioko Ligi Kuu sasa mtakubaliana nami kuwa aina hii ya Uchawi umetumika na unatumika mno Mipirani.

Kitu pekee tu ninachokijua katika aina hii ya Uchawi ni kwamba Ukitumika Timu iliyoutumia kwa 100% hushinda hiyo Mechi.

Na hata Mechi ya Simba SC ya Jumamosi kuna Uchawi mwingine Ulitumika wakati Timu zikisalimiana na aliyekuwa Kinara katika Kuutekeleza ni Mchezaji Mmoja Muhimu wa Kiungo ambaye Namhifadhi.

Uchawi upo na Unafanyika mno.
Mtani wewe utakuwa mshirikina sio kwa kuabudu ushirikina kiasi hiki.....falla wewe😂😂
 
Bado hujasema mbona!!!mtaleta sababu ya kila namna!!!
 
Kwa wale tu mliocheza Mpira ngazi za Ligi za chini, kati na hata Kubwa na mliokuwa / mlioko Ligi Kuu sasa mtakubaliana nami kuwa aina hii ya Uchawi umetumika na unatumika mno Mipirani.

Kitu pekee tu ninachokijua katika aina hii ya Uchawi ni kwamba Ukitumika Timu iliyoutumia kwa 100% hushinda hiyo Mechi.

Na hata Mechi ya Simba SC ya Jumamosi kuna Uchawi mwingine Ulitumika wakati Timu zikisalimiana na aliyekuwa Kinara katika Kuutekeleza ni Mchezaji Mmoja Muhimu wa Kiungo ambaye Namhifadhi.

Uchawi upo na Unafanyika mno.
TZ tutafika mbinguni tukiwa vibwengo kabisa, mbona Nigeria na Egypt hawafiki popote kwa uchawi?
 
Kwa wale tu mliocheza Mpira ngazi za Ligi za chini, kati na hata Kubwa na mliokuwa / mlioko Ligi Kuu sasa mtakubaliana nami kuwa aina hii ya Uchawi umetumika na unatumika mno Mipirani.

Kitu pekee tu ninachokijua katika aina hii ya Uchawi ni kwamba Ukitumika Timu iliyoutumia kwa 100% hushinda hiyo Mechi.

Na hata Mechi ya Simba SC ya Jumamosi kuna Uchawi mwingine Ulitumika wakati Timu zikisalimiana na aliyekuwa Kinara katika Kuutekeleza ni Mchezaji Mmoja Muhimu wa Kiungo ambaye Namhifadhi.

Uchawi upo na Unafanyika mno.
Natarajia kule ugenini mnyama ataloga tena!!
 
Hivi Egypt ni wachawi sana?

Kutoka 7:22-25​

Lakini wachawi wa Misri kwa kutumia uchawi wao wakafanya vivyo hivyo. Kwa hiyo moyo wa Farao ukabaki kuwa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na Aroni; ikawa kama Mwenyezi-Mungu alivyokuwa amesema. Basi, Farao akarudi nyumbani kwake, na hata haya yaliyotokea hakuyajali. Wamisri wote wakachimbachimba kandokando ya mto Nili ili wapate maji ya kunywa, kwani hawakuweza kunywa maji ya mto huo. Pigo hilo la mto Nili lilidumu siku saba.
 
Naomba timu ya Simba mkaloge Morocco. Ingekua uchawi unafanya kazi orando wangepasuka Ile siku, pia Kama uchawi upo wydad akapasuliwe pale kwao.
 

Kutoka 7:22-25​

Lakini wachawi wa Misri kwa kutumia uchawi wao wakafanya vivyo hivyo. Kwa hiyo moyo wa Farao ukabaki kuwa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na Aroni; ikawa kama Mwenyezi-Mungu alivyokuwa amesema. Basi, Farao akarudi nyumbani kwake, na hata haya yaliyotokea hakuyajali. Wamisri wote wakachimbachimba kandokando ya mto Nili ili wapate maji ya kunywa, kwani hawakuweza kunywa maji ya mto huo. Pigo hilo la mto Nili lilidumu siku saba.
Mtumishi Dr Matola PhD 😂
 
Mkuu kuna game ya Yanga v Simba, Ibrahim Ajibu alianza mpira Kwa kuutoa nje mbona game iliisha Sare Yanga hakushinda??
 
Hata kama binafsi huwa namcriticize GENTAMYCINE, na najua ananichukia; ila kwa hili umevuka mipaka. Kuna haja gani ya kupromote huo ujinga tena kwa kumsingizia mtu huku ukijua kuwa ni uongo?
Nimesikia nauliza tu
 
Rivers walikutana na mayele kwenye ubora wa hali ya juu sana,nadhani kwa mkapa watakula nyingi sana...labda walibaki tu
 
Kwa wale tu mliocheza Mpira ngazi za Ligi za chini, kati na hata Kubwa na mliokuwa / mlioko Ligi Kuu sasa mtakubaliana nami kuwa aina hii ya Uchawi umetumika na unatumika mno Mipirani.

Kitu pekee tu ninachokijua katika aina hii ya Uchawi ni kwamba Ukitumika Timu iliyoutumia kwa 100% hushinda hiyo Mechi.

Na hata Mechi ya Simba SC ya Jumamosi kuna Uchawi mwingine Ulitumika wakati Timu zikisalimiana na aliyekuwa Kinara katika Kuutekeleza ni Mchezaji Mmoja Muhimu wa Kiungo ambaye Namhifadhi.

Uchawi upo na Unafanyika mno.
labda kama wewe ni mlozi
 
Back
Top Bottom