Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #41
๐๐๐๐Fanya Jenga hata kakibanda sasa uache kulia Lia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Fanya Jenga hata kakibanda sasa uache kulia Lia
Unaondokaje bila kuwagonga??Wajuzi ebu niambieni wana maana gani kusema tap tap screen yani nimepanga apa sinza basi Kuna vibint vinasoma chuo cha ustaw wa jamii mwenge, vikitoka chuo tuu wanaanza makerere yao mpaka usiku wa saa tisa huko, hatulali
Wapo kama watatu hivi sijui ni matapeli wa mitandao mm sielew, mda wote wanaulizwa na kujibu maswali, au sijui wanajisomea kwa video call za group?. Hawa wadada watanifanya nihame hii nyumba. Yani mda wote wanaomba gift, nitumie gift. Hawa huenda niwapiga vizinga wa mitandao wale wa Facebook ukiwafata WhatsApp wanakuomba bando, mda wote hawana bando ilihali wapo online. Hawa ni wezi. Mm nitahama au nitareport polisi
Atakuwa ni yeye ndoanataputapuJamaa umeona atakuchosha
Bora umesemaMkuu walimu tz hawana maisha ya maana naongea kama mtoto wa mwalimu kwa upande wa mama.
๐๐๐๐Wapige miti...wawe wanachoka wanalala
Kuna mwalimu anaweza kupanga sinza?Kumbe walimu unaowakandia wana maisha kuliko hata wewe
YeeesAdv. Mpwayungu Village
๐๐๐Kula Kimasihara hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanafanya phone sex[emoji16][emoji16][emoji16]kuna njemba za chaputa huko zinatumiwa kitumbua zinaambiwa zitaputapu zinavuta mafilingi ya kitu laivu
Mpwaaa ๐๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NtakupigiaFanya yako