Nilipopanga kuna wadada muda wote wanasema tap tap screen, nimakelele tupu

Unaondokaje bila kuwagonga??
 
Mwalimu mpwayungu unaonekana unawafatilia sana majirani zako hatua kwa hatua.Ndiyo maana unawajuwa nje ndani.Sasa fata ushauri huu mwl.
1.Kwasababu unawafatilia maisha ya wapangaji wenzako nenda na wewe waka tap tap screen yako.
2.Hamia kota za shuleni kwako kama zipo.
3.Kopa ukajenge nawewe.
4.Ukishindwa yote hayo nenda ukawaulize wanamanisha nini.
 
Wanafanya phone sex[emoji16][emoji16][emoji16]kuna njemba za chaputa huko zinatumiwa kitumbua zinaambiwa zitaputapu zinavuta mafilingi ya kitu laivu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…