cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nakuona Mpwaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23]Mpwaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona Mpwaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23]Mpwaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
😄ayaNtakupigia
😅😅😅😅Mwalimu chukua kausha damu ujenge
Kumbe umepanga na wanafunzi halafu unasimanga walimuWajuzi ebu niambieni wana maana gani kusema tap tap screen yani nimepanga hapa Sinza basi kuna vibinti vinasoma Chuo cha Ustawi wa jamii Mwenge, vikitoka chuo tu wanaanza makerere yao mpaka usiku wa saa tisa huko, hatulali.
Wapo kama watatu hivi sijui ni matapeli wa mitandao mm sielew, mda wote wanaulizwa na kujibu maswali, au sijui wanajisomea kwa video call za group?
Hawa wadada watanifanya nihame hii nyumba. Yaani muda wote wanaomba gift, nitumie gift. Hawa huenda niwapiga vizinga wa mitandao wale wa Facebook ukiwafata WhatsApp wanakuomba bando, muda wote hawana bando ilihali wapo online. Hawa ni wezi. Mm nitahama au nitareport polisi
Alifukuzwa kwa shemeji yake akawa wamechanganyikiwa na alikosa hata bundle so leo dada yake kamtumia pesa ya bundle ndio anaandika ujinga humu.Hao bila Shaka ni walimu wenzio watarajiwa.
Any way
Mkuu ulipotea sana
Hiyo mil 45 ya kujengea ni mtaji tosha wa biashara kubwaaaa.Mpwayungu chukua mkopo ujenge nyumba
Walimu wanawaza kujenga tu 🤣🤣🤣Hiyo mil 45 ya kujengea ni mtaji tosha wa biashara kubwaaaa.
#YNWA