Nilipoona tu Jana Filimbi ya Mpira kuanza na Mpira Kupigwa Nje Makusudi nilijua Rivers United FC wameshakufa

Popoma
 
Nyinyi mbona kabla ya kucheza na Raja pale kwa Mkapa dereva wa basi lenu alirudi kinyumenyume na bado mkapasuka au ilikuwa mbinu ya kupunguza magoli ? Na vipi kule South Africa mwaka Jana dhidi mlivyowasha Moto uwanjani na bado mkapasuka au mhanga wenu aliwaambia mpunguze magoli kwa kuwasha moto uwanjani ? Dunduka NI dunduka Tu
 
Ifike mahali tukubali ubora wa Yanga. Uchawi hauchezi mpira!

Timu ya Congo wakati huo ikiitwa Zaire iliingia World cup na wachawi 100 na ikapigwa za uso!

Tunasubiri ijumaa Simba watakandwa week (7-0) na Wydad na hasira za kukosa kombe hata moja msimu huu zitawaangukia Mo, makocha, Onyango na Rage aliewaita wanasimba wote ni mbumbumbu! Mashabiki wa mikia fc mtasema wote waondoke!

Huko Yanga kwasasa ni furaha tu ya kucheza nusu fainali Shirikisho na kubeba NBC league cup!

Ijumaa inshallah sio mbali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…